Diamond: Saida Karoli ana 25% kila pesa 'Salome' itakayoingiza

Diamond: Saida Karoli ana 25% kila pesa 'Salome' itakayoingiza

Wakuu msinielewe vibaya kidogo labda kukaa kwangu mbali kidogo na Media za Tanzania kunanifanya nisielewe baadhi ya mambo.......

Hivi Diamond amemulipa saida kwa kuchukua bit yake na vionjo vya chambua kama karanga..

Na kama amemulipa amemulipa kiasi gani? Ni haki ya watu kujua Kwani ubunifu sio wa diamond ni wa saida .

Kama amemulipa sitakuwa na tatizo Kwani diamond amekuwa na Tabia ya kuiba pia biti za wasanii kama alivyofanya kuiba biti ya Baba Levo kwenye ule wimbo wake uko nyuma .

Wote munajua saida anaishi maisha gani huko Tanzania na Diamond anaishi maisha gani....

Sitaki kuamini moja kwa moja kwamba ajampa kitu lakini je amempa kiasi gani kinafanana na ubunifu ambao saida aliufanya?

Kama mnakumbuka hata nje 50 CENT alitaka kutumia brand ya Chinua Achebe wa nageria alitaka kuwalipa mamilioni ingawa walikataa.
Peleka fesibuku hili swali lako,kule kuna watoto wanafuatilia maisha ya Diamond kuliko maisha yao,hii ni JF
 
Mods ondoeni hii takataka hapa,mambo haya yalishajadiliwa kwa kina tu,kila mtu akija kwa style hii ya kuuliza jambo hata kama limo humu itakua ni ujinga sana
 
Kwa nini wewe usimuunganishe kwenye hiyo mada kama ipo humu? Not always kwamba ulichosoma wewe humu kila mtu amepitia..

Kabla hamjaanzisha mada muwe mnafanya search full stop...ndio maana hii ni forum.
 
Mwenye hatimiliki ya wimbo ni Mzee Muta siyo Saida,kalipwa Mzee muta.
 
Why not whole 100 %?
Alimlipa kiasi flani na wakakubariana atakuwa akila 25% ya kila ela itakayo tengenezwa kutoka kwenye mauzo ya wimbo huo. Hayo yalifanyika baina ya management ya diamond na aliyekuwa meneja wa saida mwenye copyright za kaz za saida bwana Muta
 
Peleka fesibuku hili swali lako,kule kuna watoto wanafuatilia maisha ya Diamond kuliko maisha yao,hii ni JF
Haaaaah maisha au maslai kama hakulipa anatakiwa alipe aisee mwambie kama unamshabikia!!!
 
Wakuu msinielewe vibaya kidogo labda kukaa kwangu mbali kidogo na Media za Tanzania kunanifanya nisielewe baadhi ya mambo.......

Hivi Diamond amemulipa saida kwa kuchukua bit yake na vionjo vya chambua kama karanga..

Na kama amemulipa amemulipa kiasi gani? Ni haki ya watu kujua Kwani ubunifu sio wa diamond ni wa saida .

Kama amemulipa sitakuwa na tatizo Kwani diamond amekuwa na Tabia ya kuiba pia biti za wasanii kama alivyofanya kuiba biti ya Baba Levo kwenye ule wimbo wake uko nyuma .

Wote munajua saida anaishi maisha gani huko Tanzania na Diamond anaishi maisha gani....

Sitaki kuamini moja kwa moja kwamba ajampa kitu lakini je amempa kiasi gani kinafanana na ubunifu ambao saida aliufanya?

Kama mnakumbuka hata nje 50 CENT alitaka kutumia brand ya Chinua Achebe wa nageria alitaka kuwalipa mamilioni ingawa walikataa.

Kama umepoteza muda wako mwiiingi kuandika pumba kama hizi nakushauri badilisha na avator yako.....unamuaibisha huyo mzee
 
Kama umepoteza muda wako mwiiingi kuandika pumba kama hizi nakushauri badilisha na avator yako.....unamuaibisha huyo mzee
Sio lazima uchangie kila kitu Mimi Nina maana yangu kujua kila kitu kinachoendelea we vipi?
 
Back
Top Bottom