babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Zile ndege za kumwagilia kuna kamoja alidondoka nako bilionea mmoja huko Moshi hata bure unapewa,Lakini issue ya ndege mi najua unaagizia oda moja kwa moja kiwandani ,. Au kuna ndege za mtumba?
Nakumbuka, alikuwa anaitwa Babu Sambeke, ni risk sana kuwa na vindege vya mtumba,Zile ndege za kumwagilia kuna kamoja alidondoka nako bilionea mmoja huko Moshi hata bure unapewa,
Ni screpa.
Hakusema ndege ni billion 4 alisema alikua analipia kwa awamu ila kabla hajamaliza kulipia ndo katapeliwa hiyo billion 4Alafu hiyo private jet ya 4 Billion za madafu iko wapi,labda aseme alitaka kununua vile vindege wanaviita focus,au vichata lakini sio private jet ya maana,,hizo zinaanzia Dola 20 million na kuendelea huko na hapo bado running costs and maintenance costs zake na Bado vibali na parking fees,ebu aache utani kama ananunua vile vya kubeba abiria watano Hadi nane sawa hizo bei ni ndogo nazo sio 4 Billion ni kuanzia at least 8 billion huko.
Hizo ndege ndogo ndogo hata matajiri wa Arusha wengi tu wanazo maana bei zake ni kuanzia 2 b na kuendelea na kuwa na 4 sio ishu hapo kariakoo tu wapo jamaa zangu wakinga na wachaga machalii wadogo tu wanauza nguo na viatu from china account zao ni zaidi ya 10 billion niamini Mimi nakuambia na hawana shobo kabisa.
Nimesikiliza vizuri hiyo video amesema ametanguliza bil 4 yaani kwa maana nyingine ni advance ebu isikilize vizuri hiyo video sijaona amesema kanunua kwa bil 4Alafu hiyo private jet ya 4 Billion za madafu iko wapi,labda aseme alitaka kununua vile vindege wanaviita focus,au vichata lakini sio private jet ya maana,,hizo zinaanzia Dola 20 million na kuendelea huko na hapo bado running costs and maintenance costs zake na Bado vibali na parking fees,ebu aache utani kama ananunua vile vya kubeba abiria watano Hadi nane sawa hizo bei ni ndogo nazo sio 4 Billion ni kuanzia at least 8 billion huko.
Hizo ndege ndogo ndogo hata matajiri wa Arusha wengi tu wanazo maana bei zake ni kuanzia 2 b na kuendelea na kuwa na 4 sio ishu hapo kariakoo tu wapo jamaa zangu wakinga na wachaga machalii wadogo tu wanauza nguo na viatu from china account zao ni zaidi ya 10 billion niamini Mimi nakuambia na hawana shobo kabisa.
Umesoma ule Uzi vizuri walivyoandika kwa mujibu wao diamond kaathirika vibaya hajitambui ameisha kabisa sasa kwa hiyo video unaona usadiki hiyo kauli yaoKuna mtu yuko high mda wote?
Mda wa kazi ni kazi ukimaliza fanya chochote unachopenda.
Alisema ni Teja au alisema anatumia madawa ya kulevya? Hujui hata utofauti wake? na alimshauri aache kabla hajachelewa (ndio kua teja sasa) nimegundua wewe ni chawa wa Mondi humu JF ila huna ukaribu nae hata kidogo sio ajabu hata kumuona unamuonea kwenye matamasha wale mashabiki andazi wanaokuaga mbele mbele, wakipelekea mikono kushoto na kulia [emoji23]....Nifah umesema diamond ni teja kwenye ule Uzi wako angalia video ya huu Uzi je kinalingana na ulikuchokuwa unasema?
Hayo mambo inawezekana anafanya kwenye after party zao.Umesoma ule Uzi vizuri walivyoandika kwa mujibu wao diamond kaathirika vibaya hajitambui ameisha kabisa sasa kwa hiyo video unaona usadiki hiyo kauli yao
Mbona unahasira?Alisema ni Teja au alisema anatumia madawa ya kulevya? Hujui hata utofauti wake? na alimshauri aache kabla hajachelewa (ndio kua teja sasa) nimegundua wewe ni chawa wa Mondi humu JF ila huna ukaribu nae hata kidogo sio ajabu hata kumuona unamuonea kwenye matamasha wale mashabiki andazi wanaokuaga mbele mbele, wakipelekea mikono kushoto na kulia [emoji23]....
Diamond anatumia madawa ya kulevya huo ni ukweli wala sio chuki wala majungu.
Mimi au wewe unayehangaika na mtu asiyekujuaMbona unahasira?
Mbona wewe unahangaika na mimi wakati unijuiMimi au wewe unayehangaika na mtu asiyekujua
Maliza kwanza kulia kisha ufute makamasi labda utakua sawa [emoji23]Mbona wewe unahangaika na mimi wakati unijui
Yani watanzania wengi wetu roho mbaya Sana ndugu yanguWatanzania tuna roho mbaya na roho za kwanini.inamaa nassibu Hana b 4?
Ingekuja lakini haiji 🤣🤣🤣🤣🤣 akili yake imekuwa kama tecno imedondoka chiniKwa hiyo ndege inakuja au haiji???
Kha!! Watu mnajua kuhoji. Nimecheka balaaKwa hiyo ndege inakuja au haiji???