Mond is business mogul not just a musician.
Sio tu kwamba ana kipaji cha muziki bali pia jamaa ana kipaji/uwezo mkubwa wa kibiashara.
Nahisi hata wafanyabiashara wakubwa baadhi wanamfuataga kuomba ushauri.
Ni watu wachache sana dunia hii wenye uwezo wa ku commercialize talanta zao kutoka kwenye mazingira magumu na kupata mafanikio kiasi cha kwenda sawa na wale waliotoka kwenye mazingira rahisi na wezeshi.
Kwa industry yetu ilivyokuwa milongo miwili iliyopita ilikuwa ni ngumu sana kudhani kuna siku na sisi tutakuja kuwa na msanii ambaye ni brand kubwa afrika, kutokana na aina ya mziki wetu,lugha,popularity ndogo ya nchi yetu,kutokuwepo kwa watangulizi,support mbovu ya serikali,amateurish media industry,roho za wabongo.
Lakini leo hii hayo yote yameonekana si vikwazo kwa mtoto wa tandale, he has beaten all the odds and now he is on top of the game, he has shown the rest of us nothing is impossible if you put genuine efforts to pursue it, he owns this industry,he has transformed the mainstream genre to his own stylish rhythm, sasa hivi kila ngoma kali unayoiskia unakuta ina vionjo vya Wcb kwa mbali.
Kiukweli huyu mtu tunaweza tukawa hatufurahishwi na personal life aliyonayo lakini kwenye suala kazi tunamuangalia kwa jicho la kufarishwa naye na la kujifunza pia.
MOND BABA LAO.[emoji441][emoji441]
Sent using
Jamii Forums mobile app