chendelela
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 1,145
- 1,008
kedrick kuwa muwazi, diamond kawadisapoint sana fans wake, huu wimbo too lacal miomdoko ya kizaman, sio mziki wa kisasa, mwambie jamaa ajipange, hii ngoma haiwezi kuingia kwny nagharamia hata robo.
Uko sahihi kabisa beat ya huo wimbo n mbaya hta haivutii
Last edited by a moderator: