PSL god
JF-Expert Member
- Nov 18, 2023
- 8,435
- 6,476
Swali zuri sana hiliAna tako 😀 😱
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali zuri sana hiliAna tako 😀 😱
Ni hatari mkuu yule unamlamba lamba kila sehemu hana kasoro yoyote clear perfection
Hahaha kama una majina yao ya ig nitumie nikawa check mkuu! 🤣 Najua wote wako sinza!!Kuna vyuma zaidi ya ile, chief. Onge na watu vizuri mjini hapa 😂
Yaani wewe ni slow leaner balaa na mjuaji balaaKwa hiyo ulaya ukioa hiruhusiwi kusaliti.?Ukisaliti unashtakiwa.........
Halafu ww umemtolea mfano Didy okay Didy nae alioa? Unajicontradict mwenyewe. Ila ulicho kiongea hapo chini, hakipo kama unavyo sema,maana kama ndio hivyo wangekuwa busy sana mahakamani, kwani 90 ya wana chovya nje. Diddy hakushtakiwa kutoka na mfanya kazi wake ambaye alikuwa chini ya label yake,Diddy alishtakiwa kwa kuwa muabuse Girlfriend wakena clip zake zilivuja akimpiga Girlfriend wake kwenye korido ya hotel. Ila mahusiano yao yalikuwa public.
Basi sawa acha na mie ni kuache.
Atleast ungenionyesha nilipokosea kujenga hoja na ila wewe unaanza kupayuka ila sikulaumu jinsia yako inakuruhusu.Yaani wewe ni slow leaner balaa na mjuaji balaa
Umepewa mifano mara 3 umeshupaza shingo..wanaume wanaume.Atleast ungenionyesha nilipokosea kujenga hoja na ila wewe unaanza kupayuka ila sikulaumu jinsia yako inakuruhusu.
Kwa hiyo niliyo toa mimi sio mifano.Ndio maana sikulaumu,endelea kupayuka.Sikulazimishi kukielewa nilicho kisema mimi au may be unacc mbili?Umepewa mifano mara 3 umeshupaza shingo..wanaume wanaume.
😏
🤣🤣🤣🤣Pameanza kuchangamka... Adui wa mwanamke ni mwanamke
Utakuta huyu ni shogaake na zuchu kwa mbalii, sasa ameamua kujipa cheo cha kumshauri 😁
Awe free ili ukamsage mwenzio, jinga kabisa hili lidemuHuyu Mondi amemuweka Zuchu kama mateka wake, hamtunzi sawa sawa na wala hamuachilii aende, huyu binti tusipoangalia ataingia kwenye drugs na kuharibu maisha yake yooooooote, she is acting strong outside but inside she is so depressed,
Nadhani tuliyaona kwa Vanessa na Jux the girl alikuwa analazimisha furaha nje siku yalipomfika shingoni ndio tukagundua kuwa anasumbuliwa na depression kali,
Wasanii wa kiume hawa deserve good girls, wao wanatakiwa wawe na mikurubembe iloshindikana na mitume ndio wanapanda nayo na kushuka nayo kwa hawa church girls ni mateso na huzuni kwao, soon tutampoteza Zuchu kwenye kiwanda cha muziki na hata kimaisha.
Hakuna binaadamu anayeweza kuvumilia usaliti wa wazi wazi kutoka kwa mwenza wake na akawa sawa, this is too much it's time for him to let her go, leave the girl alone hata kama anakung'ang'ania na kukuganda mtoe kwa nguvu time alone will heal her,
Kwako Zuchu you deserve better, it's clear the man is destroying you, najua unataka kuwaonesha watesi wako kua umeishinda vita lakini jiangalie unapoteza muda wako, at your 30s unapaswa kua umesettle down na mtu mnatengeneza familia, unajikosesha kuzaa kwa kusubiri ndoa kwa muhuni, huyo muhuni hawezi kukupa furaha kamwee tena shukuru huna mtoto, imagine muhuni anakukosesha furaha na upo na kiumbe chake unalea, girl stop it, focus kwenye ajira yako, Allah atakujaalia mume mwenye kheir na wewe,
InnaAllah Maasabirin (Mola yu pamoja na wenye kusubiri)
#FreeZuchu
Sifikiri hivyo huyo ndio kajidhalilisha kuonesha kuwa ni njaa mbaya acha afanye alichofanywaKweli, na ukute zile videos kamwambia yule binti avujishe makusudi ili suala la ndoa life, Zuchu anapaswa kujua thamani yake dah
Yeye ndo mwenye maamuzi wa kuachana na Mondi.Sio aondoke Wasafi, aachane na mapenzi yao, wabaki kufanya kazi
Diamond anamtumia? Au wanatumiana?we unaona kuna mapenzi hapo?? Diamond hampendi Zuchu bali anamtumia
Alishasema watasubiri sana