Mbona umeongea vitu vingi ambavyo havina maana? unashangaa kuwa na mameneja watatu? mbona umeishia hall tu, aujataja ma dancers! ma Dj's, nilifikili utampongeza kwa hilo, dancer wake tu wanaishi maisha ambayo waTz wengi hawana, Eti asimame kama yeye na asitegemee mameneja wake watatu, hapo ndipo ulipoonyesha kuwa sio muelewa wa mambo ya entertainment, na kesho utasema afanye show mwenyewe asipande na dancers wake. Dunia nzima hata kama unaimba vizuri vipi bila management nzuri kupata mafanikio ni ndoto, nimekwambia tuzo zote unazoziongelea wewe 60% ya maamuzi ni judges ndio wanaamua wewe unaleta habari za cheating the system, afu ukichunguza hii thread yako umeandika nonsense alafu umejisifu umeaongea kitu cha maana.kunapoongelewa vitu vya maana msilete ushabiki wenu mandazi,hapa tunaongelea soko la kimataifa na si ubwege wenu huko vichochoroni.
kwa taarifa yako hakuna mwanamuziki anapiga hela ndeefu kwa show kama Chameleone na ni legend east Africa,ukija kwa P square tusiongee,sina mtimanyongo kwa Diamond ila naona tu huu ushabiki unaoendelea kwake si wa kujenga ni kubomoa.anatakiwa asimame zaidi yeye kama yeye kimwanamuziki,sio kutegemea mameneja 3,timu zitakazo mpigia kura,skendo na mademu ili kupata media coverage,wenzie hawafanyi hayo wametulia na family,wana hela ndeeefu sana na hawana kelele wanapiga kazi hela inaingia taratibu.
Sembe inalipa lazima aende na watu wa kutosha wapige pesami nachompenda diamond ni kutoa ajira kwa maskini wenzake aliosota nao..
anasafiri na dancers wake kila mahali duniani..
mtu kama mose iyobo leo yupo nae washington wakati bosi tu serikalini safari mwikoooo..
ukiwa mfanyakazi wa diamond kujenga nyumba, kuendesha gari, na kusafiri kuiona dunia ni rahisi sana kuliko kuajiriwa serikalini au kwa wahindi...
Kweli mkuu, me pia nilimuona ingawa sijui wanapendea nini urembo huo wa mimeno.Ukitaka kula lazima uyatoe kama sio kutapishana nini sasa??Nilimuona AY kavaa hizo ndude zinamtesa mdomo unajaa mate kama binti mwenye mimba changa.
An Diamond ajatoboa puabajatobpost: 16335406 said:Nimeona pia katika baadhi ya
picha mitandaoni, ametoboa pua, to me loyality kwangu imeshuka hasa mwanaume kama yeye kutoboa pua.
Ni nani huyu?Sa ivi anaongea tofauti na uhalisia wake ili meno yaonekane.
Domo limelegea balaa.
Yani sijui kwanini watu wa Arusha wenye meno ya brown wanajiona wana mkosi wakati kuna watu wanatumia mamilioni kutaka kuwa ka wao.
View attachment 353284
sijaliona hilo domoNi nani huyu?