Diamond Platnumz: Tuzo za Tanzania zilikufa kwa sababu yangu, nilinyimwa Watanzania wakakasirika sana

Diamond Platnumz: Tuzo za Tanzania zilikufa kwa sababu yangu, nilinyimwa Watanzania wakakasirika sana

BigTall

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2022
Posts
525
Reaction score
1,257
Mwanamuziki wa, Diamond Platnumz Akiwa Kwenye Interview na Kituo cha #BBCSwahili Jijini London Ametaja Sababu Ya Yeye Kutoshiriki Kwenye Tuzo Za Muziki Nchini.

"Namshukuru Waziri Wa Sanaa Michezo Na Tamaduni Tulipata Wasaa Wakuongea Kabla Ya Tuzo Kufanyika Na Nilimueleza Maoni Yangu Na Cha Kwanza Nilimwambia Sikuwa Bado Na Imani Na Tuzo Hizo Labda Nizione Mbele Zitaendeleaje Na Zitakuwa Na Uhalisia Kiasi Gani''

"Nitakuambia Ukweli Mara Ya Mwisho Tuzo Zilikufa Kwasababu Yangu Mimi Nilinyimwa Tuzo Walipewa Watu Wengine Ambazo Mimi Nilikuwa Na Stahili Hivyo Wadhamini Wakamind Watu Walijitoa.

“Yalitokea Mambo Mengi Sana Wakaenda Kuomba Radhi Na Nini So Kutokea Pale Sababu Ya Tuzo Kufa Mimi Ndio Ilikuwa Sababu Mimi Nilinyimwa Watanzania Wakakasirika So Ili Zinavyokuja Mpya Naziamini Vipi?? Lazima Nizitazame Zina Ukweli Au Zina Uongo Ndani Yake''

Source: BBC Swahili
 
KUWA NA MTU ANAJITAMBUA KAMA MONDI NI HAZINA TOSHA.

HUYU NI MIONGONI MWA WATU WENYE AKILI SANA JAPO HAJASOMA.

ANAWEZA WAFANYA WAKE ZENU, DADA ZENU NA HATA WANAUME WENGINE KUWA NAE ATTENTION KWA KILA JAMBO ANALOLIFANYA.

AKILI KUBWA MNO NA KUJITAMBUA NDO KUMEMPA MAFANIKIO ALIYONAYO
 
Hapo kwanza ncheke 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Yupo sahihi,hizo tuzo zimejaa Siasa na upuuzi mtupu,vigezo vinavyotumika kuwapata washindi ni janja janja tu,inawezekana vipi msanii mkubwa nchini kwa kila kitu,pesa,ubora,akose tuzo hata moja?

Pale basata unakuta director hajuhi hata mziki au kuigiza,amesomea kadegree kake ka sociology,kapewa kazi anakula salary tu,
Upuuzi wa kuchangsnya Siasa na mambo mengine,tumeuona leo

Simba inacheza,mechi ya kimataifa,harafu wakachomekea kipengele Cha mgeni rasmi!mgeni mwenyewe ni Makamu wa ccm!!fisadi Kinana,inatapisha balaa.
 
Atokee mwanasiasa atakaekuwa na wafuasi loyal kama dayamondi au mwamposa ataongoza hii nchi mpaka afe

Wafuasi wa hao watu wawili ni kama mazezeta juu ya vipenzi vyao

Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom