Renegade
JF-Expert Member
- Mar 18, 2009
- 7,221
- 6,940
Huwezi kusema uongo na kuwahusisha watu wazito, kuna ukweli katika hili, fikra zangu ni ushamba labda, Diamond alifikiri kuwa kununua Ndege na Gari ni sawa.Kuna wajinga wataamini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi kusema uongo na kuwahusisha watu wazito, kuna ukweli katika hili, fikra zangu ni ushamba labda, Diamond alifikiri kuwa kununua Ndege na Gari ni sawa.Kuna wajinga wataamini
Mimi nakuelewa, ndio maana siwezi kufanya deal ya kizembe.Sidhani. Mimi nililipa sh. 45m NMB adv ya kupata gari kutoka ughaibuni mwaka jana hadi leo sijapata. Mhusika alishahama Tanzania na kampuni yake haipo tena nchini. Anaishi lndia karibu na wachina huko. Bado nahangaika kurejesha hiyo pesa.
Matapeli wapo
Labda ndio kutengana na Salam SK inawezekana aliwapiga wenzake japo kiasi inawezekana ikiwa kick ya festival yake kuongeza zero. Tunajuwa mambo ya ndege yalikuwa chini SK kwa maana kina Babu Tale lugha ilikuwa shida sasa kuna uwezekano mkubwa SK alihusika kama yeye au aliingizwa mjini.Kama hii stori Ina ukweli basi mjini ni kiboko.
Imagine Diamond anatapeliwa Hadi kwenda kulilia Polisi, wewe mwenzangu utasalimika?
Ongezeni nyama basi maana naona kama sioni hivi, inaweza kuwa kamba maana Ukisikia mtu anaitwa msanii hapa Bongo ujue ni mpiga kamba 😆😆
=======
Baada ya kutua Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga leo Oktoba 29, staa wa bongoflava Diamond Platnumz amefunguka kuhusu ishu ya ndege yake binafsi (private jet) aliyotaka kununua.
"Ishu ya ndege yangu ina mambo kidogo, nilinunua jet nimelipa fedha nimetapeliwa, nilimpigia Waziri Mbarawa (Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa) alinisaidia, kaka yangu Hamza ( Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), Hamza Johari) alinisaidia na sasa serikali nzima inanisaidia kupata haki yangu, nililipa fedha nyingi, kianzio zaidi ya bilioni ila niliowawatumia wananiletea ujanja ujanja," amesema Diamond Platnumz
Diamond amekuwa akitumia ndege binafsi katika safari zake za ndani na nje ya nchi.
Chanzo: Mwanaspoti
View attachment 2797713
Hapa uko sahihiHuwezi kusema uongo na kuwahusisha watu wazito, kuna ukweli katika hili, fikra zangu ni ushamba labda, Diamond alifikiri kuwa kununua Ndege na Gari ni sawa.
mwambieni apunguze sembe, sisi sio watoto wadogo atudanganye mchana ivo.Kama hii stori Ina ukweli basi mjini ni kiboko.
Imagine Diamond anatapeliwa Hadi kwenda kulilia Polisi, wewe mwenzangu utasalimika?
Ongezeni nyama basi maana naona kama sioni hivi, inaweza kuwa kamba maana Ukisikia mtu anaitwa msanii hapa Bongo ujue ni mpiga kamba 😆😆
=======
Baada ya kutua Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga leo Oktoba 29, staa wa bongoflava Diamond Platnumz amefunguka kuhusu ishu ya ndege yake binafsi (private jet) aliyotaka kununua.
"Ishu ya ndege yangu ina mambo kidogo, nilinunua jet nimelipa fedha nimetapeliwa, nilimpigia Waziri Mbarawa (Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa) alinisaidia, kaka yangu Hamza ( Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), Hamza Johari) alinisaidia na sasa serikali nzima inanisaidia kupata haki yangu, nililipa fedha nyingi, kianzio zaidi ya bilioni ila niliowawatumia wananiletea ujanja ujanja," amesema Diamond Platnumz
Diamond amekuwa akitumia ndege binafsi katika safari zake za ndani na nje ya nchi.
Chanzo: Mwanaspoti
View attachment 2797713
Hiyo pesa hana ya kununua ndegeUkisoma comment humu watu wanabisha na sijaelewa kabisa. Diamond hana hicho kiasi cha pesa au Diamond hawezi kutapeliwa?
[emoji23][emoji23]Au ndo Unga ushaanza kukolea? Chid Benz naye gari lilivyoanza kuwaka akasema kafanya ngoma na 2pac!
[emoji23][emoji23][emoji23]Au ndo Unga ushaanza kukolea? Chid Benz naye gari lilivyoanza kuwaka akasema kafanya ngoma na 2pac!
Mkuu mtu ana utajiri wa zaidi ya B 20 yan hiyo B 4 imsumbue kununua jet yake?Hiyo pesa hana ya kununua ndege
Ukisoma comment humu watu wanabisha na sijaelewa kabisa. Diamond hana hicho kiasi cha pesa au Diamond hawezi kutapeliwa?
sinza pazuriWale praise team wa wasafi watakuja kwa wingiiii..
Sisi huwa tunapenda kusikia habari mbaya kwa mtu. Wewe umesema sahihi kabisaHizi habari kuna watu hawato amini ila wakiambiwa ana kula unga wana amini asilimia zote
Kuna jamaa juu kasema wabongo habari kama hii hawaamini ila wakiambiwa jamaa anatumia unga wanaaminiMkuu namimi nimejiuliza kama wewe
Unajua shida yatu ni hii
Mosi tumezoea kudanganya kwa kuongeza sifuri mbele haswa maselebriti wetu
Pili tulio wengi ni masikini na hatuamini kama Mtz kama Domo anaweza kuwa na mahela mengi kiasi hicho
HahahaAu ndo Unga ushaanza kukolea? Chid Benz naye gari lilivyoanza kuwaka akasema kafanya ngoma na 2pac!
Dah Billion 4 ni hela ambayo anao uwezo wa kumiliki mbona? japo siyo hela ndogo ila wafanya biashara kibao account zao zinasoma B+, zamani nilikua naona Billion ni kitu cha ajabu sana mtu kumiliki lakin kwenye mihangaiko nimekutana na wafanya biashara wenye utajiri huo wengi tu tena wanaishi mikoani huko.[emoji23][emoji23][emoji23]..labda billioni4 za Haiti