Diamond Platnumz na WCB kiujumla mnatukosea

Kwa upande wa diamond atoe2 ngoma mbovu kwa sasa maana hit anazo nyingi mno
 
Sikiliza ep ya rayvanny mkuu...ndio utajua watu wanaandikaa
 
Inama nipachike rungu..
innocent dependent
 
Nilisikiliza kidogo wimbo wao mpya AMABOKO nikaona wameisha anza kutudharau.

Wapunguze dharau huo siyo wimbo. Ni sauti tu.
 
Just Audio, na ni namba moja YouTube chini ya saa 24!!
Inakera sana lakini inahitaji uvumilivu kwa msiowapenda WCB!!
WCB Haina mpinzani,sema Hawa mashabiki uchwara na timu pinzani wacha walielie dawa iwaingie kisawasawa.
 
Nilisikiliza kidogo wimbo wao mpya AMABOKO nikaona wameisha anza kutudharau.

Wapunguze dharau huo siyo wimbo. Ni sauti tu.
Kwani umerazimishwa,sasa Kuna nyimbo bila sauti...?aise umekosa hoja unatafuta huruma AMABOKO THE HIT SONG.

*hafu hatuna wimbo ni nyimbo sawa dada yake na alikiba pamoja na harmonize.
 
Kwa upande wa diamond atoe2 ngoma mbovu kwa sasa maana hit anazo nyingi mno
Sasa hizo hizo ngoma mbovu ni hit song,labda ungesema aache kuimba na akiacha kuimba pia wakiandika story atatrendi sasa itakuwaje....?

N.B,AMABOKO/AMABHOKO NI HIT SONG/NATIONAL ANTHERM/SMASH HIT.
 
Kwani umerazimishwa,sasa Kuna nyimbo bila sauti...?aise umekosa hoja unatafuta huruma AMABOKO THE HIT SONG.

*hafu hatuna wimbo ni nyimbo sawa dada yake na alikiba pamoja na harmonize.

Kila sauti ni wimbo ?

Duh dogo wewe inaoneka shule tatizo, kumbe waha hamna akili hujui kutofautisha Kati ya WIMBO NA NYIMBO?

Wimbo _ umoja.
Nyimbo_ wingi.
 
Kila sauti ni wimbo ?

Duh dogo wewe inaoneka shule tatizo, kumbe waha hamna akili hujui kutofautisha Kati ya WIMBO NA NYIMBO?

Wimbo _ umoja.
Nyimbo_ wingi.
Kojoa ukalale dogo sawa AMABOKO IKO NUMBER ONE TRENDING YOUTUBE FOR 1 DAYS WITH 460+VIEWS RECORD BREAKINGS.
 
Kama wewe huwaelewi acha kuwasikiliza mbona wapo wasanii wengi tu wanatoa nyimbo konki? Umeona mashabiki lakini walivyoupokea? Huko insta ni mwendo wa kumwaga maji tu
 
πŸ˜ƒ
kushoto,,,,,,,kulia"shingo kama unaitupa"
inama,,,,,,,,,,,,inuka"kiuno kama unakisusa"
sometimes naboreka"quarantine"
weekend ni vibweka"quarantine"
mitungi tunapombekaaaaa,,,,!!!
πŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…