Mwishini mwa mwezi wa saba,dunia kama sio Tanzania,tulipata ujumbe kutoka kwa Diamond kwamba kutakua na Birthday party ya mwanae Latifa huko bondeni kwa Madiba!! Party itakua live kupitia channel ya Wasafi tv,bila kupoteza muda haraka nikalipa kifurushi cha miezi mitano,ili nifaidi uhondo!!
Pia akaja na wako kwamba atalipia watoto 30,gharama za kwenda kula bata la nguvu na mtoto mwenzao Latifa,nikasema kumbe mambo ni vipi moto!! Pia tukaambiwa kuna baadhi ya wasanii kama Madame Sepenga na Aunty Ezekiel watapata offer ya kwenda bondeni kwa gharama za Diamond!!
Sasa nauliza mbona kimya sana?? Sijaona picha za Sepenga na Aunty Ezekiel wakiwa bondeni,sijaona, watoto wakipewa tiketi za ndege za kwenda bondeni,au hii kitu ilifanyika kimya kimya??
Bado najiuliza kwa nini unapenda kutoa taarifa mapema,halafu inakuja onekana ni mtu uongo?? Bado tunafikiria fix yako ya kwenda kuimba wimbo maalum wa Welidi kapu,napo ulitupiga kamba!! Badilika punguza stunt utakuja kwama!!
Pia akaja na wako kwamba atalipia watoto 30,gharama za kwenda kula bata la nguvu na mtoto mwenzao Latifa,nikasema kumbe mambo ni vipi moto!! Pia tukaambiwa kuna baadhi ya wasanii kama Madame Sepenga na Aunty Ezekiel watapata offer ya kwenda bondeni kwa gharama za Diamond!!
Sasa nauliza mbona kimya sana?? Sijaona picha za Sepenga na Aunty Ezekiel wakiwa bondeni,sijaona, watoto wakipewa tiketi za ndege za kwenda bondeni,au hii kitu ilifanyika kimya kimya??
Bado najiuliza kwa nini unapenda kutoa taarifa mapema,halafu inakuja onekana ni mtu uongo?? Bado tunafikiria fix yako ya kwenda kuimba wimbo maalum wa Welidi kapu,napo ulitupiga kamba!! Badilika punguza stunt utakuja kwama!!