Diamond sasa ni kubadili mafanikio kuwa hela

Diamond sasa ni kubadili mafanikio kuwa hela

Mkuu Burnaboy hebu nitajie msanii wa Kenya au Uganda ambaye anamiliki ndege mbili au tatu?!
Sifahamu wenye ndege zaidi ya jaguar. Ila navyofahamu wengi wa kiwango cha kati wana mafanikio kifedha kuliko wenzao wenye kiwango hicho hicho waliopo bongo. Kwa hiyo nazungumzia mafanikio kwa ujumla si kununua ndege tu
 
Na hapo akili za wabongo ndipo zilipoishia kuwa ukiwa most YouTube viewed ndio mafanikio yako youte....

Kwa wenzetu mafanikio ya muziki Ni endorsement FULL stop ... Yaani kupata deals na mikataba minono ...

Tafuta endorsement za hawa wasanii kwa mwaka Jana 2019 ndio utapata majibu kwanini Wanaijeria wako hivyo

1. BurnaBoy
2. Wizkid
3. Davido
4. Papichuro




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na hapo akili za wabongo ndipo zilipoishia kuwa ukiwa most YouTube viewed ndio mafanikio yako youte....

Kwa wenzetu mafanikio ya muziki Ni endorsement FULL stop ... Yaani kupata deals na mikataba minono ...

Tafuta endorsement za hawa wasanii kwa mwaka Jana 2019 ndio utapata majibu kwanini Wanaijeria wako hivyo

1. BurnaBoy
2. Wizkid
3. Davido
4. Papichuro




Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli ndio maana wasafi sasa watafute deals badala ya kukazania kushindana kujaza maviwanja bongo. Hii ya waviwanja imeshawakuza waachane nayo sasa waende kwenye deals
 
Kweli ndio maana wasafi sasa watafute deals badala ya kukazania kushindana kujaza maviwanja bongo. Hii ya waviwanja imeshawakuza waachane nayo sasa waende kwenye deals
Mwaka Jana Davido ameingia deal na UBA yenye thaman ya Dola milion 3 , kwa hela ya madafu Ni Kama billion 6 shilingi... Unaona hizo deals ... Hizi ndio zinapaswa kuwa kazi za management kwa wasanii wetu wa tanzania...

Unaweza kuona kwenye hizo picha maelezo zaidi ya hizo deal na ndio inasemekana Ni deal kubwa kwa level ya msanii ...
IMG_20200104_214142.jpeg
IMG_20200104_214212.jpeg
IMG_20200104_214621.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Diamond amefanya vizuri 2019 hakuna ubishi. Amefanya shows za mafanikio na ameangaliwa zaidi kwenye You Tube kuliko msaanii mwingine yeyote Afrika!!!

Wasanii wa West na South Afrika ambao Mondi kawazidi wanamiliki ukwasi mkubwa, majumba, ndege binafsi....!!!

Sasa kilichobaki ni kubadili mafanikio ya Mondi kuwa hela. Hii likifeli wa kulaumiwa ni menejment ya diamond!!!

Hii menejment sasa inabidi iende hatua mbele zaidi ya kuendeleza uswahili, mabifu yasio na maana na kukazana kuonyesha wanajaza maviwanja wakati msanii wao hajavuna hela na kufaidika inavyotakiwa!!! Mambo ya kujaza maviwanja vya bongo wamwachie konde boy!!!

Mondi angekuwa mganda au mkenya si ajabu muda huu angekuwa na ndege binafsi mbili tatu!!!
Kwako mwalimu kashasha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
HAhaha kweli hakuna kujimwambafy unakuwa kama uko kwenye beseni kindege chenyewe hakiwezi hata fly from tz to nigeria bila kutua kujaza mafuta sa kindege gani hicho
Wanatumia hiyo kukuza brand. Akikupa bajeti anakupa na gharama ya private jet
 
Wanatumia hiyo kukuza brand. Akikupa bajeti anakupa na gharama ya private jet
Vile hata siyo jet ni turbo propellar makelele kibao not comfortable we jet mchezo, hata hao psquare hawana na nina mashaka hata huyo davido kama anamiliki jet. Hivi jet unaijua unaiskia mzee baba
 
Mwaka Jana Davido ameingia deal na UBA yenye thaman ya Dola milion 3 , kwa hela ya madafu Ni Kama billion 6 shilingi... Unaona hizo deals ... Hizi ndio zinapaswa kuwa kazi za management kwa wasanii wetu wa tanzania...

Unaweza kuona kwenye hizo picha maelezo zaidi ya hizo deal na ndio inasemekana Ni deal kubwa kwa level ya msanii ... View attachment 1312548View attachment 1312552View attachment 1312562

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo sasa...hii ya juzi ya burnaboy dar nadhani ilikua hennessy. Kafanya show yake kiulainiii kaishia.
Si tunabaki na kupambana na kujaz viwanja!!!
Nimeona Pepsi hapo. Si wanaweza kumdhamini mondi kimataifa? Uongozi wake wafuatilie hii?
 
Na hapo akili za wabongo ndipo zilipoishia kuwa ukiwa most YouTube viewed ndio mafanikio yako youte....

Kwa wenzetu mafanikio ya muziki Ni endorsement FULL stop ... Yaani kupata deals na mikataba minono ...

Tafuta endorsement za hawa wasanii kwa mwaka Jana 2019 ndio utapata majibu kwanini Wanaijeria wako hivyo

1. BurnaBoy
2. Wizkid
3. Davido
4. Papichuro




Sent using Jamii Forums mobile app
Umenena vyema aisee yani hii nchi wanazani ukiwa viewers wengi youtube ndio utakuwa unaongoza kwa ku earn mtonyo mrefu, na wengine wanakwambia umaarufu unapimwa na followers wa insta[emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo sasa...hii ya juzi ya burnaboy dar nadhani ilikua hennessy. Kafanya show yake kiulainiii kaishia.
Si tunabaki na kupambana na kujaz viwanja!!!
Nimeona Pepsi hapo. Si wanaweza kumdhamini mondi kimataifa? Uongozi wake wafuatilie hii?
Kujaza uwanja ,follwers wengi social network na kuwa na stream nyingi online ni moja ya kigezo wanachotumia wadhamini, kwamba unakubalika na wengi na hata kampuni inakudhamini sababu wanaamini kupitia ww bidhaa zao zitaonekana na kujulikana na wengi.
 
Back
Top Bottom