Davido kwanza kazaliwa kwenye hela,pili yy mwenyewe hela anayo.Daaa..ila ukwasi atakua nao
Sifahamu wenye ndege zaidi ya jaguar. Ila navyofahamu wengi wa kiwango cha kati wana mafanikio kifedha kuliko wenzao wenye kiwango hicho hicho waliopo bongo. Kwa hiyo nazungumzia mafanikio kwa ujumla si kununua ndege tuMkuu Burnaboy hebu nitajie msanii wa Kenya au Uganda ambaye anamiliki ndege mbili au tatu?!
Kweli ndio maana wasafi sasa watafute deals badala ya kukazania kushindana kujaza maviwanja bongo. Hii ya waviwanja imeshawakuza waachane nayo sasa waende kwenye dealsNa hapo akili za wabongo ndipo zilipoishia kuwa ukiwa most YouTube viewed ndio mafanikio yako youte....
Kwa wenzetu mafanikio ya muziki Ni endorsement FULL stop ... Yaani kupata deals na mikataba minono ...
Tafuta endorsement za hawa wasanii kwa mwaka Jana 2019 ndio utapata majibu kwanini Wanaijeria wako hivyo
1. BurnaBoy
2. Wizkid
3. Davido
4. Papichuro
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwaka Jana Davido ameingia deal na UBA yenye thaman ya Dola milion 3 , kwa hela ya madafu Ni Kama billion 6 shilingi... Unaona hizo deals ... Hizi ndio zinapaswa kuwa kazi za management kwa wasanii wetu wa tanzania...Kweli ndio maana wasafi sasa watafute deals badala ya kukazania kushindana kujaza maviwanja bongo. Hii ya waviwanja imeshawakuza waachane nayo sasa waende kwenye deals
Mmh beseni? Watu mna manenohahaha ya jaguar huwezi kuitaa ndege ya kistar haija tofautiana na ya tanapa, davito hivi ana private jet? Mkuu wenye ndege hata wasanii wa Marekani wanaomiliki ndege wanahesabika. Kuna ndege na vijidege yani hata ukikapanda inakuwa kama umekaa kwenye beseni
Kwako mwalimu kashashaDiamond amefanya vizuri 2019 hakuna ubishi. Amefanya shows za mafanikio na ameangaliwa zaidi kwenye You Tube kuliko msaanii mwingine yeyote Afrika!!!
Wasanii wa West na South Afrika ambao Mondi kawazidi wanamiliki ukwasi mkubwa, majumba, ndege binafsi....!!!
Sasa kilichobaki ni kubadili mafanikio ya Mondi kuwa hela. Hii likifeli wa kulaumiwa ni menejment ya diamond!!!
Hii menejment sasa inabidi iende hatua mbele zaidi ya kuendeleza uswahili, mabifu yasio na maana na kukazana kuonyesha wanajaza maviwanja wakati msanii wao hajavuna hela na kufaidika inavyotakiwa!!! Mambo ya kujaza maviwanja vya bongo wamwachie konde boy!!!
Mondi angekuwa mganda au mkenya si ajabu muda huu angekuwa na ndege binafsi mbili tatu!!!
HAhaha kweli hakuna kujimwambafy unakuwa kama uko kwenye beseni kindege chenyewe hakiwezi hata fly from tz to nigeria bila kutua kujaza mafuta sa kindege gani hicho
Wanatumia hiyo kukuza brand. Akikupa bajeti anakupa na gharama ya private jetHAhaha kweli hakuna kujimwambafy unakuwa kama uko kwenye beseni kindege chenyewe hakiwezi hata fly from tz to nigeria bila kutua kujaza mafuta sa kindege gani hicho
Vile hata siyo jet ni turbo propellar makelele kibao not comfortable we jet mchezo, hata hao psquare hawana na nina mashaka hata huyo davido kama anamiliki jet. Hivi jet unaijua unaiskia mzee babaWanatumia hiyo kukuza brand. Akikupa bajeti anakupa na gharama ya private jet
Mwangalie baba yake Davido,Deji Adeleke utajiri wake ni hatari Usd 700m.Daaa..ila ukwasi atakua nao
Hapo sasa...hii ya juzi ya burnaboy dar nadhani ilikua hennessy. Kafanya show yake kiulainiii kaishia.Mwaka Jana Davido ameingia deal na UBA yenye thaman ya Dola milion 3 , kwa hela ya madafu Ni Kama billion 6 shilingi... Unaona hizo deals ... Hizi ndio zinapaswa kuwa kazi za management kwa wasanii wetu wa tanzania...
Unaweza kuona kwenye hizo picha maelezo zaidi ya hizo deal na ndio inasemekana Ni deal kubwa kwa level ya msanii ... View attachment 1312548View attachment 1312552View attachment 1312562
Sent using Jamii Forums mobile app
Umenena vyema aisee yani hii nchi wanazani ukiwa viewers wengi youtube ndio utakuwa unaongoza kwa ku earn mtonyo mrefu, na wengine wanakwambia umaarufu unapimwa na followers wa insta[emoji28]Na hapo akili za wabongo ndipo zilipoishia kuwa ukiwa most YouTube viewed ndio mafanikio yako youte....
Kwa wenzetu mafanikio ya muziki Ni endorsement FULL stop ... Yaani kupata deals na mikataba minono ...
Tafuta endorsement za hawa wasanii kwa mwaka Jana 2019 ndio utapata majibu kwanini Wanaijeria wako hivyo
1. BurnaBoy
2. Wizkid
3. Davido
4. Papichuro
Sent using Jamii Forums mobile app
Kujaza uwanja ,follwers wengi social network na kuwa na stream nyingi online ni moja ya kigezo wanachotumia wadhamini, kwamba unakubalika na wengi na hata kampuni inakudhamini sababu wanaamini kupitia ww bidhaa zao zitaonekana na kujulikana na wengi.Hapo sasa...hii ya juzi ya burnaboy dar nadhani ilikua hennessy. Kafanya show yake kiulainiii kaishia.
Si tunabaki na kupambana na kujaz viwanja!!!
Nimeona Pepsi hapo. Si wanaweza kumdhamini mondi kimataifa? Uongozi wake wafuatilie hii?
Labda waingia mkataba na kampuni ya nje iwasaidie kwenye menejment ya mambo ya nje ya tz.Tatizo la Diamond ni mmoja tu kwa sasa. Na hilo ni management yake. Hilo analitambua ila tatizo anogopa kuibadilisha!
Sent using Jamii Forums mobile app