Diamond siku akifariki, muziki wa Tanzania utakufa

Diamond siku akifariki, muziki wa Tanzania utakufa

Diamond Platnumz akifa mziki wa Tanzania unakufa.

-Harmonize atakosa mtu wa kumpa kiki za kuvumisha ngoma zake
-Alikiba atakosa mtu wa kushindana naye
-Rayvanny atakosa mtu wa ku mboost kwenye mziki
-Marioo atakosa mtu wa kujishindanisha kwake
-Tanzania itakosa mtu wa kuiwakilisha kimataifa na kushindana na wanaija
- Contents Creators wengi watakosa content ambazo hufanya kwa kumuiga Diamond (Eric Omondi na wengine)

Media zote zitakosa za online zitakosa Umbea wa kupost (Mange Tv,Sns,Rick media, Millard Ayo na kadhalika)
Kiufupi Nchi itakuwa imepoteza moja ya Kiungo Kikubwa kwenye maendeleo ya Nchi.

Dogo hana issue, mbona wengine tulishamsahau?
 
Na ndio maana na ku refer ww km MWEHU, km ni sub genre ya bongo flava hiyo siyo new sound.

Burna sio muasisi wa Afro fusion, Afro fusion ipo siku zote ni sub genre ya Afro beat.

Soma vitu uelewe na sio kugoogle nakuropoka tu

Akili za kibaamedi. Unachojua ni kufungua chupa za bia na kukatika viuno.

What do you mean a sub genre is not a new sound. Hivi unaweza ukafananisha YATAPITA, UTU ukaziweka pamoja na SINGLE AGAIN au BIA TAMU?

Hivi we Baamedi una shida gani?

Yaani wachambuzi wa muziki, wakina Michael na Charlotte wa Audiomack wamekaa wakasema Bongo Piano tutaipa a different placing na Bongo Fleva because the sounds are different.

Alafu we baamedi mmoja unakuja kubisha!!

Unapewa hadi articles za credible sources unabisha kuhusu Afro Fusion unabisha.

We kweli baamedi
 
Diamond Platnumz akifa mziki wa Tanzania unakufa.

-Harmonize atakosa mtu wa kumpa kiki za kuvumisha ngoma zake
-Alikiba atakosa mtu wa kushindana naye
-Rayvanny atakosa mtu wa ku mboost kwenye mziki
-Marioo atakosa mtu wa kujishindanisha kwake
-Tanzania itakosa mtu wa kuiwakilisha kimataifa na kushindana na wanaija
- Contents Creators wengi watakosa content ambazo hufanya kwa kumuiga Diamond (Eric Omondi na wengine)

Media zote zitakosa za online zitakosa Umbea wa kupost (Mange Tv,Sns,Rick media, Millard Ayo na kadhalika)
Kiufupi Nchi itakuwa imepoteza moja ya Kiungo Kikubwa kwenye maendeleo ya Nchi.

siombei afariki, au la badi akifariki afariki katiba Bwana, awe amemkiri Yesu Kristo kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yake ili aende mahali pazuri, ila kwa muziki wake,naombea ufe kifo cha mende kabisa, ni muziki wa kishetani na kifreemason, unachafua nafsi, unahamasisha uzinzi, unaharibu watoto na una upako wa kishetani kabisa. ajabu yake, hadi viongozi wa dini wanaosema wanamwamini mungu huwa wanamwita hadi kwenye matamasha yao.
 
Ww nakwambia bora wazaz wako wangenunua ndoo ya ubuyu mle. Hakuna muziki wa Afro fusion, ni fusion kati ya nn sasa 😂 😂

Hiyo Afro fusion anayodai burna still ni Afro pop ambapo ilikuwepo tayari. Na burna ali claim hivyo yy na sio kuwa watu walim recognised km muasisi bali ni yy mwenyewe tena ukitaka hadi interview unawekewa hapa.

Read and analyse na sio kubeba vitu km dodoki kwenye maji taka

Watu wanaokataa ni kama wewe ambao mnaambiwa Marioo kaleta a new sound mnakaza kichwa.

Kama hauoni utofauti kati ya City Boys na On The Low. Sina la kukusaidia.
 
Nimeleta article kwa sababu we una akili za kibaamedi.

Ulisema Burna ni msanii mkubwa na haja-invent chochote, nimekupa hiyo article kuonesha kwamba wewe ni MUONGO na YOU WERE WRONG maana Burna Boy AMEKUUMBUA.

Pia article hujaisoma, ungeisoma ungejua maana ya Afro Fusion, instead of wasting my time kuniuliza vitu ambavyo I'm dealing with kila siku nikiwa studio.


Akili za kibaamedi. Unachojua ni kufungua chupa za bia na kukatika viuno.

What do you mean a sub genre is not a new sound. Hivi unaweza ukafananisha YATAPITA, UTU ukaziweka pamoja na SINGLE AGAIN au BIA TAMU?

Hivi we Baamedi una shida gani?

Yaani wachambuzi wa muziki, wakina Michael na Charlotte wa Audiomack wamekaa wakasema Bongo Piano tutaipa a different placing na Bongo Fleva because the sounds are different.

Alafu we baamedi mmoja unakuja kubisha!!

Unapewa hadi articles za credible sources unabisha kuhusu Afro Fusion unabisha.

We kweli baamedi
Ulivyo mwehu sasa hoja una umekalia kudhihirisha ufinyu wa akili yako 😂 😂 😂

Kwa hiyo mtu kuimba amapiano ndio ameleta impact kwenye bongo flava 😂

Fusion zinatokea mara kwa mara na ndio maana ya Fusion, mchanganyiko. Shida yako umekaza fuvu paka mafuta bichwa hilo uelewe.

Afro fusion ni nn jibu swali km hujarudi kwenye afro beat/Afro pop.

Usiwe km dodoki wa kubeba kila kitu jifunze ku analyze.

Na umesha ambiwa amapiano ni universal sound sio kwamba marioo ndio kaipa umaarufu km unaamni marioo kufanya amapiano ndio kaipa umaarufu Bongo ni ubovu wa akili yako 😂
 
Na ndio maana nimekwambia ww ni mwehu, Afro fusion ata Afro pop ni Afro fusion ata Afro trap ni Afro fusion inaonekana maana ya fusion hujui maana yake.

Na ndio maana nakuita mwehu acha kusomba kila takataka uwe km dodoki.

Ni jibu hili davido kaimba amapiano je ni genre ipi km marioo aliimba bongo piano???? 😂 ulivyo mwehu utakimbia hili swali

Kajifundishe kitu kinaitwa AFRO PIANO

Ukimaliza hapo katafute kitu kinaitwa Afro Piano Festival, ni Tamasha iliyofanyika Lagos mwaka jana mwishoni.
 
Watu wanaokataa ni kama wewe ambao mnaambiwa Marioo kaleta a new sound mnakaza kichwa.

Kama hauoni utofauti kati ya City Boys na On The Low. Sina la kukusaidia.
Hv una elimu gani ww mbona kichwa maji sana 😂 😂 unaambiwa kitu ni universal alaf ww unasema flani ndio kaleta
 
Kajifundishe kitu kinaitwa AFRO PIANO

Ukimaliza hapo katafute kitu kinaitwa Afro Piano Festival, ni Tamasha iliyofanyika Lagos mwaka jana mwishoni.
Na ndio maana nakwambia ww ni mwehu, Ata single again ni Afro piano pia na ndio maana ya fusion, ila sio afro fusion. Ndio maana naku refer as MWEHU 😂
 
Ulivyo mwehu sasa hoja una umekalia kudhihirisha ufinyu wa akili yako 😂 😂 😂

Kwa hiyo mtu kuimba amapiano ndio ameleta impact kwenye bongo flava 😂

Fusion zinatokea mara kwa mara na ndio maana ya Fusion, mchanganyiko. Shida yako umekaza fuvu paka mafuta bichwa hilo uelewe.

Afro fusion ni nn jibu swali km hujarudi kwenye afro beat/Afro pop.

Usiwe km dodoki wa kubeba kila kitu jifunze ku analyze.

Na umesha ambiwa amapiano ni universal sound sio kwamba marioo ndio kaipa umaarufu km unaamni marioo kufanya amapiano ndio kaipa umaarufu Bongo ni ubovu wa akili yako 😂
Wewe DO YOU HOMEWORK. I can't keep answering the same things over and over again.

1. Nimekupa kauli, tena an article ya Burna Boy nayo unakataa.You keep asking what Afro Fusion is, alafu after sometime unajijibu mwenyewe.


2. Nimekwambia Amapiano SIO universal sound umekataa na nimekupa sababu


3. Unabishana hadi na streaming services ambazo zinaterm Bongo Piano as a new sound.


4. Ulikuwa hujui about EQUAL campaign until I told you kuwa inahusu kupromote WASANII WA KIKE


5. Hujui utofauti kati ya AFROBEATS na AFROBEAT. I never talked about AFROBEAT in this discussion.


6. I said Marioo ameleta impact Kwa kuchanganya Amapiano na Bongo Fleva (Bongo Piano)
I never said Marioo ana impact just because ameimba Amapiano tu.



You keep asking the same questions na kustate vitu ambavyo sijasema.

Hizi ni tabia za ki- narcissist ambazo alikuwa nazo demu wangu.

At this point I don't know whether you are just dumb, stupid au unaenjoy tu kubishana.

BYE !!
 
Wewe DO YOU HOMEWORK. I can't keep answering the same things over and over again.

1. Nimekupa kauli, tena an article ya Burna Boy nayo unakataa.You keep asking what Afro Fusion is, alafu after sometime unajijibu mwenyewe.


2. Nimekwambia Amapiano SIO universal sound umekataa na nimekupa sababu


3. Unabishana hadi na streaming services ambazo zinaterm Bongo Piano as a new sound.


4. Ulikuwa hujui about EQUAL campaign until I told you kuwa inahusu kupromote WASANII WA KIKE


5. Hujui utofauti kati ya AFROBEATS na AFROBEAT. I never talked about AFROBEAT in this discussion.


6. I said Marioo ameleta impact Kwa kuchanganya Amapiano na Bongo Fleva (Bongo Piano)
I never said Marioo ana impact just because ameimba Amapiano tu.



You keep asking the same questions na kustate vitu ambavyo sijasema.

Hizi ni tabia za ki- narcissist ambazo alikuwa nazo demu wangu.

At this point I don't know whether you are just dumb, stupid au unaenjoy tu kubishana.

BYE !!
Ww dada ni MWEHU, Amapiano hadi Rihana, Chris brown, Wiz Khalifa, J Cole wana I recognised alaf ww unasema sio universal sound.

Uncle waffles amapiano imempeleka duniani sehemu ambako ata Marioo hatokuja kukanyaga, then ww mla mihogo unasema Marioo ndio kaipa umaarufu amapiano.

Hujui ata kuwa burna boy alijinasibu mwenyewe kuwa anafanya afro fusion na haikuwa recognition kutoka kwa mtu yyte then ww kichwa maji unabeba juu juu kila kitu, ukiulizwa what is afro fusion hujui ata n nn 😂 😂

Kingine ww dumb head Marioo kufanya Amapiano sio impact hiyo kwenye bongo flava maana amapiano was already big compared to Marioo simply tu ni kuwa kila mtu angefanya

Na ulivyo mchovu wa akili unataja playlist ambazo hazina impact yyte kwa msanii. Playlist ata wafuasi 50K haifikishi ila kwako ni habari 😂 😂

Fatilia playlist kubwa kwenye streaming platforms ndio utajua ni sound zp ni universal na sio kila sound mtu akifanya analeta impact
 
We k*m*

1. Amapiano SIO universal

2. Marioo ameleta Bongo Piano. Kachukua Amapiano ya South kaichanganya na Bongo Fleva na ndo maana tunasema ni new sound.

Amapiano za Marioo huwezi ukazifananisha na za wa-south. Zina elements za Bongo Fleva mle ndani.

Na baada ya yeye kufanya hiyo fusion ndipo yule jamaa anayekut*mb*ga yaani Dai, wakina Zuchu, Ali Kiba, wote wakapita humo humo.

Kama hujaelewa na hapo nenda k*t*mbw* !
Ndio maana ku refer as "MWEHU" Laana za marehemu mama yako zinakupanikisha kwa mambo madogo. Jifunze dada jinsi ya kujenga hoja na sio kutukana hovyo km baba yako anavyo kutukana nani amefananisha hizo sound sasa 😂 au afro pop ya Diamond inafanana sound na ya burna. Shida nimekwambia ww kichwa maji acha kukaza fuvu na ulivyo "MWEHU" utapanik tena 😂

Tafuta kitu cha kukuweka busy utoke kwa shemeji hapo acha kumtegemea dada yako kwa kila kitu
 
Laiti ungejua how Grammy awards work ungefuta what you just wrote.

Diamond HAWEZI kushinda Grammy hata siku moja. Atashinda iwapo tu Grammy watabadilisha namna wanavyochagua washindi.

Otherwise futa hiyo ndoto kichwani kwako.
Kwanini mkuu

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Huna akili. Unajaribu kueleweshwa unakuwa mkali.


Mwenzio anaelezea mambo ya artistry na sound legacy we unaongelea mambo ya kujaza stadiums [emoji28]


Ukweli ni kwamba Diamond ana akili ya kibiashara na kipaji anacho but HANA IMPACT kwenye sound ya Bongo Flava and so is Ali Kiba, Harmonize, Nandy n.k


Mfano mzuri ni Marioo, ngoma zake kama Mama Amina na Bia Tamu zina impact in a sense kwamba zilisaidia kui-popularize a new sub genre ambayo ni Bongo Piano ambayo from there wasanii wengine km Harmonize, Ali Kiba, Jaivah, Zuchu na Chino wakaichukua.


Hata Rayvanny nae ana mchango kwenye sound ya Bongo Fleva. Ngoma zake kama My Number One na Teamo alichanganya Kizomba na Bongo Flava baadae wasanii kama Diamond na Marioo na wenyewe wakapita humo humo.

Diamond is a copycat. Ni kama Mark Zuckerberg tu. Ana akili ya kumonetize kitu na kukifanya kuwa kikubwa but kuinvent kitu hiyo creativity hana. That is not to say kwamba hana talent, talent anayo but uthubutu wa ku-expriment new sounds hana.

And ITS OKAY

Usichoelewa ni nini? Na nani alikuambia muziki ni tuzo na mambo ya kujaza international stadiums basi?

Ngwair, Country Wizzy na Darassa wamejaza international stadiums gani? Kwa hiyo na wenyewe hawana impact ?

Narudia tena huna akili.
Watu mna madini [emoji23]

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Nyie wangese acheni uchuro kesho lisije likapigwa tanzia hatutaki haya mambo yenu ya ramli chonganishi hatutaki kabisa nyinyi wapiga ramli acheni mambo yenu ya uchuro akifa akifa au mnataka afe alafu mgundue kitu au sio? Mnataka afe? Semeni
[emoji23][emoji23] unaogopa kifo

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Alikuwepo Kanumba mkali wa Movie na sasa kuna wwngine wakali wa series!
Mimi naona wasanii wa movie wako comfortable baada ya Dstv na Azam kuwapa deals za tamthilia.

Je Kanumba angekuwa kwenye hilo kundi akisubiri series za Dstv? Kwa maoni yangu hapana.
 
Umeeleza kirefu na fact ....but huku kwetu ni tofauti kuliko huko marekani

Ngoja Nikupe ukweli

Hivi unaelewa kuwa kabla ya mondi kuchipukia ....hii east Africa kimuziki ilikuwa dominated na uganda ( chameleon, radio na weasel) ......na Kenya ....kina jaguar......

Je hao wasanii mnaosema walikuwepo Kwann hawakutamba dhidi ya hao waganda
Huu ni ukweli
 
Back
Top Bottom