Kwa umri wake na vitu anavyomiliki ni mpambanaji sanawewe nae weka ushahidi kama ni yake..too much faking wakati wanaishi kwenye nyumba za kupanga kama sisi tu
Ni ujinga tu na Ulimbukeni wa kutaka misifa, kulikua hakua haja ya kutangaza mahotel na Magarihuyu nae huwa ana fake maisha kupitiliza,wanafanya vijana waone kuwa wamechelewa sana kitu ambacho si kweli mwisho wa siku vijana wanaingia kwenye vitendo ovu ili nao wapate mali...too much faking yaani...vijana wenzangu tusipaniki na haya maigizo,huyu nae anaishi kwenye nyumba za kupanga kama sisi tu
nyinyi ndio mnamfanya kibakuli ajione king kumbe kingwendu
Unapata tabu.Vipi hajatangaza utaratibu wa kuwalipia kodi, mi nkajua interview ilikua ya kutangaza utaratibu kama ilivyosemwa,.
Sasa mbona habari Kubwa imekua ni Ya Hotel na Gari, Alafu misukuale yake Inashangilia, Kasema kamaliza tofauti yake na Mzazi mwenzake hapa misukule Imenuna, Jana misukule ilishupaza shingo kumchamba zari jamaa kapiga simu kajishusha wayamalize..
Mambo ya Kununua Magari na mahotel yanatuhusu nini Misifa tu na kutafuta kutrend, Babako analala nyumba ya tope we unatangaza kununua Mahotel, pimbiz na kengez zinashangalia na kufurai wakati hata baisker hazina
Mkuu utaratibu upoje, alisema atatangaza utaratibu naona kaenda kutangaza mahotel na magariUnapata tabu.
Mbona namba wameitangaza nenda instagram kwenye page za Wasafi TV.Mkuu utaratibu upoje, alisema atatangaza utaratibu naona kaenda kutangaza mahotel na magari
Utaratibu wa hovyo kabisa..Mbona namba wameitangaza nenda instagram kwenye page za Wasafi TV.
We usemege mapema shida zako kwani ukilipiwa kodi ya miezi mitatu nani atakujua kama wewe haters wa WCB na Diamond.
Nenda husione aibu hawakujui.Utaratibu wa hovyo kabisa..
ni kweli kabisa kumbe unamfahamu alikiba jinsi hapendi kujitangaza aiseee
kabisa kabisa kwani kwa alikiba hvyo ni kawaida mnoKuna mwamba mmoja ana Buggati kitambo ila hapendi kujionyesha.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] wabongo bwana...nasikia watu wameanza kumpangia samata matumizi ya mshahara wakeWatesema si yake "anatafuta KIKI",wengine utawasikia " kama hotel yake aweke documents".
[emoji2][emoji2][emoji2]Sio poa kuleta habari za Diamond bila idhini ya innocent dependent.
ngoja rolls royce itue mjini mtasema ameazima1,035,000,000 bei ya rolly bila kodi.
Ukiweka kodi hapo.
Ngoma itakuwa inatembelea 1,235,000,000/=
Sent using Jamii Forums mobile app