Diamond sauti yake haina ladha tena, tumechoka

Mimi ni mshabiki wa diamond kindaki ndaki, nazungumzia uhalisia. Jamaa kaisha
Haijalishi wewe ni mshabiki wa nani, hapa hatuko kwenye ushabiki bali uhalisia unathibitishwa na facts.
Kwanza umeandika ujinga wa 'tumemchoka' bora ungeandika ya kwamba 'umemchoka' kwani ni haki yako kumchoka unayejisikia kumchoka japo pia ukitoa sababu za uonga au za chuki wenye facts zitakazokinzana na zako watakujibu.
Kichekesho unadai Diamond watu wamemchoka uimbaji wake lakini akitoa wimbo/nyimbo hakuna anayevutia kusikilizwa zaidi yake kwenye digital platforms zote, wapo artists wengi wenye majina wakichokwa huwa numbers zinajidhihirisha zenyewe. Zama za kudanganya zimepitwa na wakati kwani facts huwa ziko wazi.
 
Asipokuelewa hapa basi either uwezo wake kiakili ni mdogo sana au ni hater tu wa Diamond na anaumizwa na mafanikio yake.
Artist hawezi kuchokwa wakati demand ya kila nyimbo atoazo inakuwa ni kubwa mno sokoni tena zaidi ya artists wote wa East Africa.
 
Haisadii Diamond is the best and ever and ever the best, the flag bearer of Tanzanian music
 
Huyu ni panya kama Panya wengine mwamba diamond ndio balozi wa Tanzania Kwa ujumla wake
 
Kwanini utumie neno "Tumemchoka" ulichoongea hakisadiki na anavyodominate Diamond ametoa hit mbili Yatapita na Zuwena ingekuwa kachokwa ngoma zake zisingekuwa zinafanya vizuri
 
Ndo life cycle ya mziki ilivyo. Ukishapata umaarufu inatakiwa ufanye uwekezaji kwa umakini. Sasa hivi mondi anahangaishwa na TRA sijui balance sheet ilikuwa haibalance.

Abaki na zuchu amwendeleze katika nyimbo za taarabu maana huku kwingine wamesha bofua wote wawili
Alafu zuchu akiimba live sauti yake inakauka, duh kaaazi kweli kweli walahi
Yaani wamesha kuwa zilipendwa life span wa mziki wao umesha kufa!
Uwiii [emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…