crankshaft
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,427
- 3,438
Hivi angepiga tu show halafu akapita hivi angepungukiwa nini? Next time si angeweza pata hata show ya simba?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili ndio watu wanapaswa kujiuliza.Unawezaje kuhama timu mpenzi na shabiki wa kweli?
🤣🤣🤣 Mkuu kipindi hicho mkojani ajulikaniNa mkojani
Unaamini kwenye hiloHili ndio watu wanapaswa kujiuliza.
Ni juzi tu hapa tumesikia voice note ya Manara akiwa analalamika kuhusu mpango kazi wa Simba kwenye kuhamasisha wanachama kununua kadi..
Leo hii wote hao wamesahau na kumuona kama mwenzao wa siku zote licha ya kwamba jamaa amejithibitisha kuwa yeye ni Simba.
Mwakani hapana, labda Sema mwaka ule mwingine uleeeNi upepo tu . Mwakani mtamkataa na mtasema Manara anatuhujumu . Makombe yatarudi Msimbazi . Ni suala la muda tu.
Diamond Platnumz ametangaza rasmi kujiunga katika klabu ya Yanga SC akitokea katika klabu ya Simba SC kama Shabiki na Mwanachama.
"Walimfanyia Fitina Manara, kwanza Manara ni ndugu yangu ukimfanyia Fitina Manara umenifitini na mimi"- Diamond Platnumz, Msanii wa muziki na Mkurugenzi Mtendaji wa Wasafi Media, WCB Wasafi.
#YangaParade #yangasc #daimambelenyumamwiko #timuyawananchi
NBC: Harmonize ( jeshi) Diamond Platinumz, (world superstar) alikiba (legend) vannboy (chui) marioo.
Wote ni wananchi
Wanasimba Sasa [emoji23][emoji23]
Kingwendu
Kitale
Mkojani
Tundamani
cocastic
View attachment 2656295