Ni upepo tu . Mwakani mtamkataa na mtasema Manara anatuhujumu . Makombe yatarudi Msimbazi . Ni suala la muda tu.Mbna manara kaondoka na Makombe yote
Katika wote uliotaja namkubali Ali Kiba tu.Diamond Platnumz ametangaza rasmi kujiunga katika klabu ya Yanga SC akitokea katika klabu ya Simba SC kama Shabiki na Mwanachama.
oji23][emoji23]
Kingwendu
Kitale
Mkojani
Tundamani
cocastic View attachment 2656295
π€£π€£π€£ kwenye list ya mazinge huyo Ali kiba nae yumo kwenye huo u-freemasonKatika wote uliotaja namkubali Ali Kiba tu.
Wengine ni wa kawaida sana.U free mason tu
Kaenda kupiga pesa tu huko. Si unajua wajinga ndiyo waliwao?Unawezaje kuhama timu mpenzi na shabiki wa kweli?
πππ Hii list kudadekWanasimba Sasa
Kingwendu
Kitale
Mkojani
Tundamani
Kuhama unahama tu Kwan shingapi?Kaenda kupiga pesa tu huko. Si unajua wajinga ndiyo waliwao?