Hapo penyewe umetoka kukata mauno ....ya wimbo wa platinumzSasa Domokayaa nani anamstuaa? Kwa lipi hasa??
Tena abakie huko huko. Na hata akitaka kuhamia kokote atakako kuwepo takadini wake, sio shida zangu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Domokayaaa hajawahi kunstua kwa loloteee, na mie ni hater wake mkubwaaa.Hapo penyewe umetoka kukata mauno ....ya wimbo wa platinumz
Mbio kupokezana.Toeni Ahmed ally...ana gundu
Maji ya chooni labda.Acha makasiriko kijana....mondi ni kama maji
Sijawahi na haitawahii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata mange ni hater wa mond....ila anapost anacheza nyimbo zake
Mimi timu Yangu ya udogoni nilikuwa Kolo lakini nikahama .Hili ndio watu wanapaswa kujiuliza.
Ni juzi tu hapa tumesikia voice note ya Manara akiwa analalamika kuhusu mpango kazi wa Simba kwenye kuhamasisha wanachama kununua kadi..
Leo hii wote hao wamesahau na kumuona kama mwenzao wa siku zote licha ya kwamba jamaa amejithibitisha kuwa yeye ni Simba.
Fans ......timu ikiwa na watu wakubwa ..... automatically inakuwa inspired.....you can see Kila mchezaji anapiga picha na mondiSasa huyo chaijaba alikuwa na msaada gani kwa Simba na ataisadia nini Yanga kama siyo sifa za kijinga tuView attachment 2657115View attachment 2657116
Unawezaje kuhama timu mpenzi na shabiki wa kweli?
kwani lini amewahi kuwa shabiki wa simba zaidi ya kuangalia pesa?kuna wakati mwingine unajiuliza huyu mtu mzima kweli?...who cares..kwanza huyu dogo hana ushawishi wowote msimbazi
kumbe sio gsm,nabi wala uwezo wa wachezaji ni hamasa za manara ndio zimewapa kombe?Hamasa ......manara Hana gundu
aache muziki afunge na wasafi radio & tv kama hana shida na pesaHapana mkuu......kama alimpa diara million 10 ..
Unathan anashida na pesa
The issue is self motivation