Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Beauty is in the eye of the beholder. 🤣🤣Ukute demu wako hamfikii huyu rita hata robo.
Watu kama wewe mnakuaga na mademu wabovu sanaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Beauty is in the eye of the beholder. 🤣🤣Ukute demu wako hamfikii huyu rita hata robo.
Watu kama wewe mnakuaga na mademu wabovu sanaa.
Huyu nae? Kwa wanaume ni swala kamtamani nani na wapi, ila usaliti kwetu ni Pie.![]()
Elon Musk had sex with SpaceX worker who began as intern, asked another to have his babies: report
Musk reportedly had a sexual relationship with a SpaceX employee who started at the company as an intern and was then hired not long after she finished college.nypost.com
Diamond bahiliWadada wanamkubali Diamond ili wapate status na hela.
Sasa huyu rita analalamika hata hela ya kula alikua hapewi🥲 kumbe Diamond ni bahili kuhonga duuh
Inaonekana zuchu hapewi hata 50 mbovu lakini bado yupooDiamond bahili
Sahihi kabisaUmemalizia vizuri sana sentensi ya mwisho.
Ukute yupo zake jikon anapika bagia na urojo 😂Na hapo jina la King'ang'a linapokua mwishoe litakua lake kweli🤣🤣
Hivi unaona shakib wa zar walivyo mhandsome na mpole yule kaka,Zuchu angekuwa anaenjoy na mtu wake na anajichelewesha kupata mtu mzuri,hivi ile clip wanasema mawifi wanamsengenya Zuu wanasemaje?Inaonekana zuchu hapewi hata 50 mbovu lakini bado yupoo
Ni kweli anafanya na anawaf…. Haswa hata huyo Zu na nasikia na lokole pia 😂😂😂Nasikia Mond ana kaubahili fulani, anaweza kumpangia mtu, akatoa kodi mara moja kishakukinai halipi tena 😅😅😅😅😅 kweli watoto wanataka status kuwa kaliwa na Mond!!!
Kuna habari niliisikiaga, siwezi iweka hapa. Ni huzuni na inatisha sana kama kweli hufanya hivyo.
Hiyo clip sijaionaHivi unaona shakib wa zar walivyo mhandsome na mpole yule kaka,Zuchu angekuwa anaenjoy na mtu wake na anajichelewesha kupata mtu mzuri,hivi ile clip wanasema mawifi wanamsengenya Zuu wanasemaje?
Kutoka hapo ni kazi D ni manipulatorHiyo clip sijaiona
Zuchu hawezi kukosa mwanaume wa kumpenda Mungu amsaidie aweze kumove on.
Kwa hiyo ulaya ukioa hiruhusiwi kusaliti.?Ukisaliti unashtakiwa.........Unadhani kwanini hiyo ni habari ina inasisitiza had-sex-with-spacex-employee?
Musk hajaoa, Kama angetembea na mtu mwingine huko nje unadhani ingekua habari on front pages?
Nadhani tunajadili mambo mawili tofauti: wewe unaongelea usaliti kwa wanaume; mimi naongelea mahusiano ofisini with your subordinate.
Mondi anatembea na mfanyakazi wake zuchu. Clintoni alitembea na intern wake ofisini Monica. Udoka alitembea na mfanyakazi wake etc etc.
Mahusiano nje ya ofisi hayatuhusu. Kama hujaelewa I rest my case.
Dayamondi angekua mbele angekua na kesi za unyanyasaji wa kingono kwa kutembea na mfanyakazi wake achilia mbali usaliti. Mondi angekua ana face charges kama Diddy hivi sasa. Na Mondi aendelee kuomba international media zisipick hizi story zake za kutembea na zuchu atakuwa blacklisted.
On the other end, Zuchu ni mtu mzima anamaamuzi yake kama kaamua kutumika acha atumike. Siku akishtuka ataondoka hajashikiwa bunduki. Kupanga ni kuchagua.
Kuna jitu linakwenda kupewa digital za mganga wa kienyeji mamaeeh 🤣🤣Tayari umemtamani na Zuchu... Daaah🤔🤔🫡🫡😢😢
Njoo pm nikupe namba yake
Pilipili usiyo ila inakuwashia nini? Acha kuingilia mahusiano ya watu.Huyu Mondi amemuweka Zuchu kama mateka wake, hamtunzi sawa sawa na wala hamuachilii aende, huyu binti tusipoangalia ataingia kwenye drugs na kuharibu maisha yake yooooooote, she is acting strong outside but inside she is so depressed,
Nadhani tuliyaona kwa Vanessa na Jux the girl alikuwa analazimisha furaha nje siku yalipomfika shingoni ndio tukagundua kuwa anasumbuliwa na depression kali,
Wasanii wa kiume hawa deserve good girls, wao wanatakiwa wawe na mikurubembe iloshindikana na mitume ndio wanapanda nayo na kushuka nayo kwa hawa church girls ni mateso na huzuni kwao, soon tutampoteza Zuchu kwenye kiwanda cha muziki na hata kimaisha.
Hakuna binaadamu anayeweza kuvumilia usaliti wa wazi wazi kutoka kwa mwenza wake na akawa sawa, this is too much it's time for him to let her go, leave the girl alone hata kama anakung'ang'ania na kukuganda mtoe kwa nguvu time alone will heal her,
Kwako Zuchu you deserve better, it's clear the man is destroying you, najua unataka kuwaonesha watesi wako kua umeishinda vita lakini jiangalie unapoteza muda wako, at your 30s unapaswa kua umesettle down na mtu mnatengeneza familia, unajikosesha kuzaa kwa kusubiri ndoa kwa muhuni, huyo muhuni hawezi kukupa furaha kamwee tena shukuru huna mtoto, imagine muhuni anakukosesha furaha na upo na kiumbe chake unalea, girl stop it, focus kwenye ajira yako, Allah atakujaalia mume mwenye kheir na wewe,
InnaAllah Maasabirin (Mola yu pamoja na wenye kusubiri)
#FreeZuchu
Kwa hiyo ulaya ukioa hiruhusiwi kusaliti.?Ukisaliti unashtakiwa.........
sitoshangaa, kile kitoto akili zake anazijua mwenyewe 🤣🤣🤣Ukute yupo zake jikon anapika bagia na urojo 😂
Mm nitampokea zuchu akiwa mshangaziNa mimi ndio ninachosema Zuu anaishi kwa ajili ya kushindana na watesi wake wakati muda wake unazidi kusonga mbele, Mondi hata akiwa ana miaka 60 bado ataitwa babe na vitoto vidogo vipi kuhusu yeye?
Anapaswa ajitafakari afanye maamuzi magumu na hata Mondi kama anachembe ya huruma kwa yule binti basi amuache huru wabaki kwenye kazi tu