[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah Kwan wasafi ni ya kwake? HihihihihihihihihihihHata aliposema ataanzisha wasafi media mlisema muongo hivyo hivyo,so huo ni wivu tu.
Nisaidie binamu kumtoa usingizini huyu kiswaswadu lol mweeeehKwan wasafi yakwake
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mkuu kama kuna kijana anaingia kwenye hvyo vitendo nadhani uwezo wake mdogo tu, kama haya ya huyu dogo ni kweli basi na sisi yiendelee kupambanahuyu nae huwa ana fake maisha kupitiliza,wanafanya vijana waone kuwa wamechelewa sana kitu ambacho si kweli mwisho wa siku vijana wanaingia kwenye vitendo ovu ili nao wapate mali...too much faking yaani...vijana wenzangu tusipaniki na haya maigizo,huyu nae anaishi kwenye nyumba za kupanga kama sisi tu
too much faking
Kutumia serikali za mitaa pia ni utaratibu.Vipi hajatangaza utaratibu wa kuwalipia kodi, mi nkajua interview ilikua ya kutangaza utaratibu kama ilivyosemwa,.
Sasa mbona habari Kubwa imekua ni Ya Hotel na Gari, Alafu misukuale yake Inashangilia, Kasema kamaliza tofauti yake na Mzazi mwenzake hapa misukule Imenuna, Jana misukule ilishupaza shingo kumchamba zari jamaa kapiga simu kajishusha wayamalize..
Mambo ya Kununua Magari na mahotel yanatuhusu nini Misifa tu na kutafuta kutrend, Babako analala nyumba ya tope we unatangaza kununua Mahotel, pimbiz na kengez zinashangalia na kufurai wakati hata baisker hazina
Anza kujifukiza Corona Imeanza kutafuna UbongoDiamond anao uwezo wa kuinunua timu nzima ya Simba mpaka mfadhili wake MO.
Zimebadilishwa jina baada ya mkataba kuisha, saivi zinaitwa fresh karanga
Si ni ya kwako na uyo mrumi wa chitoholi au sio Nyie?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah Kwan wasafi ni ya kwake? Hihihihihihihihihihih
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna bofoya mmoja inaonekana anastress sana za maisha,mtu akikuzidi uwezo kubali tu ndio kujifunza hukoHuwezi amini yani kuna mtu anaumia sana akiona hivi. Ndo utajua roho ya kichawi mtu anazaliwa nayo, ujuzi anaukuta duniani.
Sent using Jamii Forums mobile app