Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,074
- 20,608
Mwanaume wa Dasilama akitokwa na povu kwa yasiyomuhusu
Sent From My Nokia Ya Tochi
Sent From My Nokia Ya Tochi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chai umekunywa mkuu! [emoji23][emoji23]omoacheni shobo ww mtoa mada ndugu zako na rafik zako kibao wameumwa na hujawah kwenda
Sent from my GT-I9300 using JamiiForums mobile app
Sikuizi umehamia huku mkuu karibu sanaUkiacha kufatilia maisha ya wanaume wenzio utakuwa tajiri mkubwa hapa mjini
Povu la mbunju ukiwa muhenga utaelewaMara Diamond...
Mara Baba Tiffah...
Mara Dogo..!
Povu juu ya Povu...
Sent from my Iphone-7 plus using JamiiForums Mobile App
Usijali mke wangu,siku nyingine uliza watu kabla ujaropoka,sawa mke wangu eeh ??Mume wangu pole kwa povu
salama mkuu?[emoji23]Mwanaume wa Dasilama akitokwa na povu kwa yasiyomuhusu
Sent From My Nokia Ya Tochi
mi pia nilikuja nikiwa natafutaNilikua natafuta comment yako [emoji23][emoji23][emoji23]
Funguka tu mkuu hamna cha ban , me ndo moderatorHuo ndiyo ukweli.
Kila mtu ana majanga yake inapokuja katika maisha binafsi.
Pia, hizi hela kuna watu wanazipata kwa masharti magumu kwa hiyo vigezo vya kupewa hizo hela ni lazima yazingatiwe regardless who is in trouble.
Kwa mfano, members wote wa FreeM , huwa hawatoi hela zao kwa ajili ya matibabu wala kuwa na huruma na mtu hata akipatwa na msiba.
Kwa hiyo, hili game tukae pembeni tukiwa na popcorns na soda baridi tuendelee kusoma game.
Ninayo , mengi ya ajabu ya kuandika, ila Kwa sababu naogopa ban na defamation naomba nishie hapa.
Nitarudi tena toleo lijalo.
Afu ww unanifunza uongoe ee?Funguka tu mkuu hamna cha ban , me ndo moderator
Hivi unadhani Zari alifanya jema kwa Diamond alivyohudhuria msiba wa Ivan? Kwa mwanaume inauma kuliko maelezo nikuelezeHa ha haaaa
Hajui tu ameshaanza kuboa wengi sana sana haupo peke yako.
Nimeiona hiyo ya jina leo.
Watu wengine sijui hua mnawaza kwa kutumia niniHivi unadhani Zari alifanya jema kwa Diamond alivyohudhuria msiba wa Ivan? Kwa mwanaume inauma kuliko maelezo nikueleze
Hiyo ndiyo difference between males and females na pindi diamond angekuwa anamcontrol zari asingeenda katika maziko yale bila Diamond na wangesema mke wa Diamond ambaye ni mke wa ivan wa zamani. Ndo maana sasa uhusiano unayumba. Najua hutakubali ila wanaume si wavulana watanielewaWatu wengine sijui hua mnawaza kwa kutumia nini
Mrs Van
Na kwa kweli bora akili imrudie cyo kwa hilo libibi.....Akili imemrudia anamuona mzee "ex mke wa mganga"
Na kwa kweli bora akili imrudie cyo kwa hilo libibi.....Akili imemrudia anamuona mzee "ex mke wa mganga"
Toa shida apa, kwa iyo asingewasindikiza watoto wake.Hivi unadhani Zari alifanya jema kwa Diamond alivyohudhuria msiba wa Ivan? Kwa mwanaume inauma kuliko maelezo nikueleze
Kwahiyo huyo member incase amefiwa na mwanae inakuwaje?
Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
Funguka tu mkuu hamna cha ban , me ndo moderator