[emoji1787][emoji1787] hawaonagi watu wanaweka mpaka title za uwongo ilimradi tu wapate clicksKeyboard warriors [emoji23][emoji23][emoji23] . Leo youtube mnaitaa sehemu ya mteremko mnachekesha sana. Mnaichukulia youtube kimzaa sana. Ukitaka kujua youtube pagumu nenda ukaweke content zako mule ndio utajua hujui. Wasanii wangapi wakubwa hata kufikisha 200k ni ishu.
Usichotka kukubali kwamba ukali wa ngoma ndio kitu pekee kimefanya hiyo collabo ifike hapo....kama koffi ndio kila kitu Basi koffi mwenyew angeweka hyo record..si mashabiki anao?Diamond ni mjanja mjanja tu wa kuteleza kwenye kolabo msisahau kofee Ana mashabiki wengi bongo diamond anajitahidi lakini bado hajafika level za kina davido na wizkid hawafanyi kazi kiujanja janja kwa kubebwa na kolabo halafu hawa jamaa karibu afrika nzima wakiandaa show wanajaza sina kumbukumbu diamond alisha andaa show yake Nigeria au south afrika
hahah vipi mbona jazba?? hizo figure nilizoweka hapo sio hela kwani??Acha kinyongo jombaa... Kwani ukipongeza ukapita au ukikaa kimya unapungukiwa nn
1. Olomide naona yeye haimbi anataja majina ya mapedeshee tuu.
2.Melody haina consistency kwani ni vipengelepengele vya nyimbo aliwahi kuimba na nyingine za kwenye siasa hasa inalobebajina la wimbo
3.Wamerekodia ndani sehemu moja kwa kutumia blue screen ama chroma key hivyo hakuna cha location
4.Kuna mafurushi meupe yanaonekana kwenye video sijui ni mizigo iliyobeba nguo za kubadilishia na mtu wa graphics akasahau kuyafuta au labba ndio staili wamekuja na madude ya kuboresha.
5.Audio ni bora maneno yanasikika vizuri ijapokuwa tafsiri ama theme ya wimbo siielewi
6.Picha ni bora na za kiwango cha juu hata ukizoom bado ubora haupotei
Ndio hivyo mkuu chema chakuza kibaya chajitembezaSiku zote hit songs huwaga inaonekana huitaji kutumia nguvu nyingi,mara sijui mimi nafanya mziki mzuri,mara hii nyimbo funga mwaka,acha number ziongee zenyewe.
View attachment 1638975
View attachment 1638976View attachment 1638977View attachment 1638978View attachment 1638979View attachment 1638980
🤣🤣🤣Alikiba alishawahi kupata views millioni moja ndani ya masaa mawili, sema aliomba uongozi wa youtube wampunguzie views, jamaa hapendi show off kabisa
[emoji3][emoji3][emoji3]Alikiba alishawahi kupata views millioni moja ndani ya masaa mawili, sema aliomba uongozi wa youtube wampunguzie views, jamaa hapendi show off kabisa
Asiyekuelewa hapa akapimwe akili.Sasa innos mbna alitoa original na haikwenda kama remix? Na kama koffi ndio upepo Mbna koffi mwenyew hajaweka hiyo record peke yake? Basi na wengne wafanye kaz na innso na koffi tuone kama wataweza weka record..acha chuki bro..toa pongezi ulale usingzi mzur [emoji3]
Afadhali kijana kaamua kupiga muziki hivi sasa si kama zama zile anacheza na kutembea na CD mfukoni, bila kuwa na CD ya playback haimbi. Hongera Diamond kuamua kuwa mwanamuziki wa kweli, bongo fleva haina mvuto na sauti yako ni nzuri kuimba muziki wa live si upuuzi wa playback. Vunja vunja zile CD ulizokuwa unatembea nazo awali.Simba wa Muziki barani Afrika diamondplatnumz amevunja rekodi ya Kufikisha YouTube Views million 1 ndani ya Muda mfupi zaidi iliyokua inashikiriwa na Mwanamuziki davido Kutoka nchini Nigeria, na Kuandika Rekodi yake mpya kupitia Video ya Hit song yake ya #Waah aliyomshirikisha @koffiolomide_officiel .
Diamond ameweka Rekodi hiyo mpya baada ya Kufikisha Views Milion 1 ndani ya Masaa 8 TU, rekodi ambayo awali ilikua inashikirikwa na davido ambae alifikisha Views Milion 1 ndani ya Masaa 9 kupitia Video yake ya #FEM .
Rekodi hii inaendelea kudhihirisha ubabe na nguvu kubwa aliyonayo diamondplatnumz katika Muziki, kwasababu si rahisi wala mzaha kufikia namba za kutisha namna hii !
Mpaka hivi sasa Video ya #Waah ina watazamaji zaidi ya Milioni 1 ikiwa ni Masaa 8 TU tangu iachiwe ..
Source# wasafi tv
Kamati ya fitna[emoji23][emoji2]Tumetoa pongezi kwa mwenye nyimbo...koffi heshima yake ipo pale pale
That's what we call business strategies..Jamaa ni GeniusMada ni Mondi lakini,
Kachekecha akili weee kaona atembelee upepo wa Koffie kama alivyotembelea upepo wa Innos,
Lol.