Diamond tafadhali muache Zuchu huru mbakie kwenye biashara pekee

Diamond tafadhali muache Zuchu huru mbakie kwenye biashara pekee

Kwa nini Diamond ndio amuache zuchu na sio Zuchu amuache Diamond.

Power imbalance. Hii concept inawasumbua sana wabongo kuelewa sababu ya lack of exposure na elimu.

Ni vigumu sana mtu aliye chini yako kikazi kukataa mahusiano na wewe wakati unaweza mbananisha kwenye maslahi yake. Inawezekana zuchu anagoma na nasikia alitoa waraka na kusema yeye na Mondi wameachana ila akafuta the very next day. Nani anajua alitishiwa nini? Mondi ni boss wa Zuchu, Mondi anaweza kusema sikulipi stahiki zako unataka zuchu akale wapi?

Boss anaweza kuwa mwananmke na akambana mwanaume hivyo hivyo, umewahi kusikia houseboy kakataa mahusiano na mama house hata siku moja? Unadhani wote wanapenda?

Ni dhahiri mondi anatumia position yake kuwabana hawa warembo; hii pisi leo ilikua video vixxen kwenye video ya mondi, in other words, mfanyakazi wake temporarily ila akaishia kupita nae. Hiyo tu ni ushahidi tosha kwamba anatumia nafasi yake kama fimbo. Sitashangaa vixxens wengine wakijitokeza na kudai mondi alipita nao wakiwa mazingira ya kazi.

Jisomee: "if there is a power imbalance leading to potential for coercion or creating a hostile work environment, which could be considered sexual harassment or discrimination under employment laws; most companies have policies discouraging relationships between supervisors and their direct reports"
 
Alishasema watasubiri sana

Mamake kama legendary anamshaurije bintiye kwahayo matukio anayopigwa??? Au ndio wako kimaslahi/ kibiashara zaidi?
Bwahahaha nimecheeeeeeka kifwala kweli jinsi zuchu anavokomaa na maumivu kuwatesa watesi wake
Kuna clip lokole aliivujisha ila akawahi kuifuta khadija kopa alikua anamsema zuchu "mwanangu kama bwana hakutaki si urudi nyumbani kwanini unang'ang'ania"
 
chana ila akafuta the very next day. Nani anajua alitishiwa nini? Mondi ni boss wa Zuchu, Mondi anaweza kusema sikulipi stahiki zako unataka zuchu akale wapi
Kwani Zuchu kabla ya kuwa Wasafi alikuja mfu wakaanza kumlisha hatimaye akapata uhai,Mkuu kama wanyama hata wale walio kuwa walemavu Mungu huwapatia Ridhiki itakuja kuwa Zuchu kwa hiyo bora ateseke ili tu apate pesa hizo si akili za aliye hai bali mtu mfu.
 
mwanaume hivyo hivyo, umewahi kusikia houseboy kakataa mahusiano na mama house hata siku moja? Unadhani wote wanapenda?
Kwa hiyo wewe mkuu ukiwa unafanya kazi kwa mtu hata kama utapitia unyanyasaji wowote ambao utahatarisha afya yako ya akili uko tayari uvumilie basi utakuwa una matatizo si bure.
 
Wakati ule wa Wema ilikuwa hivi hivi inzi wamitandani uhusiano ukavunjika. Ngoja tuone ila Mondi ni kichefuchefu.
 
Katika wanamuziki wenye uwezo halisi wa kuimba melody binafsi niliowakubali ni Ruby na Zuchu.

Zuchu angekuwa juu zaidi kama sio Mangę kutwa anamsinga na kumuharibia brand yake.

Zuchu anaimba sio mchezo, ila kwa bongo sidhani kama kuna mtu anamuweza Ruby angekuwa chini ya ABBA au Diamond; Ruby ana vocal range sio ya mchezo.
 
Katika wanamuziki wenye uwezo halisi wa kuimba melody binafsi niliowakubali ni Ruby na Zuchu.

Zuchu angekuwa juu zaidi kama sio Mangę kutwa anamsinga na kumuharibia brand yake.

Zuchu anaimba sio mchezo, ila kwa bongo sidhani kama kuna mtu anamuweza Ruby angekuwa chini ya ABBA au Diamond; Ruby ana vocal range sio ya mchezo.
Kwa Tz hakuna msanii wa kike anafika level za Ruby kwenye kuimba, sijajua nini kinamsibu yule dada...
Kwenye Ruby mmoja kuna Zuchu wawili na nusu..
 
Huyu Mondi amemuweka Zuchu kama mateka wake, hamtunzi sawa sawa na wala hamuachilii aende, huyu binti tusipoangalia ataingia kwenye drugs na kuharibu maisha yake yooooooote, she is acting strong outside but inside she is so depressed,

Nadhani tuliyaona kwa Vanessa na Jux the girl alikuwa analazimisha furaha nje siku yalipomfika shingoni ndio tukagundua kuwa anasumbuliwa na depression kali,

Wasanii wa kiume hawa deserve good girls, wao wanatakiwa wawe na mikurubembe iloshindikana na mitume ndio wanapanda nayo na kushuka nayo kwa hawa church girls ni mateso na huzuni kwao, soon tutampoteza Zuchu kwenye kiwanda cha muziki na hata kimaisha.

Hakuna binaadamu anayeweza kuvumilia usaliti wa wazi wazi kutoka kwa mwenza wake na akawa sawa, this is too much it's time for him to let her go, leave the girl alone hata kama anakung'ang'ania na kukuganda mtoe kwa nguvu time alone will heal her,

Kwako Zuchu you deserve better, it's clear the man is destroying you, najua unataka kuwaonesha watesi wako kua umeishinda vita lakini jiangalie unapoteza muda wako, at your 30s unapaswa kua umesettle down na mtu mnatengeneza familia, unajikosesha kuzaa kwa kusubiri ndoa kwa muhuni, huyo muhuni hawezi kukupa furaha kamwee tena shukuru huna mtoto, imagine muhuni anakukosesha furaha na upo na kiumbe chake unalea, girl stop it, focus kwenye ajira yako, Allah atakujaalia mume mwenye kheir na wewe,
InnaAllah Maasabirin (Mola yu pamoja na wenye kusubiri)

#FreeZuchu
Tatizo si Diamond ila ni Zuchu mwenyewe kakubali kuchezewa......yaani ni dhahiri kabisa kuwa Zuchu hajiamini au anaona Diamond ndiyo mume anayemfaa maishani wakati wala hawaendani kabisa, you can tell it from the outside kuwa ni Zuchu ndiye anayelazimisha hili penzi. Kwa kweli anasikitisha na hashauriki, anazeeka rapidly kwa stress za kuchekwa na wenzake.
 
Kwa Tz hakuna msanii wa kike anafika level za Ruby kwenye kuimba, sijajua nini kinamsibu yule dada...
Kwenye Ruby mmoja kuna Zuchu wawili na nusu..
Ruby anasauti sio mchezo, shida yake ni management. Lakini Ruby akabidhiwe kwa Laizer (ndio wanaendana). Halafu wasafi wamfanyie marketing ni level nyingine.

Mwingine wa kumuinua ni Abbah, Mario aoni ndani. Sema Abbah afikii marketing promotion ya wasafi kwenye kutanga nyimbo zao.

Regardless Tanzania mpaka sasa mwenye uwezo halisi wa kuimba Tanzania, hakuna anaemfikia Ruby (na chini ya wasafi ni level nyingine).

Iła naamini Ruby wito wake halisi ni gospel kwa vocal range yake na uwezo wake wa kuimba kizungu. Under the right management hapo anakuwa international artist; Ruby anaimba.

Ila Zuchu nae anaimba, ukitoa diamond wasanii wote wa wasafi hit songs zao zenye stream nyingi ni featuring Zuchu.

Nakubaliana kabisa na mleta Diamond amuache Zuchu kimapenzi abaki msanii wake. ili tufurahie mziki wake kuliko kum-stress yule mtoto ni talent

Hakuna binti wa kitanzania ambae kafikisha stream youtube nyimbo past 30 million views yeye mwenye au featuring isipokuwa Zuchu; na anazo luluki mpaka over 100+ with and without featuring.

Zuchu ni tunu ya Taifa, kwenye mziki.
 
Ruby anasauti sio mchezo, shida yake ni management. Lakini Ruby akabidhiwe kwa Laizer (ndio wanaendana). Halafu wasafi wamfanyie marketing ni level nyingine.

Mwingine wa kumuinua ni Abbah, Mario aoni ndani. Sema Abbah afikii marketing promotion ya wasafi kwenye kutanga nyimbo zao.

Regardless Tanzania mpaka sasa mwenye uwezo halisi wa kuimba Tanzania, hakuna anaemfikia Ruby (na chini ya wasafi ni level nyingine).

Iła naamini Ruby wito wake halisi ni gospel kwa vocal range yake na uwezo wake wa kuimba kizungu. Under the right management hapo anakuwa international artist; Ruby anaimba.

Ila Zuchu nae anaimba, ukitoa diamond wasanii wote wa wasafi hit songs zao zenye stream nyingi ni featuring Zuchu.

Nakubaliana kabisa na mleta Diamond amuache Zuchu kimapenzi abaki msanii wake. ili tufurahie mziki wake kuliko kum-stress yule mtoto ni talent
Ni kweli mkuu lakini pia msanii mwenyewe pia anahitaji kuwa na dira na juhudi za kufanikisha ndoto zake..

Kama Diamond atamlea Zuchu kitaaluma zaidi kuliko kimapenzi, anaweza kupata mafanikio makubwa zaidi
Beyonce na Jay Z walikuwa na mahusiano lakini bado Beyonce alifanikiwa sana , tofauti ni kwamba, Jay Z hakuwahi kuwa kikwazo kwenye muziki wa Beyonce , badala yake, alimsaidia kujijenga kama msanii huru, alikuwa kiongozi wa Roc Nation kama Diamond alivyo kiongozi wa Wasafi, lakini hakufanya uhusiano wao kuwa chanzo cha drama kwenye career ya Beyonce...

Kwa hiyo, Beyonce alifanikiwa si kwa sababu tu ya kuwa na Jay Z, bali kwa sababu alikuwa na dira ya kujitengenezea legacy yake mwenyewe. Kama Zuchu naye atakuwa na hiyo mentality na Diamond akamruhusu ajisimamie zaidi kama msanii independent ndani ya Wasafi, basi anaweza kuwa staa wa kimataifa kama Beyoncé alivyojipambanua kutoka kivuli cha Jay Z....

Tatizo linakuja kama uhusiano wa kimapenzi unakuwa na drama inayosababisha emotional distractions, gossip, au maamuzi yasiyofuata misingi na matakwa ya kazi kisa tu ni mapenzi...

Suala la marketing wasafi wamefanikiwa sana katika hilo, na ndiyo maana wasanii wao wengi hupata streams nyingi, si tu kwa sababu ya vipaji vyao bali pia kwa mfumo wao wa uendelezaji wa muziki katika promotion & distribution. Abbah ni producer mzuri, lakini kwa upande wa promotion hafikii wasafi...
 
Huyu Mondi amemuweka Zuchu kama mateka wake, hamtunzi sawa sawa na wala hamuachilii aende, huyu binti tusipoangalia ataingia kwenye drugs na kuharibu maisha yake yooooooote, she is acting strong outside but inside she is so depressed,

Nadhani tuliyaona kwa Vanessa na Jux the girl alikuwa analazimisha furaha nje siku yalipomfika shingoni ndio tukagundua kuwa anasumbuliwa na depression kali,

Wasanii wa kiume hawa deserve good girls, wao wanatakiwa wawe na mikurubembe iloshindikana na mitume ndio wanapanda nayo na kushuka nayo kwa hawa church girls ni mateso na huzuni kwao, soon tutampoteza Zuchu kwenye kiwanda cha muziki na hata kimaisha.

Hakuna binaadamu anayeweza kuvumilia usaliti wa wazi wazi kutoka kwa mwenza wake na akawa sawa, this is too much it's time for him to let her go, leave the girl alone hata kama anakung'ang'ania na kukuganda mtoe kwa nguvu time alone will heal her,

Kwako Zuchu you deserve better, it's clear the man is destroying you, najua unataka kuwaonesha watesi wako kua umeishinda vita lakini jiangalie unapoteza muda wako, at your 30s unapaswa kua umesettle down na mtu mnatengeneza familia, unajikosesha kuzaa kwa kusubiri ndoa kwa muhuni, huyo muhuni hawezi kukupa furaha kamwee tena shukuru huna mtoto, imagine muhuni anakukosesha furaha na upo na kiumbe chake unalea, girl stop it, focus kwenye ajira yako, Allah atakujaalia mume mwenye kheir na wewe,
InnaAllah Maasabirin (Mola yu pamoja na wenye kusubiri)

#FreeZuchu
Hivi Zuchu si ana miaka 30+, kwani analazimishwa kutoka na Diamond au ni yeye mwenyewe anajifanya Azizi Ki wa kike? Siamini kama karogwa ila anajitakia sifa za kijinga tu.
 
Ni kweli mkuu lakini pia msanii mwenyewe pia anahitaji kuwa na dira na juhudi za kufanikisha ndoto zake..

Kama Diamond atamlea Zuchu kitaaluma zaidi kuliko kimapenzi, anaweza kupata mafanikio makubwa zaidi
Beyonce na Jay Z walikuwa na mahusiano lakini bado Beyonce alifanikiwa sana , tofauti ni kwamba, Jay Z hakuwahi kuwa kikwazo kwenye muziki wa Beyonce , badala yake, alimsaidia kujijenga kama msanii huru, alikuwa kiongozi wa Roc Nation kama Diamond alivyo kiongozi wa Wasafi, lakini hakufanya uhusiano wao kuwa chanzo cha drama kwenye career ya Beyonce...

Kwa hiyo, Beyonce alifanikiwa si kwa sababu tu ya kuwa na Jay Z, bali kwa sababu alikuwa na dira ya kujitengenezea legacy yake mwenyewe. Kama Zuchu naye atakuwa na hiyo mentality na Diamond akamruhusu ajisimamie zaidi kama msanii independent ndani ya Wasafi, basi anaweza kuwa staa wa kimataifa kama Beyoncé alivyojipambanua kutoka kivuli cha Jay Z....

Tatizo linakuja kama uhusiano wa kimapenzi unakuwa na drama inayosababisha emotional distractions, gossip, au maamuzi yasiyofuata misingi na matakwa ya kazi kisa tu ni mapenzi...

Suala la marketing wasafi wamefanikiwa sana katika hilo, na ndiyo maana wasanii wao wengi hupata streams nyingi, si tu kwa sababu ya vipaji vyao bali pia kwa mfumo wao wa uendelezaji wa muziki katika promotion & distribution. Abbah ni producer mzuri, lakini kwa upande wa promotion hafikii wasafi...
Jay Z anamuheshimu Beyonce. Sio diamond anavyomfanyia Zuchu.

Zuchu na Diamond ni sawa na ‘Ike and Tina’ mpaka hiyo nyimbo 👇


View: https://m.youtube.com/watch?v=oGpFcHTxjZs&pp=ygUpdGluYSB0dXJuZXIgd2hhdCdzIGxvdmUgZ290IHRvIGRvIHdpdGggaXQ%3D

Sema Diamond anavuka mipaka anamu-exploit Zuchu kupitiliza. Age ya Zuchu na Bhoke wa Mangę ni sawa.

Zuchu ni katoto kenye talent ya kuimba tu na Diamond kaanza kukabemenda bado teenager. Kwa Zuchu, pengine Diamond ndio first serious love.

Astahili hizi fedhea Diamond anatakiwa aache, mapenzi na Zuchu abaki kama boss wake wa kazi.

Public negative news za Zuchu chanzo chake ni Diamond. Na Zuchu mwenyewe ni mtoto mdogo sana hana tofauti na mtoto wa rafiki yangu anaitwa Natalię anaishi U.K., Mama yake na mama-Dangote ni mashoga sasa sijui mipango yao ila Diamond ana mahusiano nako na kenyewe ni kadogo kama Zuchu (inadaiwa mama Dangote anataka Diamond amuoe Natalię).

Zuchu ni tunu ya taifa, Diamond amuache huyo mtoto tufaidi mziki wake; kuliko kumfanya kila siku aongelewe vibaya kisa yeye.

Bado naamini Zuchu ili kushamiri anahitaji kuwa chini ya wasafi, ila bila ya mahusiano na Diamond.

Diamond ni toxic kwa Zuchu, waachane kimapenzi. Wabaki msanii na boss.
 
Jay Z anamuheshimu Beyonce. Sio diamond anavyomfanyia Zuchu.

Zuchu na Diamond ni sawa na ‘Ike and Tina’ mpaka hiyo nyimbo 👇


View: https://m.youtube.com/watch?v=oGpFcHTxjZs&pp=ygUpdGluYSB0dXJuZXIgd2hhdCdzIGxvdmUgZ290IHRvIGRvIHdpdGggaXQ%3D

Sema Diamond anavuka mipaka anamu-exploit Zuchu kupitiliza. Age ya Zuchu na Bhoke wa Mangę ni sawa.

Zuchu ni katoto kenye talent ya kuimba tu na Diamond kaanza kukabemenda bado teenager. Kwa Zuchu, pengine Diamond ndio first serious love.

Astahili hizi fedhea Diamond anatakiwa aache, mapenzi na Zuchu abaki kama boss wake wa kazi.

Public negative news za Zuchu chanzo chake ni Diamond. Na Zuchu mwenyewe ni mtoto mdogo sana hana tofauti na mtoto wa rafiki yangu anaitwa Natalię anaishi U.K., Mama yake na mama-Dangote ni mashoga sasa sijui mipango yao ila Diamond ana mahusiano nako na kenyewe ni kadogo kama Zuchu (inadaiwa mama Dangote anataka Diamond amuoe Natalię).

Zuchu ni tunu ya taifa, Diamond amuache huyo mtoto tufaidi mziki wake; kuliko kumfanya kila siku aongelewe vibaya kisa yeye.
Bado naamini Zuchu ili kushamiri anahitaji kuwa chini ya wasafi, ila bila ya mahusiano na Diamond.

Diamond ni toxic kwa Zuchu, waachane kimapenzi. Wabaki msanii na boss.

Ni sahihi hapo hakuna namna, lakini ndo hivyo unakuta aliyependa zaidi ni Zuchu.. mapenzi ni kama giza linalofunika macho ya akili, yakifanya kila kitu kiwe cha mvuto, hata kama ni sumu..
 
Ni sahihi hapo hakuna namna, lakini ndo hivyo unakuta aliyependa zaidi ni Zuchu.. mapenzi ni kama giza linalofunika macho ya akili, yakifanya kila kitu kiwe cha mvuto, hata kama ni sumu..
Zuchu ni katoto kadogo, Diamond ana ka-exploit tu.

Wasanii wote ukitoa Diamond, hits zao zilizotengeneza hela nyingi ni ft Zuchu.

Hakuna msanii wa kike Tanzania kwa sasa mwenye hits kama Zuchu, kaawacha mbali sana.

Anyway I have given my 50 cents on this.

👋
 
Mapenzi ni ya mondi na zuchu kinchokuumiza nini mpaka kutuletea kelele huku ni Nini hasa unamtaka nani kati yao.
Jifunze kutofuatilia maisha binafsi ya watu, unakoelekea utamwambia baba yako kuacha a na mama yako!
 
Back
Top Bottom