Diamond sauti yake haina ladha tena, tumechoka

Diamond sauti yake haina ladha tena, tumechoka

ubarinolutu

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2012
Posts
2,424
Reaction score
4,954
Inawezekana ni mwandishi mzuri, ana nyimbo zenye melody Kali, ila tatizo sauti yake tumeichoka sana , sana yani kama tulivozichoka sauti za kina mbdogg na Juma nature.

Kiukweli kinachombeba ni Jina tu, kwasasa awaachie kina Mario, harmonize, jay melody, sauti zao hatujazichoka. Yaani nikisikia sauti ya diamond na Ile staile yake very old fashioned, aache muziki awe mwandishi.

Jamaa kiufupi ameisha
 
Inawezekana ni mwandishi mzuri, ana nyimbo zenye melody Kali, ila tatizo sauti yake tumeichoka sana , sana yani kama tulivozichoka sauti za kina mbdogg na Juma nature.

Kiukweli kinachombeba ni Jina tu, kwasasa awaachie kina Mario, harmonize, jay melody, sauti zao hatujazichoka. Yaani nikisikia sauti ya diamond na Ile staile yake very old fashioned, aache muziki awe mwandishi.

Jamaa kiufupi ameisha
Sema umechoka sio tumechoka, utaibika mkuu!

Pili jifunze mazuri toka kwa mtu yatumie katika mazingira yako kufanikiwa.

Hizi roho zetu mbaya zinatufanya ngozi kupoteza mvuto na kukunjamana watanzania
 
Inawezekana ni mwandishi mzuri, ana nyimbo zenye melody Kali, ila tatizo sauti yake tumeichoka sana , sana yani kama tulivozichoka sauti za kina mbdogg na Juma nature.

Kiukweli kinachombeba ni Jina tu, kwasasa awaachie kina Mario, harmonize, jay melody, sauti zao hatujazichoka. Yaani nikisikia sauti ya diamond na Ile staile yake very old fashioned, aache muziki awe mwandishi.

Jamaa kiufupi ameisha
Kuna kaukweli, kinachombeba jina na ubunifu.
 
Inawezekana ni mwandishi mzuri, ana nyimbo zenye melody Kali, ila tatizo sauti yake tumeichoka sana , sana yani kama tulivozichoka sauti za kina mbdogg na Juma nature.

Kiukweli kinachombeba ni Jina tu, kwasasa awaachie kina Mario, harmonize, jay melody, sauti zao hatujazichoka. Yaani nikisikia sauti ya diamond na Ile staile yake very old fashioned, aache muziki awe mwandishi.

Jamaa kiufupi ameisha
Mmezichoka wewe na nani? mbona huku kwetu hatutarajii kuzichoka kabisa. Hakuna artist anayeweza kibebwa na jina kama amechokwa, mauzo ya kwenye digital platforms ndiyo majibu ya kama amechokwa au la, waliochokwa na wana big names kwenye game huwa tunaona matokeo wakitoa nyimbo.
Wamakonde huwa hamjifichi, hao wengine umewataja kwa kuzuga tu lakini ulikuwa ukilenga kumtaja Mmakonde mwenzio na chuki zako binafsi kwanini Diamond hashuki toka ameanza muziki.
Painful truth kwako ni kwamba jamaa hana hata dalili za kuchokwa kabisa, haters wake mnateseka mno wakati mjuba ka-hustle kuanzia chini kabisa leo anakula matunda wanga ndiyo mnahangaika kumuwangia. Wachawi mnataabika sana.
 
Mmezichoka wewe na nani? mbona huku kwetu hatutarajii kuzichoka kabisa. Hakuna artist anayeweza kibebwa na jina kama amechokwa, mauzo ya kwenye digital platforms ndiyo majibu ya kama amechokwa au la, waliochokwa na wana big names kwenye game huwa tunaona matokeo wakitoa nyimbo.
Wamakonde huwa hamjifichi, hao wengine umewataja kwa kuzuga tu lakini ulikuwa ukilenga kumtaja Mmakonde mwenzio na chuki zako binafsi kwanini Diamond hashuki toka ameanza muziki.
Painful truth kwako ni kwamba jamaa hana hata dalili za kuchokwa kabisa, haters wake mnateseka mno wakati mjuba ka-hustle kuanzia chini kabisa leo anakula matunda wanga ndiyo mnahangaika kumuwangia. Wachawi mnataabika sana.
Mimi ni mshabiki wa diamond kindaki ndaki, nazungumzia uhalisia. Jamaa kaisha
 
Sema umechoka sio tumechoka, utaibika mkuu!

Pili jifunze mazuri toka kwa mtu yatumie katika mazingira yako kufanikiwa.

Hizi roho zetu mbaya zinatufanya ngozi kupoteza mvuto na kukunjamana watanzania
"....zinatufanya ngozi kupoteza mvuto na kukunjamana watanzania...", ZINATUFANYA! Wewe na nani? Kwanini na wewe usijisemee mwenyewe mkuu? Why utujumuishe na sisi?

Acha kuji-contradict, umefanya kosa lilelile unalomshutumu mtoa mada kulifanya!

Pls man up!
 
Inawezekana ni mwandishi mzuri, ana nyimbo zenye melody Kali, ila tatizo sauti yake tumeichoka sana , sana yani kama tulivozichoka sauti za kina mbdogg na Juma nature.

Kiukweli kinachombeba ni Jina tu, kwasasa awaachie kina Mario, harmonize, jay melody, sauti zao hatujazichoka. Yaani nikisikia sauti ya diamond na Ile staile yake very old fashioned, aache muziki awe mwandishi.

Jamaa kiufupi ameisha
Unataka abane pua?? Msingi useme aina ya uimbaji wake ni ule ule abadirike.
 
Mimi ni mshabiki wa diamond kindaki ndaki, nazungumzia uhalisia. Jamaa kaisha
Uhalisia ambao hauna facts ni chuki.

Hivi kuna uhalisia unaozidi digital platforms.Ukiona mtu ana number kubwa kwenye digital platforms hata demand yake ni kubwa.

Ongea facts na si chuki zako,mziki upo opens siku hizi ongea kwa number na sio hisia zako binafsi.
 
Back
Top Bottom