Diamond sio Msanii wa Kimataifa kama anavyoaminisha watu

Duu aisee yaani mwandiko wako na kile unacho kizungumza utakuwa umekaa American Chips Kinondoni.

Okay husihofu humu jamii forum ni ulimwengu mwengine kabisa, so lazima ujipakulie minyama hata mimi nishakaa sana UK miaka 4,US miaka 9.

kwamba kuwa marekani Big deal au?
 

Monde arabe ya koffi ilitoka mwaka gani?
 
huwez kujua kila kitu na sijakuambia hivyo ila nina advantage kubwa ya kujua zaidi kuliko anaishi bongo.
The way unavyojenga hoja humu ni sawa tu na anayeishi Bongo huna exposure yeyote kama kweli upo Marekani basi ujue exposure yako inazidiwa sana na watu wengi wa bongo

Hata baadhi ya watu unaobishana nao kwenye uzi huu angalia jinsi wanavyojenga hoja then jicheki na wewe kwa mtu mwenye akili anajua kabisa unatufunga kama haupo USA kama unavyodai wala nini!!.

Tatzo la hii Forum watu waongo huwa wasahaulifu sana leo hii mtu anaweza kuanzisha thread anaomba msaada wa kutengeneza baiskeli yake ya madafu halafu baada ya mwaka mmoja anasahau anaanzisha uzi wa kuulizia afanye nini na mtaji wa millioni mia alizozipata kwa kufanya kazi mwaka jana nchini marekani
 

kwasababu najua kwamba unataka tubishana ndomana natumia nafasi kukuchallege tu but sina muda wa kujitetea coz najua umejipanga kubisha.

so tunaenda the way unavyotaka coz tusipotezea muda wa kukuelewesh kitu ambacho hutoelewa
 
Wapi ambapo mimi nimebishana na wewe? Kwanza kuna comment yangu yoyote uliyoina kwenye uzi huu zaidi ya hiyo uliyoreply?
kwasababu najua kwamba unataka tubishana ndomana natumia nafasi kukuchallege tu but sina muda wa kujitetea coz najua umejipanga kubisha.
so tunaenda the way unavyotaka coz tusipotezea muda wa kukuelewesh kitu ambacho hutoelewa
 


Boost Mobile unaijua mkuu?.
Naona kuishi marekani issue sana kwako.
 
Ni kweli mkuu, Chinga ndio msanii wa kimataifa [emoji16][emoji16][emoji16].
 
Wewe ndo huna akili.
Kimataifa sio lazima Marekani..
Kutoka Tz Hadi nchi yeyote Ile hata Burundi ..ni kimataifa tayari
Huyu alikuwa na maana Diamondi ni wa kikanda zaidi kuliko global kama walivyo waasanii wa Nija.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…