Burnaboy
JF-Expert Member
- Dec 2, 2019
- 1,070
- 1,439
Diamond amefanya vizuri 2019 hakuna ubishi. Amefanya shows za mafanikio na ameangaliwa zaidi kwenye You Tube kuliko msaanii mwingine yeyote Afrika!!!
Wasanii wa West na South Afrika ambao Mondi kawazidi wanamiliki ukwasi mkubwa, majumba, ndege binafsi....!!!
Sasa kilichobaki ni kubadili mafanikio ya Mondi kuwa hela. Hii likifeli wa kulaumiwa ni menejment ya diamond!!!
Hii menejment sasa inabidi iende hatua mbele zaidi ya kuendeleza uswahili, mabifu yasio na maana na kukazana kuonyesha wanajaza maviwanja wakati msanii wao hajavuna hela na kufaidika inavyotakiwa!!! Mambo ya kujaza maviwanja vya bongo wamwachie konde boy!!!
Mondi angekuwa mganda au mkenya si ajabu muda huu angekuwa na ndege binafsi mbili tatu!!!
Wasanii wa West na South Afrika ambao Mondi kawazidi wanamiliki ukwasi mkubwa, majumba, ndege binafsi....!!!
Sasa kilichobaki ni kubadili mafanikio ya Mondi kuwa hela. Hii likifeli wa kulaumiwa ni menejment ya diamond!!!
Hii menejment sasa inabidi iende hatua mbele zaidi ya kuendeleza uswahili, mabifu yasio na maana na kukazana kuonyesha wanajaza maviwanja wakati msanii wao hajavuna hela na kufaidika inavyotakiwa!!! Mambo ya kujaza maviwanja vya bongo wamwachie konde boy!!!
Mondi angekuwa mganda au mkenya si ajabu muda huu angekuwa na ndege binafsi mbili tatu!!!