Inama nipachike rungu..Kwanza kabisa WCB sio kundi, Bali ni record label, Halafu kuhusu kukukosea ni wewe na sio wote na kwangu nyimbo zao Zina dumu Sana au una changanywa na hayo makundi ya kizungu kwasababu ya lugha ya kigeni wakati wazungu wenyewe wanazichoka, so calm down dawa ikuingie AMABOKO/AMABHOKO = Mikono iko number moja trending youtube na nia audio tu ,so subiri video in 24 houre 1m viewers ndo utajua watu hawachoshwi masikio yao
Sasa umeongea utumbo gani wa Bata na kuku...!!!???Kizazi cha kale walikuwa wanamziki, kikaja kizazi cha wasanii kizazi kinachofuata ni
Unaijua maana ya mshamba au unataka nikumwagie nondo Hadi ukarudi darasaniAcha ushamba wa Kigoma wewe
WCB Haina mpinzani,sema Hawa mashabiki uchwara na timu pinzani wacha walielie dawa iwaingie kisawasawa.Just Audio, na ni namba moja YouTube chini ya saa 24!!
Inakera sana lakini inahitaji uvumilivu kwa msiowapenda WCB!!
Kwani umerazimishwa,sasa Kuna nyimbo bila sauti...?aise umekosa hoja unatafuta huruma AMABOKO THE HIT SONG.Nilisikiliza kidogo wimbo wao mpya AMABOKO nikaona wameisha anza kutudharau.
Wapunguze dharau huo siyo wimbo. Ni sauti tu.
Kalale kaka mdogo sawa AMABOKOInama nipachike rungu..
innocent dependent
Sasa hizo hizo ngoma mbovu ni hit song,labda ungesema aache kuimba na akiacha kuimba pia wakiandika story atatrendi sasa itakuwaje....?Kwa upande wa diamond atoe2 ngoma mbovu kwa sasa maana hit anazo nyingi mno
Hapa hatutaki hoja,na Kama unataka hoja nenda ukafundishe au kwenye mijadala mtoto wakiume kutaka kuelimishwa huko nako KWIO.
Baba wa mtoto na bado wakiume kucoment kwa mwanaume mwenzako majungu ni kiwango cha upumbavu mara mbili wa SGR,PHD pamoja na LAMI.kijana wa kiume kutumia neno kwio
Ni upumbavu wa hali ya juu
Kwani umerazimishwa,sasa Kuna nyimbo bila sauti...?aise umekosa hoja unatafuta huruma AMABOKO THE HIT SONG.
*hafu hatuna wimbo ni nyimbo sawa dada yake na alikiba pamoja na harmonize.
Kojoa ukalale dogo sawa AMABOKO IKO NUMBER ONE TRENDING YOUTUBE FOR 1 DAYS WITH 460+VIEWS RECORD BREAKINGS.Kila sauti ni wimbo ?
Duh dogo wewe inaoneka shule tatizo, kumbe waha hamna akili hujui kutofautisha Kati ya WIMBO NA NYIMBO?
Wimbo _ umoja.
Nyimbo_ wingi.
π€£π€£π€£π€£π€£duniani kuna wachawi wa aina nyingi.
Kojoa ukalale dogo sawa AMABOKO IKO NUMBER ONE TRENDING YOUTUBE FOR 1 DAYS WITH 460+VIEWS RECORD BREAKINGS.
ππkushoto,,,,,,,kulia"shingo kama unaitupa"
inama,,,,,,,,,,,,inuka"kiuno kama unakisusa"
sometimes naboreka"quarantine"
weekend ni vibweka"quarantine"
mitungi tunapombekaaaaa,,,,!!!