Diamond tafadhali muache Zuchu huru mbakie kwenye biashara pekee

Diamond tafadhali muache Zuchu huru mbakie kwenye biashara pekee

Dayamondi angekua mbele angekua na kesi za unyanyasaji wa kingono kwa kutembea na mfanyakazi wake achilia mbali usaliti. Mondi angekua ana face charges kama Diddy hivi sasa. Na Mondi aendelee kuomba international media zisipick hizi story zake za kutembea na zuchu atakuwa blacklisted.

On the other end, Zuchu ni mtu mzima anamaamuzi yake kama kaamua kutumika acha atumike. Siku akishtuka ataondoka hajashikiwa bunduki. Kupanga ni kuchagua.
 
Unanifokea baby? Nitakutafutia mwenzako wewe endelea!
Duh! Kumbe umenipandisha cheo nimekua baby wako😉
Aya bibie huyu hapa! Binti ni kisu hatari, umeona utege wa mahaba huo🙌
Screenshot_20250219-153802.png
 
Dayamondi angekua mbele angekua na kesi za unyanyasaji wa kingono kwa kutembea na mfanyakazi wake achilia mbali usaliti. Mondi angekua ana face charges kama Diddy hivi sasa. Na Mondi aendelee kuomba international media zisipick hizi story zake za kutembea na zuchu atakuwa blacklisted.

On the other end, Zuchu ni mtu mzima anamaamuzi yake kama kaamua kutumika acha atumike. Siku akishtuka ataondoka hajashikiwa bunduki. Kupanga ni kuchagua.
Uku afrika wasanii hawana adabu kabisa kisa wanakula sahani moja na rais
 
Najiuliza Khadija Kopa, nguvu yake ile ya kuacha wanaume ameshindwa kweli kumnasua mtoto kwenye hii trauma?
Sijui Zuchu anawaza akiolewa nini kitabadilika!
Hatapata heshima anayodhani ataipata, cause watu wameshajua ni desperado
Hataogopewa na ndugu wa hiyo familia , as wooooooote wanamnanga wao wafanyakazi wao na kila mtu.

Mpaka siku akihojiwa Taraj na amjadili kwanini haolewi ndo labda ataelewa!
 
Dayamondi angekua mbele angekua na kesi za unyanyasaji wa kingono kwa kutembea na mfanyakazi wake achilia mbali usaliti. Mondi angekua ana face charges kama Diddy hivi sasa. Na Mondi aendelee kuomba international media zisipick hizi story zake za kutembea na zuchu atakuwa blacklisted.

On the other end, Zuchu ni mtu mzima anamaamuzi yake kama kaamua kutumika acha atumike. Siku akishtuka ataondoka hajashikiwa bunduki. Kupanga ni kuchagua.
Kutembea na mfanyakazi wake? How kosa lipo wapi.......... sijawahi kusikia mbele kuna mtu alistakiwa sababu ya Usaliti?Rais wa US Bill Cinton kamkamua Sekretari wake white house, ila hakufanywa chochote na mkewe.

Sema Zuchu kaingia kwa muhuni so yanayo mkuta ayavumilie kama hataki amshe.
 
Back
Top Bottom