Hata aliposema ataanzisha wasafi media mlisema muongo hivyo hivyo,so huo ni wivu tu.
Ya mwaka gani!!?1,035,000,000 bei ya rolly bila kodi.
Ukiweka kodi hapo.
Ngoma itakuwa inatembelea 1,235,000,000/=
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila kitu qmachofanya jmaa mnasema ni cha Mke wa Kusaga, waswahili mna shidaHotel ni ya mke wa Kusaga jamaa yupo kama brand, sema huyu anapenda Kiki tu.
Eti kibakulinyinyi ndio mnamfanya kibakuli ajione king kumbe kingwendu
Nasikia ni ya kwako na mchepuko wako.Kwan wasafi yakwake
Sent from my iPhone using JamiiForums
NAJUA WENGI HAMTANIAMINI ILA KUNA UTAFITI WA KIJASUSI NIMEUFANYA NIMEGUNDUA DIAMOND PLATNUM ANACHEZA NA AKIRI ZA WATU KWA SABABU ANAJUA KUNA WAPO VIJIWENI KAZI YAO KUBISHANA VIJIWENI,Msanii Diamond platnumz akihojiwa ktk kipindi cha Good morning ya wasafi fm amesema amenunua hoteli yenye hadhi ya nyota tatu iliyopo Mikocheni, hoteli hiyo amedai ina vyumba zaidi ya 30 pamoja na conference room, pia amedokeza suala la kununua gari ya ndoto yake Rolls Royce ambayo ni ghali zaidi ila bado haijafika nchini na yupo ktk hatua za mwisho kuifikisha.
Amezungumzia suala la kukataa kulea watoto wake aliozaa na Zari the bosslady kuwa alimtafuta mzazi mwezie huyo na tayari wamemaliza tofauti zao zilizokuwepo.
Kuhusu hoteli hiyo Diamond ameiomba wizara ya Afya kama ipo tayari waifanye hata karantini kwa ajili ya wagonjwa wa corona kwani kabla ya kuanza kutumika anatarajia kuifanyia marekebisho ya kuiongeza hadhi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Weka ushahidiHotel ni ya mke wa Kusaga jamaa yupo kama brand, sema huyu anapenda Kiki tu.
AiseeHotel ni ya mke wa Kusaga jamaa yupo kama brand, sema huyu anapenda Kiki tu.
wewe nae weka ushahidi kama ni yake..too much faking wakati wanaishi kwenye nyumba za kupanga kama sisi tu