Diamond: Simba byebye walimhujumu ndugu yangu Manara

Diamond: Simba byebye walimhujumu ndugu yangu Manara

Wamanyema hua wanapendana popote wanapokua, hao akina kirumbe ng’enda, zamaradi, diamond, rommyjones, Zitto, Asha baraka, mwijakuzi, kaseja, kiba, manara na wengine wengi wanajuana vyema
Kwamba manara ni mmanyema??
 
Unawezaje kuhama timu mpenzi na shabiki wa kweli?
Hili ndio watu wanapaswa kujiuliza.

Ni juzi tu hapa tumesikia voice note ya Manara akiwa analalamika kuhusu mpango kazi wa Simba kwenye kuhamasisha wanachama kununua kadi..

Leo hii wote hao wamesahau na kumuona kama mwenzao wa siku zote licha ya kwamba jamaa amejithibitisha kuwa yeye ni Simba.
 
Hakuna upenzi wa timu wa namna hiyo...

Kwa maana hiyo yeye Diamond ni mfuasi wa Manara na si Yanga...

Manara itafika wakati ataondoka Yanga kama ambavyo alivyoondoka Simba...
 
Hili ndio watu wanapaswa kujiuliza.

Ni juzi tu hapa tumesikia voice note ya Manara akiwa analalamika kuhusu mpango kazi wa Simba kwenye kuhamasisha wanachama kununua kadi..

Leo hii wote hao wamesahau na kumuona kama mwenzao wa siku zote licha ya kwamba jamaa amejithibitisha kuwa yeye ni Simba.
Unaamini kwenye hilo
 
Diamond Platnumz ametangaza rasmi kujiunga katika klabu ya Yanga SC akitokea katika klabu ya Simba SC kama Shabiki na Mwanachama.

"Walimfanyia Fitina Manara, kwanza Manara ni ndugu yangu ukimfanyia Fitina Manara umenifitini na mimi"- Diamond Platnumz, Msanii wa muziki na Mkurugenzi Mtendaji wa Wasafi Media, WCB Wasafi.

#YangaParade #yangasc #daimambelenyumamwiko #timuyawananchi

NBC: Harmonize ( jeshi) Diamond Platinumz, (world superstar) alikiba (legend) vannboy (chui) marioo.

Wote ni wananchi

Wanasimba Sasa [emoji23][emoji23]
Kingwendu
Kitale
Mkojani
Tundamani
cocastic
View attachment 2656295


Sioni nawezaje kuhama team, na nikawa mshabiki wa kweli na moyo. Kuna vitu kwangu havibadiliki.
 
Back
Top Bottom