Diamond Plutnumz atangaza Mimba ya Zari thebosslady Rasmi

aisee kila siku najifunza kitu kipya....hivi kutangaza mpenzi wako/mkeo ana mimba ni vibaya!!! hivi dunia hii tunayoishi Diamond ndio mtu wa kwanza kutangaza mpenzi wake ana mimba??!!! nimejifunza kitu kipya leo.

hahahaa pamoja mkuu
ndo ivo tena kila mmoja ana uhuru wa kufanya apendacho kikubwa ni kutovunja sheria tu
 

pamoja pamoja saana mkuu!!!!!!!!!
 
Ngoma ya rj kamfichia ndugu yake aibu...
 
mi niliaga na walinisindikiza na mdundiko....mchawi mpe mtoto akulelee

Unajuwa ngoja nikueleze kitu Mungu yupo lakini mengine ni utashi wa binadamu,

Binafsi kabla ya kubarikiwa kupata mtoto, mwanamke zilishamtokea misscarry mimba mbili za miezi kadhaa.

Naishia hapo wanawake wakikwambia kitu usiwabeze.
 
atakuja kustuka ivan anachukua mtoto wake hao wanawake sio wa kuamini sana

D.N.A. itachukua nafasi yake mkuu
ila nikiwa kama mwanamke siku zote Sisi wanawake ndio tujuao baba halisi wa mtoto ni nani
 
NasDaz wasome watu waliopo jikoni, bandiko hili limebeba mengi nadhani unamjuwa muuza sura yupo flexible na kwenye maceleb anayajuwa mengi behind the scene.
Tatizo lako Matola unamuona Muuza Sura kama Mungu mtu anayejua kila kitu hapa mjini... kwangu mimi yeye hana tofauti yoyote na wewe au yeyote yule anayependa kuji-mix na ma-celebs... !! Hawa watu wangekuwa wanafahamu undani wa watu kama wanvyotaka tuamini basi wangetuletea Breaking News za Zari na Diamond kabla kila kitu hakijakuwa hadharani... kama unakumbuka, hata wewe mwanzoni kabisa ulikuwa unabisha kwamba Diamond alikuwa anatoka na Zari na hata uliponihoji nami nikasema wazi kwamba hata mimi I doubt coz' for what I know Zari ni mpenda mafoto na celebs... hata hivyo nilihitimisha kwa kukueleza kwamba, kwenye mapenzi, kila kitu kinawezekana!

Kwamba Muuza Sura yupo flexible sio kweli hata kidogo... humu jamvini tayari ameshajitanabahisha kwamba yeye ni Team Kiba! Kwamba eti hiyo game Diamond hawezi kushinda ni sawa na dua la kuku... by the way, tukiuliza ni game lipi Muuza Sura anaweza kutujibu? Au ndo yale yale ya akina Ivan kwamba Diamond kamwe hawezi kuzaa na Zari?? Anyway, hata kama Muuza Sura hapo kabla angeweza kuaminika, alikuja kuharibu pale alipoanza kuchukua upande... angeendelea kubaki neutral basi hoja yako ingekuwa na nguvu sana!!! Lakini yote hayo tuyaache... hivi kabisa ndugu yangu unamaani kwamba huyo Muuza Sura anaweza akawa anafahamu undani wa mimba ya Zari zaidi ya Zari mwenyewe? Let's be serious dude! Huyo MS atakuwa anayafahamu yale tu ambae yeyote anaye-interact na celebs atakuwa anayafahamu lakini usitarajie eti atakuwa anafahamu undani wa mtu kama Zari au Diamond!
 
Unajuwa ngoja nikueleze kitu Mungu yupo lakini mengine ni utashi wa binadamu,

Binafsi kabla ya kubarikiwa kupata mtoto, mwanamke zilishamtokea misscarry mimba mbili za miezi kadhaa.

Naishia hapo wanawake wakikwambia kitu usiwabeze.

kutangaza ni makubaliano ya wahusika wawili.....wakiafikiana hamna shida,mbaya kama mwanamke kasema tusitangaze wewe ukatangaza.....hamna sehemu niliyombeza mtu ila ni ajabu kwa mtu anaeamini Mungu kuwa na imani za kishirikina, analopanga Mungu binadamu hawezi kupangua hii ni kwa wanaoamini Mungu.
 
Unajuwa ngoja nikueleze kitu Mungu yupo lakini mengine ni utashi wa binadamu,

Binafsi kabla ya kubarikiwa kupata mtoto, mwanamke zilishamtokea misscarry mimba mbili za miezi kadhaa.

Naishia hapo wanawake wakikwambia kitu usiwabeze.

nikwel mkuu kuna miscarriages nyingi sana zaeza tokea ila kubwa la yote Mungu amuongoze na amjalie alichokibeba tumboni kiwe chenye manufaa na kizaz kilicho chema.....japo haya masuala ya kutangaza tangaza si mazuri kabisa
 

umesomeka mkuu
pamoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…