Hajui hata naloandika huyu jamaa ndege thamani yake 27 million dollars davido net worth 2020 according to fores ni 16 million dollars sasa anaweza mortgage vipi hiyo ndege?Mkuu mortgage inahusiana na kuchukua title ya immovable property kama security...
Utajiri wa 1116 milion dollars?Narudia we falahuwezi kumortgage kitu ambacho hata assets zako hazilingani na thamani ya hicho kitu. we takohiyo jet ni usd 27 milllion ni nimekwambia mwenyewe alikiri kuwa ni ya baba yake na akaandika what belongs to him belongs to his daddy and what belongs to his daddy belongs to him.
Davido according to forbes ana utajiri wa 1116 milllion dollars atanunuaje au a mortgage ndege ya 27 million dollars hata kama imeshuka thamani iwe nusu yake?
Unatumia makalio kureason.
Kumiliki jet siyo kamakumiliki gari we fala
nimekosea ni 16 million dollarsUtajiri wa 1116 milion dollars?
Kenge wewe tena mjusi kafiri unaetumia mgongo kufikiria...Narudia we falahuwezi kumortgage kitu ambacho hata assets zako hazilingani na thamani ya hicho kitu. we takohiyo jet ni usd 27 milllion ni nimekwambia mwenyewe alikiri kuwa ni ya baba yake na akaandika what belongs to him belongs to his daddy and what belongs to his daddy belongs to him.
Davido according to forbes ana utajiri wa 1116 milllion dollars atanunuaje au a mortgage ndege ya 27 million dollars hata kama imeshuka thamani iwe nusu yake?
Unatumia makalio kureason.
Kumiliki jet siyo kamakumiliki gari we fala
we kweli matako forbes wenyewe mwaka jana wamesema ana utajiri wa dollar 16 million, hajafika hata thamani ya hiyo ndege kwa miaka yote aliyofanya mziki.Kenge wewe tena mjusi kafiri unaetumia mgongo kufikiria...
Nimekuwekea baadhi ya assets na networth ya jamaa then linganisha na hiyo Bei ya Ndege... Mind you last year jamaa alikuwa na Endorse zenye jumla ya dola milion 6 ...
Utaanzaje kutapika hayo unayotapika kichaa weweView attachment 1312603View attachment 1312605
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanauza Sembe hao Mkuu... Usifikiri ni Mziki tu.Mkuu nazungumzia ndege za ma star kama kina davido, wizkid au hata jaguar. Vile vya TANAPA vinatikisa sana kuliko vile bora aache tu!!!
Uganda,Kenya na Nigeria wana mfumo unao eleweka unao wabeba wasanii wote ktk Industry haubagui na kila mshika dau anajua wajibu wake ni kupromote nakuufikisha mbali mziki.
Kibongo bongo makundi makundi kibao,majungu,vinyongo,visasi,wivu chuki kibao.
Ngumu sana msanii wa bongo hasa asiye kwenye haya makundi kutoboa,Mondi na mngt yake wamejitahidi sana,sababu yy crew yake ina power.
Pili hiyo ndege binafsi sio msanii wa Kenya wala Uganda hamna msanii mwenye ndege,hata Nigeria hayupo mwenye ndege,Ila wanaijeria wanapiga hela kwanza wapo wengi,pili mziki wao hauna mateam na mashabiki wao hawaja gawanyika na wana upenda mziki wao na ndio maana Itunes,Sportfy,Shazam,Tidal wanakimbiza wao na huko ndio kwenye hela kuliko Youtube.Jaguar ana ndege sababu ni mfanya biashara mkubwa wa magari.
Sisi mashabiki wa bongo kwanza kuna mateam,msanii kama sio wa timu yako humsapoti,pili Mashabiki wa bongo wengi wanafiki kwani sio wanunuaji wa nyimbo online wengi tuna msubiria kideboy,bekaboy aweke nyimbo kwenye website yake tupakue.Hatuna utamaduni wa kununua nyimbo online.Leo hii kama tungekuwa kweli tunawasapoti wasanii wetu Online basi Mkito na Mdundo zisingekufa.
Vyombo vya habari kila mtu na msanii wake,kila mtangazaji na msanii wake,kuanzie watangazaji,redio nazo zipo kwenye hizi timu.So mpaka unamwona Diamond hapo ,yy na mngt wamepambana sana,kuna uwezekano mwakani Mondi akalimaliza bara lote la Africa (ukitoa inchi za kiarabu) ,kwani kishapiga show 90% ya nchi zote za Africa ,mwakani ana show Gambia,Gunea konakry na Liberia zote comfermed.
Industry yetu wasanii wengi wana fail kutoboa,sababu hamna UPENDO.
Angalia Nijeria Wizkid kagombana na Davido yameisha,Yemi Alade kagombana na Tiwa hata kabla mwaka hujaisha yameisha na mwaka jana msimu wa christmas Tiwa alikuwa na show,Yemi akasapoti,Don Jazzy na Olamide walikuwa na Beef 2016 hata mwaka haujaisha yakaisha na wasanii walio kuwa chini ya Olamide na Donny Jazz wakaanza kushirikiana.Hio haitoshi wakati MTV inaanza playlist kwa asilimia kubwa walikuwa wasouth,wanaijeria baada ya kuingia MTV wameleta fitina leo hii playlist ya MTV wana dominate wao turn,Trace napo hivyo hivyo hata channel O mwishoni walikuwa wana tawala wao.
Cha msingi Mondi aje na Content zitakazo zivutia nchi nyingi za nje hasa za ulaya kwani wenzetu wanasupport sana wasanii,pili afikirie kutoa album nyingine kwani kuna tuzo nyingine mfano BET,wanazitazama sana hizi albums na mngt ijitahidi kutafuta deals nyingi zaidi kwenye makampuni makubwa huko ndipo kuna hela.
Nakubali bado lkn tunahitaji sana mapinduzi update wa album.Bro swala la album kibongo bongo bado sana, sasa unakuta album ya msanii ina nyimbo 10 kati ya hizo 1ndio kali kwenye iyo album sasa utapoteza elfu 30 au hata 20 kwanyimbo moja.
hili unaliamini wwShida iliyopo mkuu ni kwamba hata celebrities na wasanii hawapendani kabisa kitu ambacho kinakuwa ni ngumu sana kwa mashabiki kuungana.
Vuta picha siku unaambiwa labda kesho kuna shoo inawakutanisha jukwaa moja harmonize diamond alikiba[emoji95][emoji95] hii haitahitaji kabisa kuwa na promoter ili watengeneze pesa.. wasanii wamejaa ego za kuzidi kila mmoja yeye ndio mwamba kwa hivyo inatufanya mashabiki tuamini ukiwa fan wa mmoja basi lazima uwe na uadui na mwingine
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umenikumbusha mbali sana hayo mambo ya chattel mgongo fimbo alituacha mbali sana tulishindwa kumuelewa kabisa..ngoja niachane nayo kabisa mkuuππππ
Uganda,Kenya na Nigeria wana mfumo unao eleweka unao wabeba wasanii wote ktk Industry haubagui na kila mshika dau anajua wajibu wake ni kupromote nakuufikisha mbali mziki.
Kibongo bongo makundi makundi kibao,majungu,vinyongo,visasi,wivu chuki kibao.
Ngumu sana msanii wa bongo hasa asiye kwenye haya makundi kutoboa,Mondi na mngt yake wamejitahidi sana,sababu yy crew yake ina power.
Pili hiyo ndege binafsi sio msanii wa Kenya wala Uganda hamna msanii mwenye ndege,hata Nigeria hayupo mwenye ndege,Ila wanaijeria wanapiga hela kwanza wapo wengi,pili mziki wao hauna mateam na mashabiki wao hawaja gawanyika na wana upenda mziki wao na ndio maana Itunes,Sportfy,Shazam,Tidal wanakimbiza wao na huko ndio kwenye hela kuliko Youtube.Jaguar ana ndege sababu ni mfanya biashara mkubwa wa magari.
Sisi mashabiki wa bongo kwanza kuna mateam,msanii kama sio wa timu yako humsapoti,pili Mashabiki wa bongo wengi wanafiki kwani sio wanunuaji wa nyimbo online wengi tuna msubiria kideboy,bekaboy aweke nyimbo kwenye website yake tupakue.Hatuna utamaduni wa kununua nyimbo online.Leo hii kama tungekuwa kweli tunawasapoti wasanii wetu Online basi Mkito na Mdundo zisingekufa.
Vyombo vya habari kila mtu na msanii wake,kila mtangazaji na msanii wake,kuanzie watangazaji,redio nazo zipo kwenye hizi timu.So mpaka unamwona Diamond hapo ,yy na mngt wamepambana sana,kuna uwezekano mwakani Mondi akalimaliza bara lote la Africa (ukitoa inchi za kiarabu) ,kwani kishapiga show 90% ya nchi zote za Africa ,mwakani ana show Gambia,Gunea konakry na Liberia zote comfermed.
Industry yetu wasanii wengi wana fail kutoboa,sababu hamna UPENDO.
Angalia Nijeria Wizkid kagombana na Davido yameisha,Yemi Alade kagombana na Tiwa hata kabla mwaka hujaisha yameisha na mwaka jana msimu wa christmas Tiwa alikuwa na show,Yemi akasapoti,Don Jazzy na Olamide walikuwa na Beef 2016 hata mwaka haujaisha yakaisha na wasanii walio kuwa chini ya Olamide na Donny Jazz wakaanza kushirikiana.Hio haitoshi wakati MTV inaanza playlist kwa asilimia kubwa walikuwa wasouth,wanaijeria baada ya kuingia MTV wameleta fitina leo hii playlist ya MTV wana dominate wao turn,Trace napo hivyo hivyo hata channel O mwishoni walikuwa wana tawala wao.
Cha msingi Mondi aje na Content zitakazo zivutia nchi nyingi za nje hasa za ulaya kwani wenzetu wanasupport sana wasanii,pili afikirie kutoa album nyingine kwani kuna tuzo nyingine mfano BET,wanazitazama sana hizi albums na mngt ijitahidi kutafuta deals nyingi zaidi kwenye makampuni makubwa huko ndipo kuna hela.
Mkuu ile ndege ya Davido nimesoma pahali bei yake kwa used ambayo ishatumika mtu anakuuzia haipungui Billion 30 za Tz...Davido anaweza afford kweli hiyo.Private jet sio Gulf Stream tu, zipo Bombardier, Cesna na nyingine nyingi za bei chini kidogo. Si lazima kila mtu amiliki Range Rover Sports, wengine wamiliki hata Harrier na zote ni SUV.
Wewe ni mbishi bei ya ile ndege unaijua BILL 30+Borgus ndio nini ??
Nikikwambia wewe ni mjinga utakataa ???
Stupid ...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mo n moja kati ya matajiri wakubwa hapa africa ashawahi ulizwa n kwa nn hajanunua private jet alieleza vzur kitu ambacho ukigeuza kwa mond inakuwa ngumu pia..
vinginevyo mond pesa anayo anamaindosment kibao yanayomuingizia pesa sasa cjui we unanjia gan mbadara labda zaidi ni kuboresha mauzo ya mzki wake through Internet platforms kama wasanii wa mbele kitu ambacho ndo naona kama kakwama zaidi ya hapo anafanya vzuri
Mond is business mogul not just a musician.Ndo hivyo mkuu. biashara ina mambo yake hii si kujaza maviwanja tu!!
π―π―π―Mond is business mogul not just a musician.
Sio tu kwamba ana kipaji cha muziki bali pia jamaa ana kipaji/uwezo mkubwa wa kibiashara.
Nahisi hata wafanyabiashara wakubwa baadhi wanamfuataga kuomba ushauri.
Ni watu wachache sana dunia hii wenye uwezo wa ku commercialize talanta zao kutoka kwenye mazingira magumu na kupata mafanikio kiasi cha kwenda sawa na wale waliotoka kwenye mazingira rahisi na wezeshi.
Kwa industry yetu ilivyokuwa milongo miwili iliyopita ilikuwa ni ngumu sana kudhani kuna siku na sisi tutakuja kuwa na msanii ambaye ni brand kubwa afrika, kutokana na aina ya mziki wetu,lugha,popularity ndogo ya nchi yetu,kutokuwepo kwa watangulizi,support mbovu ya serikali,amateurish media industry,roho za wabongo.
Lakini leo hii hayo yote yameonekana si vikwazo kwa mtoto wa tandale, he has beaten all the odds and now he is on top of the game, he has shown the rest of us nothing is impossible if you put genuine efforts to pursue it, he owns this industry,he has transformed the mainstream genre to his own stylish rhythm, sasa hivi kila ngoma kali unayoiskia unakuta ina vionjo vya Wcb kwa mbali.
Kiukweli huyu mtu tunaweza tukawa hatufurahishwi na personal life aliyonayo lakini kwenye suala kazi tunamuangalia kwa jicho la kufarishwa naye na la kujifunza pia.
MOND BABA LAO.[emoji441][emoji441]
Sent using Jamii Forums mobile app