winner100
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 325
- 209
Ni hatari aiseee[emoji24] [emoji24] [emoji24]Ndugu anapiga show za minadani kiingilio 500.... Wanazungusha magunia acha tu aseee.... Sikuamini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni hatari aiseee[emoji24] [emoji24] [emoji24]Ndugu anapiga show za minadani kiingilio 500.... Wanazungusha magunia acha tu aseee.... Sikuamini
Felician muta....Unaweza ukalia, yani huyo dada aliyekuwa anaijaza NAKIVUBO mpaka inatapika, leo ndio anaenda kuimba kwenye happy birthday.
Aliyemuamini ndiye aliyemuangusha
jamani diaomond you are so kind you are so kind ndio maana unafanikiwaSaida Karoli atanufaika na ‘Salome’ wimbo mpya wa Diamond ambao una vionjo kutoka kwenye wimbo wake wa ‘Chambua kama karanga’
Diamond amesema kuwa mwanamuziki huyo mwongwe wa nyimbo za asili ana asilimia 25 kwenye pesa ambazo wimbo huo utakuwa unaingiza,
“Kitu tulichokifanya kabla ya kurealise wimbo,tulizungumza na uongozi wake tukawaambia tunafanya ichi,ichi na ichi, kuna kiasi pia tukakitoaili kiende kwake alafu tukampa 25 percent ya publishing kila income ya publishing ikiwa inaingia katika huu wimbo, mama atakuwa anapata percent” Diamond ameiambia Perfect 255.
Saida Karoli alipata mafanikio makubwa kupitia wimbo huo ikiwa ni pamoja na kutumika kwenye filamu ya muandaji maarufu wa Hollywood, Tyler Perry.
View attachment 403497
Kamuulize Saida. Hatutaki ujinga hapa!Wakuu msinielewe vibaya kidogo labda kukaa kwangu mbali kidogo na Media za Tanzania kunanifanya nisielewe baadhi ya mambo.......
Hivi Diamond amemulipa saida kwa kuchukua bit yake na vionjo vya chambua kama karanga..
Na kama amemulipa amemulipa kiasi gani? Ni haki ya watu kujua Kwani ubunifu sio wa diamond ni wa saida .
Kama amemulipa sitakuwa na tatizo Kwani diamond amekuwa na Tabia ya kuiba pia biti za wasanii kama alivyofanya kuiba biti ya Baba Levo kwenye ule wimbo wake uko nyuma .
Wote munajua saida anaishi maisha gani huko Tanzania na Diamond anaishi maisha gani....
Sitaki kuamini moja kwa moja kwamba ajampa kitu lakini je amempa kiasi gani kinafanana na ubunifu ambao saida aliufanya?
Kama mnakumbuka hata nje 50 CENT alitaka kutumia brand ya Chinua Achebe wa nageria alitaka kuwalipa mamilioni ingawa walikataa.
Wakuu msinielewe vibaya kidogo labda kukaa kwangu mbali kidogo na Media za Tanzania kunanifanya nisielewe baadhi ya mambo.......
Hivi Diamond amemulipa saida kwa kuchukua bit yake na vionjo vya chambua kama karanga..
Na kama amemulipa amemulipa kiasi gani? Ni haki ya watu kujua Kwani ubunifu sio wa diamond ni wa saida .
Kama amemulipa sitakuwa na tatizo Kwani diamond amekuwa na Tabia ya kuiba pia biti za wasanii kama alivyofanya kuiba biti ya Baba Levo kwenye ule wimbo wake uko nyuma .
Wote munajua saida anaishi maisha gani huko Tanzania na Diamond anaishi maisha gani....
Sitaki kuamini moja kwa moja kwamba ajampa kitu lakini je amempa kiasi gani kinafanana na ubunifu ambao saida aliufanya?
Kama mnakumbuka hata nje 50 CENT alitaka kutumia brand ya Chinua Achebe wa nageria alitaka kuwalipa mamilioni ingawa walikataa.
Mjinga ni weweKamuulize Saida. Hatutaki ujinga hapa!
Kwani lazima nione kila kitu?Hivi kabla ya kuuliza kweli jambo kama hili leo, sababu gani haukusechi humu kuona kama haijaongelewa bado?
Ni kama unataka kuleta yako kwa Diamond Platnumz.
Kwani lazima nione kila kitu?
AsanteAlisema amemlipa 25%...alimkabidhi Muta (sijui nimepatia jina) ili ampe Saida.
Poa!Mjinga ni wewe
Swali aliozi hata kama umechuja anaweza kwenda mahakamani alipweNyimbo mpaka inaanza kuchuja ndo unahoji hahahahaaa...
Haupo up to date...huangalii wala kusikiliza taarifa ya Habari. Tuseme huna Tv wala radio basi hata gazeti husomiiiiiii....upo `backward' sana..Swali aliozi hata kama umechuja anaweza kwenda mahakamani alipwe
Kwa nini wewe usimuunganishe kwenye hiyo mada kama ipo humu? Not always kwamba ulichosoma wewe humu kila mtu amepitia..Hivi kabla ya kuuliza kweli jambo kama hili leo, sababu gani haukusechi humu kuona kama haijaongelewa bado?
Ni kama unataka kuleta yako kwa Diamond Platnumz.
Sasa wewe kama ungekuwa unajua si ungemwaga hapa na Mimi nione maana yake na wewe ujuiHaupo up to date...huangalii wala kusikiliza taarifa ya Habari. Tuseme huna Tv wala radio basi hata gazeti husomiiiiiii....upo `backward' sana..
Search hiyo thread humu JF ..utapata jibu.