Diamond Platnumz new hit song UTANIPENDA

Diamond Platnumz new hit song UTANIPENDA

Kupendwa peke yake haisaidii. ..kina nasib timu yao ina nguvu sana kifedha na njia za mziki kidunia wamezikamata. ..la zaidi nasib anajua wakati gani wa kubadilisha gia. ...haya mambo ya kutoa audio halafu video inasubiriwa kama movie ya taken soon kiba ataingia kwenye soka mazima na mziki utamshinda
Straight to the point ma man
Hujawahi kuwa mnafiki hata kwa unaowakubali
 
Mimi nimeuangalia zaidi ya mara 10jamaniiiiiiiii!!!!
Ghafla vicenti sina nimerudi tandaleeee
 
Kupendwa peke yake haisaidii. ..kina nasib timu yao ina nguvu sana kifedha na njia za mziki kidunia wamezikamata. ..la zaidi nasib anajua wakati gani wa kubadilisha gia. ...haya mambo ya kutoa audio halafu video inasubiriwa kama movie ya taken soon kiba ataingia kwenye soka mazima na mziki utamshinda

Uandishi wako unanifurahishaga siku zote bila kujali ujumbe gani umewasilisha!
 
Huyu ndio Diamond ninayemjua mimi.
Hii nyimbo imemrudisha asili ya nyimbo zake.
Japo amekuwa akipiga nyimbo za kibiashara na burudani zaidi.
Lakini hii amerudi katika ile ladha yake ya nyimbo zake za awali
kama 'kamwambie', 'Mbagala', nk.
Hii ni hit ya 'rohoni' itawashika sana wale watu
wa sauti za kumtoa nyoka pangoni.
Hatari ya sauti iliyotumika (Ajemi) ikatokea amekufa
kisha watu wakawa wanasikiliza huu wimbo itakuwa
ni kuvirudisha vilio upya, tena vya kwikwi kubwa!!.
sijajua kama huyu kijana anazijua hizi sauti na asili yake.
Naungana na wewe huyu ndiye Diamond mwenyewe! Pamoja nakuwa na hit songs hivi karibuni tulimiss utunzi mzuri! Nyimbo hii imenikumbusha diamond mwenyewe ...wimbo mzuri sana na utunzi mzuri sana...
 
jamaa katengeneza video balaaa nimeshindwa kuiweka unaweza icheki mwenyewe kule you tube
 

Attachments

  • diamond.jpg
    diamond.jpg
    56 KB · Views: 771
Naungana na wewe huyu ndiye Diamond mwenyewe! Pamoja nakuwa na hit songs hivi karibuni tulimiss utunzi mzuri! Nyimbo hii imenikumbusha diamond mwenyewe ...wimbo mzuri sana na utunzi mzuri sana...

Namuona mama yangu roho yangu tiffa dangote ............... hatariii jamani huyu kijana
 
Yaan bandar Na tra watakuw wanauskiliza kila wakiingia ofisin
 
Wanajamvi,

Muda wowote kutoka sana, mfalme wa wafalme Mond bin laden aka baba tiffah aka mzungu mweusi aka mtanzania pekee aliyejijengea ikulu aka asali ya walembo aka vocalist aka aka aka aka anaenda kudondosha super heat song ever heard.

Stay on this uzi for very recently updates.



Sifa nyngne nizamungu bhna punguza mbwembwe
 
Last edited by a moderator:
kijana anajua hongeraaaaaaaa haukoseagi dogo mond mbele kwa mbele je mtampenda? mtaa wapili ndimu zipo jamani
 
Je utanipenda siku nikiwa sina chapa, Je utanipenda au ndo utanitenga? Mike Tee mnyalukolo
 
Back
Top Bottom