Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Toka kwenye boksi uione dunia.Yes, anakuwa kama Dr Tulia. Very competent leader.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toka kwenye boksi uione dunia.Yes, anakuwa kama Dr Tulia. Very competent leader.
Wana Mbeya watamchagua Dr Tulia kwa kishindo. Zama za kuongozwa na wavuta bange na watukanaji zimepitwa na wakati.Wanambeya hatumtaki Tulia, achilia mbali huo uraisi wake wa mabunge, uspika wa bunge hata huo ubunge wake tu hautusaidii wanakoma kumwanya.
Sawa mwanambeyaWana Mbeya watamchagua Dr Tulia kwa kishindo. Zama za kuongozwa na wavuta bange na watukanaji zimepitwa na wakati.
Ukiona mijadala iliyoshiba kama huu epuka kujiaibisha uwe unakaa kando.Mbeya walimtaka mke wa pdidy tayari kajitokeza kuwajibu.
Dr Tulia tunapaswa kumlinda kwa gharama yoyote ametuheahimisha.Toka kwenye boksi uione dunia.
Unamlinda kutokea wapi?Wewe ni mwana-Mbeya?Dr Tulia tunapaswa kumlinda kwa gharama yoyote ametuheahimisha.
Kutoka moyoni kabisa sitakiKutoka moyoni hautaki kuwa na binti mwenye qualities za Dr Tulia?
Hii roho mbaya unaweza mloga hata mwanaoe.Kutoka moyoni kabisa sitaki
Roho mbaya imetoka wapi, nimejibu ulichoniulizaHii roho mbaya unaweza mloga hata mwanaoe.
Jifunze namna ya kufanya mijadala unaiaibisha Mbeya.Unamlinda kutokea wapi?Wewe ni mwana-Mbeya?
awe mwanambeya wapi, huyo Mond anaacha kuwapigia wabunge wake wa daslam anahangaika na mbeya, bahati yake anaongelea mtandaoni, kama yuko serious aje mbeya asungumse liveUnamlinda kutokea wapi?Wewe ni mwana-Mbeya?
Huu utoto waachie watoto wa 2000Huyo mpakwa mafuta naye anajua nini hebu atuache View attachment 3127447
Dr Tulia yupo pale mpaka achoke mwenyewe, president wa bunge la dunia hampishe mvaa hereni? Unaota.Sijui kwenye mikoa yenu, ila kwenye mkoa wetu HATUMTAKI na hata akigombea ujumbe wa nyumba 10 hapati!
Na ndiyo maana wanaishia kubinuliwa na Pdidy.Wasanii wa Tanzania wana bahati kuwa na audience ambayo haipo socially or politically aware kama Kenya, Nigeria na South Africa. La sivyo wengi sana wangeshakuwa cancelled maana kiukweli zaidi ya kuburudisha na kustarehesha, wengi ni good for nothing