Diamond: Simba byebye walimhujumu ndugu yangu Manara

Diamond: Simba byebye walimhujumu ndugu yangu Manara

Sasa Domokayaa nani anamstuaa? Kwa lipi hasa??
Tena abakie huko huko. Na hata akitaka kuhamia kokote atakako kuwepo takadini wake, sio shida zangu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo penyewe umetoka kukata mauno ....ya wimbo wa platinumz
 
Sasa huyo chaijaba alikuwa na msaada gani kwa Simba na ataisadia nini Yanga kama siyo sifa za kijinga tu
tapatalk_1592294790979.jpg
IMG-20230428-WA0001(1).jpg
 
Hili ndio watu wanapaswa kujiuliza.

Ni juzi tu hapa tumesikia voice note ya Manara akiwa analalamika kuhusu mpango kazi wa Simba kwenye kuhamasisha wanachama kununua kadi..

Leo hii wote hao wamesahau na kumuona kama mwenzao wa siku zote licha ya kwamba jamaa amejithibitisha kuwa yeye ni Simba.
Mimi timu Yangu ya udogoni nilikuwa Kolo lakini nikahama .
 
Back
Top Bottom