Diamond siku akifariki, muziki wa Tanzania utakufa

Diamond siku akifariki, muziki wa Tanzania utakufa

Mwanamuziki ni neno pana sana, anaweza kubobea ktk aspects tofauti km rapping, performing au kutumia vyombo vya muziki hao wote wapo kwenye kundi la wanamuziki.
Mwanamuziki ni lazima ajuwe abc's za music.

Naamini Diamond hazijuwi hizo.

Ukimsikiliza hana "fundamentals " za music. Ni performer siyo musician.

Kuna ala yoyote ya music Diamond amewahi kutumia?
 
Yaani leo utatoa matusi yote. Fala wewe na nataka nikukere zaidi ujichanganye upewe ban.

Mwanaume hata hisia zako unashindwa kuzizuia ukiulizwa maswali mepesi mepesi tu.

Ungekuwa hutaki kuwa kuwa mwanaume si ungesema.
Acha kudhihirisha ujinga wako nimekuuliza ww nn maana ya afro fusion usiwe unadakia tu mambo ikiwa ata maana hujui, au unataka ku Google 😂 😂 toa maana ya afro fusion
 
Ndio maana naku refer ww as mwehu kwa hiyo bongo piano ndio playlist per se? Playlist ata wafuasi 100K halifikishi unasema ni playlist kaangalie major playlist km utaona hiyo mama amina yako, ww nakwmbia bora wazaz wako wangenunua ndoo ya ubuyu mle

Cheki nnavyokuhangaisha. Yaani hadi umeenda kuchungulia followers wa kwenye playlists. This is fun 😅😅

It seems hujui how these playlists are curated and how they are created.

Kwa sababu mtu na akili zako, huwezi ukafananisha campaign ya Equal ambayo ni special kwa ajili ya WANAWAKE na playlist ya Bongo Piano which is genre based na inachukuliwa kama campaign sio playlist pekee.

You're judging a fish for its ability to climb a tree.
 
Diamond Platnumz akifa mziki wa Tanzania unakufa.

-Harmonize atakosa mtu wa kumpa kiki za kuvumisha ngoma zake
-Alikiba atakosa mtu wa kushindana naye
-Rayvanny atakosa mtu wa ku mboost kwenye mziki
-Marioo atakosa mtu wa kujishindanisha kwake
-Tanzania itakosa mtu wa kuiwakilisha kimataifa na kushindana na wanaija
- Contents Creators wengi watakosa content ambazo hufanya kwa kumuiga Diamond (Eric Omondi na wengine)

Media zote zitakosa za online zitakosa Umbea wa kupost (Mange Tv,Sns,Rick media, Millard Ayo na kadhalika)
Kiufupi Nchi itakuwa imepoteza moja ya Kiungo Kikubwa kwenye maendeleo ya Nchi.

Utakuwa kachawa ka diamond
 
Ndio maana nakwambia ww ni mwehu, achana na mambo ya article ww unajua maana ya "afro fusion"
Mara ya kwanza umeniambia Burna Boy haja-invent chochote.

Nimekuletea an article tena ya DAILY POST inayooonesha kwamba he has invented a new sound inaitwa Afro Fusion.

instead ya kusoma, unaniuliza tena maana ya Afro Fusion, just like how you were asking me playlist ya Equal inahusu nini 😂

I'm not your personal assistant. Do your homework.
 
Cheki nnavyokuhangaisha. Yaani hadi umeenda kuchungulia followers wa kwenye playlists. This is fun 😅😅

It seems hujui how these playlists are curated and how they are created.

Kwa sababu mtu na akili zako, huwezi ukafananisha campaign ya Equal ambayo ni special kwa ajili ya WANAWAKE na playlist ya Bongo Piano which is genre.

You're judging a fish for its ability to climb a tree.
Ww mwehu bongo piano sio genre, davido kaimba amapiano burna kaimba je amapiano ya South ni genre ipi? Jibu hili km utaweza ww 😂
 
Mara ya kwanza umeniambia Burna Boy haja-invent chochote.

Nimekuletea an article tena ya DAILY POST inayooonesha kwamba he has invented a new sound inaitwa Afro Fusion.

instead ya kusoma, unaniuliza tena maana ya Afro Fusion, just like how you were asking me playlist ya Equal inahusu nini 😂

I'm not your personal assistant. Do your homework.
Na ndio maana nimekwambia uwe unasoma vitu usigoogle tu nakuleta vitu, burna anadai yy ndio muasisi wa Afro fusion, je ww unajua maana ya afro fusion? Nikisems ww mwehu namaanisha
 
Ww mwehu bongo piano sio genre, davido kaimba amapiano burna kaimba je amapiano ya South ni genre ipi? Jibu hili km utaweza ww 😂

Sasa kama sio genre ulikuwa tulikuwa tunabishana nini?

Yaani we bwana kama Baamedi mara ukubali mara ukatae.

Maana umeshatoka sasa kwenye mambo ya playlist ya EQUAL unataka tuanze ku-argue whether or not Bongo Piano is a genre or not meanwhile nilishakwambia kwamba it's a subgenre ya Bongo Flava na ndo maana hata streaming services kubwa imezipa its own playlists.

Kiukweli ni ngumu sana kubishana na Baamedi.
 
Mara ya kwanza umeniambia Burna Boy haja-invent chochote.

Nimekuletea an article tena ya DAILY POST inayooonesha kwamba he has invented a new sound inaitwa Afro Fusion.

instead ya kusoma, unaniuliza tena maana ya Afro Fusion, just like how you were asking me playlist ya Equal inahusu nini 😂

I'm not your personal assistant. Do your homework.
Na ndio maana nimekwambia ww ni mwehu, Afro fusion ata Afro pop ni Afro fusion ata Afro trap ni Afro fusion inaonekana maana ya fusion hujui maana yake.

Na ndio maana nakuita mwehu acha kusomba kila takataka uwe km dodoki.

Ni jibu hili davido kaimba amapiano je ni genre ipi km marioo aliimba bongo piano???? 😂 ulivyo mwehu utakimbia hili swali
 
Diamond Platnumz akifa mziki wa Tanzania unakufa.

-Harmonize atakosa mtu wa kumpa kiki za kuvumisha ngoma zake
-Alikiba atakosa mtu wa kushindana naye
-Rayvanny atakosa mtu wa ku mboost kwenye mziki
-Marioo atakosa mtu wa kujishindanisha kwake
-Tanzania itakosa mtu wa kuiwakilisha kimataifa na kushindana na wanaija
- Contents Creators wengi watakosa content ambazo hufanya kwa kumuiga Diamond (Eric Omondi na wengine)

Media zote zitakosa za online zitakosa Umbea wa kupost (Mange Tv,Sns,Rick media, Millard Ayo na kadhalika)
Kiufupi Nchi itakuwa imepoteza moja ya Kiungo Kikubwa kwenye maendeleo ya Nchi.

Mbona hana issue yeyote
 
Sasa kama sio genre ulikuwa tulikuwa tunabishana nini?

Yaani we bwana kama Baamedi mara ukubali mara ukatae.

Maana umeshatoka sasa kwenye mambo ya playlist ya EQUAL unataka tuanze ku-argue whether or not Bongo Piano is a genre or not meanwhile nilishakwambia kwamba it's a subgenre ya Bongo Flava na ndo maana hata streaming services kubwa imezipa its own playlists.

Kiukweli ni ngumu sana kubishana na Baamedi.
Na ndio maana na ku refer ww km MWEHU, km ni sub genre ya bongo flava hiyo siyo new sound.

Burna sio muasisi wa Afro fusion, Afro fusion ipo siku zote ni sub genre ya Afro beat.

Soma vitu uelewe na sio kugoogle nakuropoka tu
 
Na ndio maana nimekwambia uwe unasoma vitu usigoogle tu nakuleta vitu, burna anadai yy ndio muasisi wa Afro fusion, je ww unajua maana ya afro fusion? Nikisems ww mwehu namaanisha

Nimeleta article kwa sababu we una akili za kibaamedi.

Ulisema Burna ni msanii mkubwa na haja-invent chochote, nimekupa hiyo article kuonesha kwamba wewe ni MUONGO na YOU WERE WRONG maana Burna Boy AMEKUUMBUA.

Pia article hujaisoma, ungeisoma ungejua maana ya Afro Fusion, instead of wasting my time kuniuliza vitu ambavyo I'm dealing with kila siku nikiwa studio.
 
Nimeleta article kwa sababu we una akili za kibaamedi.

Ulisema Burna ni msanii mkubwa na haja-invent chochote, nimekupa hiyo article kuonesha kwamba wewe ni MUONGO na YOU WERE WRONG maana Burna Boy AMEKUUMBUA.

Pia article hujaisoma, ungeisoma ungejua maana ya Afro Fusion, instead of wasting my time kuniuliza vitu ambavyo I'm dealing with kila siku nikiwa studio.
Ww nakwambia bora wazaz wako wangenunua ndoo ya ubuyu mle. Hakuna muziki wa Afro fusion, ni fusion kati ya nn sasa 😂 😂

Hiyo Afro fusion anayodai burna still ni Afro pop ambapo ilikuwepo tayari. Na burna ali claim hivyo yy na sio kuwa watu walim recognised km muasisi bali ni yy mwenyewe tena ukitaka hadi interview unawekewa hapa.

Read and analyse na sio kubeba vitu km dodoki kwenye maji taka
 
Back
Top Bottom