babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Mr blue hajaisha hata kidogo na hata hiyo nafasi yake kisanii hatumii vizuri.Je mr blue hajaisha...?
Mr Blue ni My all time favourite Tanzanian ArtistMr blue hajaisha hata kidogo na hata hiyo nafasi yake kisanii hatumii vizuri.
Huyu dogo ni mojawapo ya talent zilizopotea bila kutumika inavyopaswa.
Kuna nyimbo "Mimi Wewe" kaimba na Abby skillz kina Diamond wakasome kwanza
Hawamjui huyu dogo yaani yuko vizuri sana karidhika mapema tu.Mr Blue ni My all time favourite Tanzanian Artist
Tid madude tu ila kwasasa kajirekebisha na bado legend.Anatak kusema TId hajachoka
Sio hawajamchoka yaani wanafanya kama vile wanamsikiliza msanii mwengine yeyote tu ile title kuwa goma la mondi ishaisha siku hizi, Amini nakwambia mondi angekuwa yule yule nowdays angekuwa anaendelea kushindana na akina burnaboy na davido ila duuh wamemuacha mbaali sanaKwahio hao hawajamchoka ?
Zamani kabla hajachokwa alikuwa anawashinda hao ? Yaani Diamond wa Sasa Kima-shabiki anamzidiwa na Diamond wa lini Ki-mashabikiSio hawajamchoka yaani wanafanya kama vile wanamsikiliza msanii mwengine yeyote tu ile title kuwa goma la mondi ishaisha siku hizi, Amini nakwambia mondi angekuwa yule yule nowdays angekuwa anaendelea kushindana na akina burnaboy na davido ila duuh wamemuacha mbaali sana
Inawezekana ni mwandishi mzuri, ana nyimbo zenye melody Kali, ila tatizo sauti yake tumeichoka sana , sana yani kama tulivozichoka sauti za kina mbdogg na Juma nature.
Kiukweli kinachombeba ni Jina tu, kwasasa awaachie kina Mario, harmonize, jay melody, sauti zao hatujazichoka. Yaani nikisikia sauti ya diamond na Ile staile yake very old fashioned, aache muziki awe mwandishi.
Jamaa kiufupi ameisha