Chibu kawashka watu akili,yy sio mjinga kupost vle na anachoangalia yy sio kuzaa na Zari hapana,yy anafocus kumek pesa yy pamoja na uongoz wake,na anayepost sio yy ni uongoz wake,wenyewe wanajua jinc wanavyopga pesa kupitia majungu ya raia na matuc,dimond bado dogo sana itafika wakat atatulia na kutafuta mke na watt ila kwasasa anachezea akili za watu ili apge pesa nyng fasta kabla hajachuja...wajinga ndio waliwao yaan jitu kutwa nzima linabishana tu kwenye accounts za watu insta,fb,twtter bila kujua kwamba anawaingizia wajanja pesa.