Diamond siku akifariki, muziki wa Tanzania utakufa

Diamond siku akifariki, muziki wa Tanzania utakufa

Diamond Platnumz akifa mziki wa Tanzania unakufa.

-Harmonize atakosa mtu wa kumpa kiki za kuvumisha ngoma zake
-Alikiba atakosa mtu wa kushindana naye
-Rayvanny atakosa mtu wa ku mboost kwenye mziki
-Marioo atakosa mtu wa kujishindanisha kwake
-Tanzania itakosa mtu wa kuiwakilisha kimataifa na kushindana na wanaija
- Contents Creators wengi watakosa content ambazo hufanya kwa kumuiga Diamond (Eric Omondi na wengine)

Media zote zitakosa za online zitakosa Umbea wa kupost (Mange Tv,Sns,Rick media, Millard Ayo na kadhalika)
Kiufupi Nchi itakuwa imepoteza moja ya Kiungo Kikubwa kwenye maendeleo ya Nchi.

Kafariki Jiwe sembuse Chibu?
 
Laiti ungejua how Grammy awards work ungefuta what you just wrote.

Diamond HAWEZI kushinda Grammy hata siku moja. Atashinda iwapo tu Grammy watabadilisha namna wanavyochagua washindi.

Otherwise futa hiyo ndoto kichwani kwako.
Na hawezi kuingizwa kushiriki

Ova
 
Diamond Platnumz akifa mziki wa Tanzania unakufa.

-Harmonize atakosa mtu wa kumpa kiki za kuvumisha ngoma zake
-Alikiba atakosa mtu wa kushindana naye
-Rayvanny atakosa mtu wa ku mboost kwenye mziki
-Marioo atakosa mtu wa kujishindanisha kwake
-Tanzania itakosa mtu wa kuiwakilisha kimataifa na kushindana na wanaija
- Contents Creators wengi watakosa content ambazo hufanya kwa kumuiga Diamond (Eric Omondi na wengine)

Media zote zitakosa za online zitakosa Umbea wa kupost (Mange Tv,Sns,Rick media, Millard Ayo na kadhalika)
Kiufupi Nchi itakuwa imepoteza moja ya Kiungo Kikubwa kwenye maendeleo ya Nchi.

BIla shaka umezaliwa 2004
 
Yawezekana...ingawa inaweza isiwe kweli kutokana na namna mauti yake yatakavyomkuta mhusika na tafsiri yake katika jamii.
 
Mkuu haudhani kwamba investment ipelekwe kwenye kutengenezwa kwa cinemas zaidi kuliko kwenye streaming ?

Nasema hivyo kwa sababu thats how Nigeria revived their film industry kwa kujenga cinemas nyingi around the country kupitia investments za kampuni ya Silverbird (Silverbird film project)

Plus naona kama streaming ROI ni ndogo sana compared to cinemas hasa ukizingatia kwamba kuna watu wengi hapa Bongo ku-access internet bado ni changamoto.

Au mawazo yako ni yapi mkuu kuhusu hili ?

Kuhusu streaming culture na cinema culture kwa Tanzania tupo nyuma kiasi ila katika kuangalia maudhui mtandaoni tupo vizuri tu, maana ukiangalia numbers za YouTube kwa hizo bongo movies au comedy ni kubwa kiasi.

Na hata watu wengi wanalipia ving'amuzi kuangalia tamthilia zilizotafsiriwa,

Nadhani Issue ni kuwafanya watu waone thamani ya kulipia service wanayoipata kwa gharama inayoendana nayo.

Kuna swahiliflix na wengine walikuja kwa kasi ila wakapoa hivyo, nadhani kwenye kuuza content, Mange kimambi na usumbufu wake wote ila angetakiwa kuwa case study ya kuanzia nayo maana kiukweli kafanikiwa kuteka soko ambalo ni gumu mnoo
 
Again, naunga mkono hoja

Tena tukiongelea KIMUZIKI, nadhani Marioo ana impact kubwa kuliko Mondi maana Marioo ndio msanii aliyeitangaza na kuifanya Bongo Piano au Swahili Amapiano kuwa maarufu zaidi.
Yeah Kwenye muziki wa Piano, Marioo ni kichwa japo sometimes nammiss yule marioo ambaye alikuwa na ladha tofauti tofauti kwenye muziki wake. Tofauti na sasa ambapo ameanza kuwa predictable

Pia nampa kongole kwa kuwa major breakthrough artist kwa zama hizi tena kwa kutumia pure bongo flava "inatosha" Katika kipindi ambacho wengi walianza kamini kuwa huwezi kufanikiwa commercially kama utaimba muziki wa aina hiyo
 
Back
Top Bottom