KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
anajua kulaDuh aiseee kawa chawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
anajua kulaDuh aiseee kawa chawa
😂🤣Diamond hajapeleka Malalamiko? 🐼
Amwambie Tulia atuletee Pdiddy aje kufanya show kali hapo Lupaso kwa MkapaMsanii na mfanyabishara mkubwa sana nchini Tanzania, Diamond Platnumz amewataka watu wa Mbeya kujivunia Spika wa Tanzania na Duniani Madam Tulia Ackson. Diamond ameonekana kuvutiwa na namna Madame Tulia alivyoongoza mjadala mgumu wenye hisia kali kutoka kwa watu wenye weredi duniani aliongoza kwa ustadi mkubwa bila kuteteleka.
Kajenga hoja zenye kueleweka, wale wajumbe wa kizungu walitaka kumpelekesha wakakutana na daktari wa sheria kichwa kinafanya kazi kweli kweli.Tulia kaonesha uwezo wa uongozi.period
Unajivua nguo mkuu wenye akili wanaona ulivyo mjinga jifiche basiAmwambie Tulia atuletee Pdiddy aje kufanya show kali hapo Lupaso kwa Mkapa
Tulia ni kiongozi.Kajenga hoja zenye kueleweka, wale wajumbe wa kizungu walitaka kumpelekesha wakakutana na daktari wa sheria kichwa kinafanya kazi kweli kweli.
Hata hivyo maisha ni kula na kushiba mkuu,Kuna kingine kwani🤣🤣Tatizo watu wengi wanaishi kwenye ufukara wa kutisha.
Kinachowapa kiburi ni ile kula na kushiba, lakini wengi wao ni masikini sana.
Kule mahakamani 🐼Malalamiko yapi mkuu...
Mmejiandaa kwa Upako?! 🐼Amwambie Tulia atuletee Pdiddy aje kufanya show kali hapo Lupaso kwa Mkapa
Unaelewa maana ya mtu smart?Tunatakiwa tuwe na watu smart kama Tulia kwenye uongozi, mtu anaejua nchi inatakiwa kupita njia zipi kupata maendeleo.
SubhanAllah!Ilikuaje tena?🤔mtu kafirwa na p Diddy unadhan ana akili tena
Tupo tayariMmejiandaa kwa Upako?! 🐼
Keshalimwa na jembe la pididi sahivi anarukaruka tuKama ni jembe lichukue likulimie wewe
Yes, anakuwa kama Dr Tulia. Very competent leader.Unaelewa maana ya mtu smart?
Yaani mtu ushauriwe mambo ya kisiasa na Pdidy?😂😂😂😂Sasa wewe na akili zako timamu Diamond ni mtu wa kukushauri kuhusu siasa za hii nchi?
Huyu ni mzuri tu katika kukuinua kiuchumi kupitia uchawa na muziki ila maswala ya ushauri maana hata yeye anacheza na upepo wa pesa tu hana alijualo.