To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
🤣🤣🤣🤣Mko mia ila bado umeganda tu 🥴🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 toyeye hunaga siri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣Mko mia ila bado umeganda tu 🥴🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 toyeye hunaga siri
Nasikia threesome na vitoto ndiyo habari yake....mama Zuu anampoteza mtoto...amwambie waachaneSasa naanza kuelewa vizuri, kuna weekend moja nilikuwa sehemu nikakakuta kavideo queen pia hapo. Sasa katika story inasemekana Mond huwa anavila sana hivi vitoto, anavipangia. Mwendo ni kuvipelekea moto, naona mmoja wapo waliomtaja ni haka.
Na kuna vingine, video queen, vitoto navyo vinapenda bana. Zuchu atulie tu, ajue anampenda mwanaume wa aina gani, lah atakufa kihoro akiyajua yote anayoyafanya.
Clinton alishtakiwa wapi Kwa usaliti? ungeniambia Abuse,Diddy alimfanyia abuse girlfriend wake na si usaliti. Wanaume karibia asilimia 90 wengi tuna chovya nje,maana kama ingekuwa hivyo sijui huko mahakamani wangedeal na kesi ngapi.
Kuhusu kutembea na mfanyakazi wake hilo sio kosa kabisa halijawahi kuwa kosa
Kuna watu wanayaweza, mimi mama mawivu bora niwe single tu. Labda nisijue nikijua nina wivu sana nikipenda. Ndiyo maana kabla nataka kumjua vizuri huyo mtu.Nasikia threesome na vitoto ndiyo habari yake....mama Zuu anampoteza mtoto...amwambie waachane
Mi sinaga muda wa kumjua mtu nitakapomkutia ndiyo hapohapo...naangukia kichwa🤣🤣Kuna watu wanayaweza, mimi mama mawivu bora niwe single tu. Labda nisijue nikijua nina wivu sana nikipenda. Ndiyo maana kabla nataka kumjua vizuri huyo mtu.
Aisee 😂Pameanza kuchangamka... Adui wa mwanamke ni mwanamke
Utakuta huyu ni shogaake na zuchu kwa mbalii, sasa ameamua kujipa cheo cha kumshauri 😁
Hata ungekua wewe ndio mama diamond unafikiri ungekua na mawazo gani kwa hivi vikina dada vinavyong'ang'ania kujishikiza kwa mtoto wako.Hasa mama ake, hakuna mwanamke wa mwanae alishampenda yeye anawaza kila mwanamke anafata hela tu, kumbe kuna wengine wana mapenzi kama huyo Zuchu
Wadada wanamkubali Diamond ili wapate status na hela.Sasa naanza kuelewa vizuri, kuna weekend moja nilikuwa sehemu nikakakuta kavideo queen pia hapo. Sasa katika story inasemekana Mond huwa anavila sana hivi vitoto, anavipangia. Mwendo ni kuvipelekea moto, naona mmoja wapo waliomtaja ni haka.
Na kuna vingine, video queen, vitoto navyo vinapenda bana. Zuchu atulie tu, ajue anampenda mwanaume wa aina gani, lah atakufa kihoro akiyajua yote anayoyafanya.
kwani ZUCHU amelalamika?Huyu Mondi amemuweka Zuchu kama mateka wake, hamtunzi sawa sawa na wala hamuachilii aende, huyu binti tusipoangalia ataingia kwenye drugs na kuharibu maisha yake yooooooote, she is acting strong outside but inside she is so depressed,
Nadhani tuliyaona kwa Vanessa na Jux the girl alikuwa analazimisha furaha nje siku yalipomfika shingoni ndio tukagundua kuwa anasumbuliwa na depression kali,
Wasanii wa kiume hawa deserve good girls, wao wanatakiwa wawe na mikurubembe iloshindikana na mitume ndio wanapanda nayo na kushuka nayo kwa hawa church girls ni mateso na huzuni kwao, soon tutampoteza Zuchu kwenye kiwanda cha muziki na hata kimaisha.
Hakuna binaadamu anayeweza kuvumilia usaliti wa wazi wazi kutoka kwa mwenza wake na akawa sawa, this is too much it's time for him to let her go, leave the girl alone hata kama anakung'ang'ania na kukuganda mtoe kwa nguvu time alone will heal her,
Kwako Zuchu you deserve better, it's clear the man is destroying you, najua unataka kuwaonesha watesi wako kua umeishinda vita lakini jiangalie unapoteza muda wako, at your 30s unapaswa kua umesettle down na mtu mnatengeneza familia, unajikosesha kuzaa kwa kusubiri ndoa kwa muhuni, huyo muhuni hawezi kukupa furaha kamwee tena shukuru huna mtoto, imagine muhuni anakukosesha furaha na upo na kiumbe chake unalea, girl stop it, focus kwenye ajira yako, Allah atakujaalia mume mwenye kheir na wewe,
InnaAllah Maasabirin (Mola yu pamoja na wenye kusubiri)
#FreeZuchu
I believe ww ni mwanume unasema ulaya wanaume hushtakiwa kwa usaliti, zaidi ya asilimia 90 wanaume tunachovya nje.Ndio maana nimekuuliza kama ingekuwa hivyo huko mahakamani si kila siku wangejaa wao na wake zao.We jamaa mbona mbishi sana wakati kila kitu kipo online. Kesi ya Clinton kuwa impeached by the congress ipo well documented, google is free.
Kutembea na mfanyakazi wako ni kosa kwenye nchi za watu wanaojielewa. Jisomee hapo:
In January 1998, news broke that President Clinton had engaged in an affair with a White House intern, Monica Lewinsky. This story was political dynamite, not just because it was a sex scandal, but also because it had dire legal implications.
During pre-trial discovery in the lawsuit, Clinton gave testimony denying that he had engaged in a sexual relationship with White House intern Monica Lewinsky. The catalyst for the president's impeachment was the Starr Report, a September 1998 report prepared by Ken Starr, Independent Counsel, for the House Judiciary Committee. The Starr Report included details outlining a sexual relationship between Clinton and Lewinsky.[1] Clinton was the second American president to be impeached, the first being Andrew Johnson, who was impeached in 1868.[a]
![]()
Impeachment of Bill Clinton - Wikipedia
en.wikipedia.org
Kesi nyingine hii hapa:
Sources: Investigation found Boston Celtics coach Ime Udoka used crude language in dialogue with female subordinate prior to start of improper relationship
![]()
Sources: Crude remark factored into Udoka ban
An investigation found that Celtics coach Ime Udoka used crude language in his dialogue with a female subordinate prior to the start of an improper workplace relationship with the woman, which factored significantly in his suspension, sources told ESPN.www.espn.com
tena ni unnecessary/unprovoked/uncalled-for kind of a feminist fightUzi umekaa kifeministi
I believe ww ni mwanume unasema ulaya wanaume hushtakiwa kwa usaliti, zaidi ya asilimia 90 wanaume tunachovya nje.Ndio maana nimekuuliza kama ingekuwa hivyo huko mahakamani si kila siku wangejaa wao na wake zao.
Usaliti ni kosa kisheria ndo maana Ulaya divorce rate ipo well over 60%.
Kutembea na mfanyakazi wako sio kosa kwa mke wako tu bali hata kisheria na policy ya makampuni haikubali. So unaweza tembe na mfanyakazi wako kampuni ikakufungulia kesi sio hata mwenza wako. Sijui kama unaelewa.
Clinton alisamehewa na mkewe ila congress impeached him kwa kutembea na intern wake. Udoka alifukuzwa ukocha wa timu hata kama mkewe alimsaheme.
Ukisaliti na mtu mwingine nje ya kampuni hiyo ni kesi yako wewe na mwenza wako kampuni haihusiki ila ukitembea na mtu ndani ya ofisi yako tena aliyechini yako hapo kuna interest ya kampuni, kwa nchi za watu walioendelea hiyo ni kesi. Elewa the difference.
Video vixens wengi huwa ni mabinti walio desperate kupata umaarufu ndio maana wasanii wanapitia humo humo kutoka nao. Japo nao huwa wakipata fame kiasi, dau lao hupanda na chances za kupata wanaume wenye pesa hukua zaidi..Sasa naanza kuelewa vizuri, kuna weekend moja nilikuwa sehemu nikakakuta kavideo queen pia hapo. Sasa katika story inasemekana Mond huwa anavila sana hivi vitoto, anavipangia. Mwendo ni kuvipelekea moto, naona mmoja wapo waliomtaja ni haka.
Na kuna vingine, video queen, vitoto navyo vinapenda bana. Zuchu atulie tu, ajue anampenda mwanaume wa aina gani, lah atakufa kihoro akiyajua yote anayoyafanya.
Bado sijaona hapo.Pyeeeeeee!!!! Umempigia salute kimoyomoyo
Nasikia Mond ana kaubahili fulani, anaweza kumpangia mtu, akatoa kodi mara moja kishakukinai halipi tena 😅😅😅😅😅 kweli watoto wanataka status kuwa kaliwa na Mond!!!Wadada wanamkubali Diamond ili wapate status na hela.
Sasa huyu rita analalamika hata hela ya kula alikua hapewi🥲 kumbe Diamond ni bahili kuhonga duuh
Ukute demu wako hamfikii huyu rita hata robo.Bado sijaona hapo.