Diamond siku akifariki, muziki wa Tanzania utakufa

Diamond siku akifariki, muziki wa Tanzania utakufa

Shida yako ni moja tu. Husomi kuelewa unasoma vitu as if unaumwa tumbo la period.

Wapi nimesema Marioo ndio kaanzisha Amapiano?

I said Marioo ana mchango kwenye sound ya Bongo because yeye ndio msanii wa kwanza Bongo kuchanganya Amapiano na Bongo Flava kutuletea Bongo Piano, sub genre ambayo kwa sasa Spotify, Apple Music na Audiomack wanaitambua kwenye playlisting.

Same Kwa Rayvanny.
Yeye ndiye msanii wa kwanza kuileta Kizomba Bongo na baadae wasanii wengine kama Diamond, Marioo, Ben Pol etc wakapita mulemule.

Plus acha kutumia mifano ya nchi za nje kuhalalisha ujinga wako. Stick kwenye mada. Nobody said Diamond sio msanii mkubwa he is. Lakini hana uthubutu wa kujaribu vitu vipya.

Na kama unadhani Justin Bieber hana mchango wowote kwenye sound nenda kajielimishe about who is the first Canadian singer kuchanganya EDM na RnB. Nikuulize Sorry ya Justin Bieber ni aina gani ya muziki?

Kwani we una umri gani mkuu, mbona una akili za kitoto sana?
Ww jamaa ni mwehu nasisitiza, playlist zipo kwa kila nchi hadi Congo wana amapiano yao. Kwa playlist za piano bongo zimekuwa influenced na Marioo 😂 😂 😂. Ww ni mwehu.
 
Nyie wangese acheni uchuro kesho lisije likapigwa tanzia hatutaki haya mambo yenu ya ramli chonganishi hatutaki kabisa nyinyi wapiga ramli acheni mambo yenu ya uchuro akifa akifa au mnataka afe alafu mgundue kitu au sio? Mnataka afe? Semeni
 
View attachment 2880017
Krikichino ww mwehu. Hili ndio tamasha kubwa namba 1 Africa la muziki. Em nitafutie wasanii wako walioipa bongo flava impact na waasisi wa " bongo piano" na "kizomba".

Umeona sasa ulivyokuwa mjinga?

Sisi tunaongelea mambo ya sound pioneering na genre experimentation unaenda kuchukua li-screenshot la show za watu unakuja kuweka kwenye mada just because Diamond yupo.

Yes ali-perform kwenye hiyo show, so what ?

What does that poster have to do with anything that are we are currently discussing ?

Again, WCB wamewadanganya kila kitu ni numbers na kwenda international and as dumb as you are, uko hapa hujui hata unabishana na nani 😅😅

Bye !!!
 
Umeona sasa ulivyokuwa mjinga?

Sisi tunaongelea mambo ya sound pioneering na genre experimentation unaenda kuchukua li-screenshot la show za watu unakuja kuweka kwenye mada just because Diamond yupo.

Yes ali-perform kwenye hiyo show, so what ?

What does that poster have to do with anything that are we are currently discussing ?

Again, WCB wamewadanganya kila kitu ni numbers na kwenda international and as dumb as you are, uko hapa hujui hata unabishana na nani 😅😅

Bye !!!
Ww wazazi wako ni kheri wangenunua ndoo ya ubuyu mmung'unye nyumban kuliko kukupeleka ww ng'ombe shule.

"Diamond siku akifariki, muziki wa Tanzania utakufa".​

Hiko ndio kichwa cha habari juu ya hii mada, sasa kuna mtu akabisha kwa maoni yake kuwa Diamond hana sound so hana impact kwenye bongo flava alaf ukatokea ww mwehu usiye na akili ukashadadia mada pasipo kujua ina husu nn. Yaan ww unabisha main body lkn hujui title inasemaje.

Sasa ww mwehu ni jibu, ni lini ulisikia kuleta impact kwenye bongo flava ni hadi ulete sound mpya? Kingine ww mwehu sound pioneering si kazi ya msanii ni kazi ya producer kusuka mabit ndio wanaleta sound mpya
 
Bora wangu alianzisha genre, wa kwako niko nae kitandani hapa, ana viuno balaa.

Plus acha kujichekesha kama malay* jibu swali.

Nimeshakwambia huna akili. Husomi vitu kuelewa unajibu kama unaumwa tumbo la period.

Swali jepesi
Mama yako kaanzisha genre gani zile za kimboka 😂 😂. Ww ni mwehu mshushe mumeo mnara huo au hupo kwa shemeji unasubiri zamu yako akitoka mama yako
 
Ww wazazi wako ni kheri wangenunua ndoo ya ubuyu mmung'unye nyumban kuliko kukupeleka ww ng'ombe shule.

"Diamond siku akifariki, muziki wa Tanzania utakufa".​

Hiko ndio kichwa cha habari juu ya hii mada, sasa kuna mtu akabisha kwa maoni yake kuwa Diamond hana sound so hana impact kwenye bongo flava alaf ukatokea ww mwehu usiye na akili ukashadadia mada pasipo kujua ina husu nn. Yaan ww unabisha main body lkn hujui title inasemaje.

Sasa ww mwehu ni jibu, ni lini ulisikia kuleta impact kwenye bongo flava ni hadi ulete sound mpya? Kingine ww mwehu sound pioneering si kazi ya msanii ni kazi ya producer kusuka mabit ndio wanaleta sound mpyaakusema Diamond hana mchango, alisema Diamond hana mchango kwenye Bongo Fleva as a genre au sound.

Ww wazazi wako ni kheri wangenunua ndoo ya ubuyu mmung'unye nyumban kuliko kukupeleka ww ng'ombe shule.

"Diamond siku akifariki, muziki wa Tanzania utakufa".​

Hiko ndio kichwa cha habari juu ya hii mada, sasa kuna mtu akabisha kwa maoni yake kuwa Diamond hana sound so hana impact kwenye bongo flava alaf ukatokea ww mwehu usiye na akili ukashadadia mada pasipo kujua ina husu nn. Yaan ww unabisha main body lkn hujui title inasemaje.

Sasa ww mwehu ni jibu, ni lini ulisikia kuleta impact kwenye bongo flava ni hadi ulete sound mpya? Kingine ww mwehu sound pioneering si kazi ya msanii ni kazi ya producer kusuka mabit ndio wanaleta sound mpya

Kama kuleta sound mpya hakuna impact kwanini legends kama kina Fela Kuti, Bob Marley, Michael Jackson wanakumbukwa hadi leo?


How many times Diamond akiulizwaga ni msanii gani aliku-inspire atawataja wakina Dully Sykes sijui Mr Nice etc.


In real sense, Diamond amewazidi kila kitu hao legends. Ana tuzo nyingi kuliko wao, fame, mauzo, influence etc but he will still cite them kama his influences.

Same to Burna Boy, why does he cite Fela Kuti kama his influence meanwhile amemzidi Fela Kuti kwenye kila kitu as in tuzo, fame, mikwanja, mauzo etc. Why ?
 
Acha kuzunguka Hovyo kama paka la baa.

Jibu swali, kati ya Diamond na Marioo nani alikuwa msanii wa kwanza kuileta Swahili Amapiano Bongo ?
 
Kama kuleta sound mpya hakuna impact kwanini legends kama kina Fela Kuti, Bob Marley, Michael Jackson wanakumbukwa hadi leo?


How many times Diamond akiulizwaga ni msanii gani aliku-inspire atawataja wakina Dully Sykes sijui Mr Nice etc.


In real sense, Diamond amewazidi kila kitu hao legends. Ana tuzo nyingi kuliko wao, fame, mauzo, influence etc but he will still cite them kama his influences.

Same to Burna Boy, why does he cite Fela Kuti kama his influence meanwhile amemzidi Fela Kuti kwenye kila kitu as in tuzo, fame, mikwanja, mauzo etc. Why ?
Well swali zuri? Na kujibu ifuatavyo, kwa mantiki yako ina maana Diamond kwa Tz na Burna kwa Africa hawatokumbukwa kwa vile hawakuleta sound mpya?
 
Ww jamaa ni mwehu nasisitiza, playlist zipo kwa kila nchi hadi Congo wana amapiano yao. Kwa playlist za piano bongo zimekuwa influenced na Marioo 😂 😂 😂. Ww ni mwehu.
Nioneshe playlist ya Audiomack au Spotify ambayo ni special kwa ajili ya Amapiano za Congo Tu. Naongelea Editorial playlist.

Usidhani EDITORIAL PLAYLISTS ni kwapa kwamba Audiomack wanaamka tu wanatengeneza. Ni lazima genre au subgenre iwe mainstream.

And yes, bila Marioo kuitangaza Bongo Piano na wasanii wengine kufanya Amapiano hizo playlist zisingekuwepo.

Unajua unabisha vitu ambavyo viko obvious sana
 
Nioneshe playlist ya Audiomack au Spotify ambayo ni special kwa ajili ya Amapiano za Congo Tu. Naongelea Editorial playlist.

Usidhani EDITORIAL PLAYLISTS ni kwapa kwamba Audiomack wanaamka tu wanatengeneza. Ni lazima genre au subgenre iwe mainstream.

And yes, bila Marioo kuitangaza Bongo Piano na wasanii wengine kufanya Amapiano hizo playlist zisingekuwepo.

Unajua unabisha vitu ambavyo viko obvious sana
Unaifahamu playlist ya "EQUAL" Spotify? Na km ndio unaweza niambia iliundwa under which motives
 
Ni mwanamuziki kwa vile anaimba genres tofauti tofauti tu na pia ni performer, ni something extra. Mtu km Chino ndio performer na sio mwanamuziki
Kuimba tu hakumfanyi kuwa mwanamziki. Hata chiriku wanaimba.

Alikiba ni mwanamziki.
 
Kuimba tu hakumfanyi kuwa mwanamziki. Hata chiriku wanaimba.

Alikiba ni mwanamziki.
Mwanamuziki ni neno pana sana, anaweza kubobea ktk aspects tofauti km rapping, performing au kutumia vyombo vya muziki hao wote wapo kwenye kundi la wanamuziki.
 
Unaifahamu playlist ya "EQUAL" Spotify? Na km ndio unaweza niambia iliundwa under which motives

Ndo maana kuna muda nikakuuliza unajua unabishana na nani ? 😅

Kwanza EQUAL sio playlist per se ni a whole campaign ya Spotify. Calling it "a playlist" ni disrespect.

Li-organize swali lako vizuri, then niulize tena.
 
Ni mwanamuziki kwa vile anaimba genres tofauti tofauti tu na pia ni performer, ni something extra. Mtu km Chino ndio performer na sio mwanamuziki
😁😁😁 Haya mashudu mengine haya.

Gigy money nae anaimba, kwa hiyo ni mwanamuziki ??

How dumb, can you get !!!
 
@theundisputed najua umeenda kubadilisha pads but haina noma naomba ukirudi unijibu hili swali.

Nakusubiri.
Ww mwehu umeshuka kwenye mnara wa mumeo, una akili finyu yaani uwezo wako wa kufikiri hauna tofauti na ukaribu wa mabano.

2face idiaba one among the greats, alileta sound ipi Nigeria. Shida ww dada umekalili ni mtu alete sound mpya ndio awe regarded as an extraordinary, nimekuuliza swali hakuna mwanamuziki amewahi kutokea km Burna Africa je ameleta sound gani? Ndio ujue hiko kigezo chako ni mwehu km ww tu ndio utatoa mishipa ya shingo
 
😁😁😁 Haya mashudu mengine haya.

Gigy money nae anaimba, kwa hiyo ni mwanamuziki ??

How dumb, can you get !!!
Ndo maana kuna muda nikakuuliza unajua unabishana na nani ? 😅

Kwanza EQUAL sio playlist per se ni a whole campaign ya Spotify. Calling it "a playlist" ni disrespect.

Li-organize swali lako vizuri, then niulize tena.
Ndio maana naku refer ww as mwehu kwa hiyo bongo piano ndio playlist per se? Playlist ata wafuasi 100K halifikishi unasema ni playlist kaangalie major playlist km utaona hiyo mama amina yako, ww nakwmbia bora wazaz wako wangenunua ndoo ya ubuyu mle
 
Back
Top Bottom