IROKOS
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 10,182
- 7,839
Why not whole 100 %?Alisema amemlipa 25%...alimkabidhi Muta (sijui nimepatia jina) ili ampe Saida.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Why not whole 100 %?Alisema amemlipa 25%...alimkabidhi Muta (sijui nimepatia jina) ili ampe Saida.
KamuulizeWhy not whole 100 %?
halioziSwali aliozi hata kama umechuja anaweza kwenda mahakamani alipwe
Peleka fesibuku hili swali lako,kule kuna watoto wanafuatilia maisha ya Diamond kuliko maisha yao,hii ni JFWakuu msinielewe vibaya kidogo labda kukaa kwangu mbali kidogo na Media za Tanzania kunanifanya nisielewe baadhi ya mambo.......
Hivi Diamond amemulipa saida kwa kuchukua bit yake na vionjo vya chambua kama karanga..
Na kama amemulipa amemulipa kiasi gani? Ni haki ya watu kujua Kwani ubunifu sio wa diamond ni wa saida .
Kama amemulipa sitakuwa na tatizo Kwani diamond amekuwa na Tabia ya kuiba pia biti za wasanii kama alivyofanya kuiba biti ya Baba Levo kwenye ule wimbo wake uko nyuma .
Wote munajua saida anaishi maisha gani huko Tanzania na Diamond anaishi maisha gani....
Sitaki kuamini moja kwa moja kwamba ajampa kitu lakini je amempa kiasi gani kinafanana na ubunifu ambao saida aliufanya?
Kama mnakumbuka hata nje 50 CENT alitaka kutumia brand ya Chinua Achebe wa nageria alitaka kuwalipa mamilioni ingawa walikataa.
Kwa nini wewe usimuunganishe kwenye hiyo mada kama ipo humu? Not always kwamba ulichosoma wewe humu kila mtu amepitia..
Yaani Mutta ampelekee Pesa Saida Karoli? Maweeee, nafwa.Alisema amemlipa 25%...alimkabidhi Muta (sijui nimepatia jina) ili ampe Saida.
Alimlipa kiasi flani na wakakubariana atakuwa akila 25% ya kila ela itakayo tengenezwa kutoka kwenye mauzo ya wimbo huo. Hayo yalifanyika baina ya management ya diamond na aliyekuwa meneja wa saida mwenye copyright za kaz za saida bwana MutaWhy not whole 100 %?
Haaaaah maisha au maslai kama hakulipa anatakiwa alipe aisee mwambie kama unamshabikia!!!Peleka fesibuku hili swali lako,kule kuna watoto wanafuatilia maisha ya Diamond kuliko maisha yao,hii ni JF
Maslahi,Haaaaah maisha au maslai kama hakulipa anatakiwa alipe aisee mwambie kama unamshabikia!!!
Wakuu msinielewe vibaya kidogo labda kukaa kwangu mbali kidogo na Media za Tanzania kunanifanya nisielewe baadhi ya mambo.......
Hivi Diamond amemulipa saida kwa kuchukua bit yake na vionjo vya chambua kama karanga..
Na kama amemulipa amemulipa kiasi gani? Ni haki ya watu kujua Kwani ubunifu sio wa diamond ni wa saida .
Kama amemulipa sitakuwa na tatizo Kwani diamond amekuwa na Tabia ya kuiba pia biti za wasanii kama alivyofanya kuiba biti ya Baba Levo kwenye ule wimbo wake uko nyuma .
Wote munajua saida anaishi maisha gani huko Tanzania na Diamond anaishi maisha gani....
Sitaki kuamini moja kwa moja kwamba ajampa kitu lakini je amempa kiasi gani kinafanana na ubunifu ambao saida aliufanya?
Kama mnakumbuka hata nje 50 CENT alitaka kutumia brand ya Chinua Achebe wa nageria alitaka kuwalipa mamilioni ingawa walikataa.
We vip wewe acha ujinga kama uwezi comment si upite tu uende?Kama umepoteza muda wako mwiiingi kuandika pumba kama hizi nakushauri badilisha na avator yako.....unamuaibisha huyo mzee
Sio lazima uchangie kila kitu Mimi Nina maana yangu kujua kila kitu kinachoendelea we vipi?Kama umepoteza muda wako mwiiingi kuandika pumba kama hizi nakushauri badilisha na avator yako.....unamuaibisha huyo mzee
huweziWe vip wewe acha ujinga kama uwezi comment si upite tu uende?