hazard chel
Member
- Aug 14, 2018
- 15
- 84
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] wabongo bwana...nasikia watu wameanza kumpangia samata matumizi ya mshahara wake
Sent using Jamii Forums mobile app
Chukulia Wasafi TV kwa mfano... Jamaa ana 45% ya hisa!!too much faking
Hivi Kusaga amemuachia Diamond hisa zote za Wasafi Media?Hata aliposema ataanzisha wasafi media mlisema muongo hivyo hivyo,so huo ni wivu tu.
Hiyo gari ina nini cha zaidi hadi iuzwe gharama kiasi hicho?[emoji134]1,035,000,000 bei ya rolly bila kodi.
Ukiweka kodi hapo.
Ngoma itakuwa inatembelea 1,235,000,000/=
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini Unajua masuala ya hisa?
too much faking...na anawafuasi wa kutosha kama wewe kawapata through fakingChukulia Wasafi TV kwa mfano... Jamaa ana 45% ya hisa!!
Sasa kama mtu ana 45% ya hisa halafu unadai "too much faking" basi utakuwa na matatizo si kidogo!!
Ndo maana nimekuambia kama mtu mwenye 45% share kwako unaamini anafanya too much faking then you have serious problem!too much faking...na anawafuasi wa kutosha kama wewe kawapata through faking
kumbe ana 45%..mi nilidhani zote 100% zake coz alikuwa anajitapa kuwa anaanzisha media yake kumbe sio yake??Ndo maana nimekuambia kama mtu mwenye 45% share kwako unaamini anafanya too much faking then you have serious problem!
Good job mwanangu, Mungi akuzidishie kama utaweka iwe kwaajili ya karantini, ni zaidi ya kutoa.Msanii Diamond platnumz akihojiwa katika kipindi cha Good morning ya Wasafi FM amesema amenunua hoteli yenye hadhi ya nyota tatu iliyopo Mikocheni, hoteli hiyo amedai ina vyumba zaidi ya 30 pamoja na conference room, pia amedokeza suala la kununua gari ya ndoto yake Rolls Royce ambayo ni ghali zaidi ila bado haijafika nchini na yupo katika hatua za mwisho kuifikisha.
Amezungumzia suala la kukataa kulea watoto wake aliozaa na Zari the bosslady kuwa alimtafuta mzazi mwezie huyo na tayari wamemaliza tofauti zao zilizokuwepo.
Kuhusu hoteli hiyo Diamond ameiomba wizara ya Afya kama ipo tayari waifanye hata karantini kwa ajili ya wagonjwa wa corona kwani kabla ya kuanza kutumika anatarajia kuifanyia marekebisho ya kuiongeza hadhi.
View attachment 1432229
Huyo aliye too much faking ana 45% share... wewe unazo ngapi?!kumbe ana 45%..mi nilidhani zote 100% zake coz alikuwa anajitapa kuwa anaanzisha media yake kumbe sio yake??
Hiyo Gari ni tamu sana mkuu hata mimi ni ndoto yangu sema basii tu.1,035,000,000 bei ya rolly bila kodi.
Ukiweka kodi hapo.
Ngoma itakuwa inatembelea 1,235,000,000/=
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna Lofa hapo juu kaandika "kumbe anamiliki 45%, mi nilidhani 100%... yaani hata hafahamu sheria za makampuni huwezi kumiliki 100%!!Lakini Unajua masuala ya hisa?
Hivi mtu yeyote akitamka neno WASAFI unadhani ina reflect nini kwenye akili yako ?
Kusaga au diamond?
Na mtu akisema cloud's media,nini kinakuja Haraka kwenye akili yako?
Kusaga au Rostam Aziz?
Hiyo ni bei ya Phantom lakini matoleo mengi ni chini ya hapo na bado ni matoleo makali tu!1,035,000,000 bei ya rolly bila kodi.
Ukiweka kodi hapo.
Ngoma itakuwa inatembelea 1,235,000,000/=
Sent using Jamii Forums mobile app
Roho za kimaskini ndo zinamsumbua.Kuna bofoya mmoja inaonekana anastress sana za maisha,mtu akikuzidi uwezo kubali tu ndio kujifunza huko
Sent using Jamii Forums mobile app
Amenunua Jana tu na amesema Kuna mambo atayabadilisha ndipo ata announcement rasmi kutumika