Diamond sauti yake haina ladha tena, tumechoka

Diamond sauti yake haina ladha tena, tumechoka

Je mr blue hajaisha...?
Mr blue hajaisha hata kidogo na hata hiyo nafasi yake kisanii hatumii vizuri.
Huyu dogo ni mojawapo ya talent zilizopotea bila kutumika inavyopaswa.
Kuna nyimbo "Mimi Wewe" kaimba na Abby skillz kina Diamond wakasome kwanza
 
Mr blue hajaisha hata kidogo na hata hiyo nafasi yake kisanii hatumii vizuri.
Huyu dogo ni mojawapo ya talent zilizopotea bila kutumika inavyopaswa.
Kuna nyimbo "Mimi Wewe" kaimba na Abby skillz kina Diamond wakasome kwanza
Mr Blue ni My all time favourite Tanzanian Artist
 
Kwahio hao hawajamchoka ?
Sio hawajamchoka yaani wanafanya kama vile wanamsikiliza msanii mwengine yeyote tu ile title kuwa goma la mondi ishaisha siku hizi, Amini nakwambia mondi angekuwa yule yule nowdays angekuwa anaendelea kushindana na akina burnaboy na davido ila duuh wamemuacha mbaali sana
 
Sio hawajamchoka yaani wanafanya kama vile wanamsikiliza msanii mwengine yeyote tu ile title kuwa goma la mondi ishaisha siku hizi, Amini nakwambia mondi angekuwa yule yule nowdays angekuwa anaendelea kushindana na akina burnaboy na davido ila duuh wamemuacha mbaali sana
Zamani kabla hajachokwa alikuwa anawashinda hao ? Yaani Diamond wa Sasa Kima-shabiki anamzidiwa na Diamond wa lini Ki-mashabiki

Kumbukuka hapa tunaongelea kuchokwa (sio ubora wa kazi anazotoa) kwahio kama mashabiki wameongezeka huwezi kusema amechokwa; technically wangemchoka angepunguza mashabiki
 
Inawezekana ni mwandishi mzuri, ana nyimbo zenye melody Kali, ila tatizo sauti yake tumeichoka sana , sana yani kama tulivozichoka sauti za kina mbdogg na Juma nature.

Kiukweli kinachombeba ni Jina tu, kwasasa awaachie kina Mario, harmonize, jay melody, sauti zao hatujazichoka. Yaani nikisikia sauti ya diamond na Ile staile yake very old fashioned, aache muziki awe mwandishi.

Jamaa kiufupi ameisha

Umechoka na nani mkuu?
Mbona unawasemea watu
 
Back
Top Bottom