ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 2,424
- 4,954
- Thread starter
- #41
KiasiSema kijana unateseka sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KiasiSema kijana unateseka sana
Jitahidi. Kutojikita na mambo ya watu wengine ili usiteseke zaidiKiasi
mrembo kumbe upo?nikobize kukutafuta kishenzi.Ali Kiba je?
Ngoma ikivuma hatimaye hupasukaInawezekana ni mwandishi mzuri, ana nyimbo zenye melody Kali, ila tatizo sauti yake tumeichoka sana , sana yani kama tulivozichoka sauti za kina mbdogg na Juma nature.
Kiukweli kinachombeba ni Jina tu, kwasasa awaachie kina Mario, harmonize, jay melody, sauti zao hatujazichoka. Yaani nikisikia sauti ya diamond na Ile staile yake very old fashioned, aache muziki awe mwandishi.
Jamaa kiufupi ameisha
Usisahau kuwatag wenzako mlioichoka sauti moja lakini zingine mnazihitajiInawezekana ni mwandishi mzuri, ana nyimbo zenye melody Kali, ila tatizo sauti yake tumeichoka sana , sana yani kama tulivozichoka sauti za kina mbdogg na Juma nature.
Kiukweli kinachombeba ni Jina tu, kwasasa awaachie kina Mario, harmonize, jay melody, sauti zao hatujazichoka. Yaani nikisikia sauti ya diamond na Ile staile yake very old fashioned, aache muziki awe mwandishi.
Jamaa kiufupi ameisha
🤣🤣🤣🤣🤣Usisahau kuwatag wenzako mlioichoka sauti moja lakini zingine mnazihitaji
binadamu hmna jema akiimba nyimbo za kuparty hamtaki, akiimba kawaida kama alivyoanza mnaita old fashioned style basi hao ambao wanapambana nae au ambao ndo wapo kwenye trend kwa sasa wafanye angalau kumfikia robo lakin bado wanajikongojaKuna kaukweli, kinachombeba jina na ubunifu.
Muda wake umefikabinadamu hmna jema akiimba nyimbo za kuparty hamtaki, akiimba kawaida kama alivyoanza mnaita old fashioned style basi hao ambao wanapambana nae au ambao ndo wapo kwenye trend kwa sasa wafanye angalau kumfikia robo lakin bado wanajikongoja
Astaafu tubinadamu hmna jema akiimba nyimbo za kuparty hamtaki, akiimba kawaida kama alivyoanza mnaita old fashioned style basi hao ambao wanapambana nae au ambao ndo wapo kwenye trend kwa sasa wafanye angalau kumfikia robo lakin bado wanajikongoja
kaka muda haujafika muacheni atengeneze hela kwa maana hiyo ndokazi yakeMuda wake umefika
jamani ndo kazi yake hiyo kachaguaAstaafu tu
Mimi ni shabiki wa mondi tangu anatoka bro mondi wa enzi za nyuma si sawa na wa sasa hata kidogo. Mondi alikua balaa akitoa nyimbo huwa nyimbo ya taifa tena itatrend si chini ya miezi sita, mfano Utanipenda, Eneka, African beuty, kwangwaru, kidogo, halleluyah, iyena, ntampata wapi, Marry you na nyinginezo halafu fananisha na hizi za sasa hivi Gidi, kwenye FOA ukiitoa mtasubiri nyingne sio za level yake, zuwena, my baby, Jugni, kanyaga na nyingnezo. Kama utafikiria bila ushabiki utaona ukweli ulivo.binadamu hmna jema akiimba nyimbo za kuparty hamtaki, akiimba kawaida kama alivyoanza mnaita old fashioned style basi hao ambao wanapambana nae au ambao ndo wapo kwenye trend kwa sasa wafanye angalau kumfikia robo lakin bado wanajikongoja