Diamond tafadhali muache Zuchu huru mbakie kwenye biashara pekee

Diamond tafadhali muache Zuchu huru mbakie kwenye biashara pekee

Huyu Mondi amemuweka Zuchu kama mateka wake, hamtunzi sawa sawa na wala hamuachilii aende, huyu binti tusipoangalia ataingia kwenye drugs na kuharibu maisha yake yooooooote, she is acting strong outside but inside she is so depressed,

Nadhani tuliyaona kwa Vanessa na Jux the girl alikuwa analazimisha furaha nje siku yalipomfika shingoni ndio tukagundua kuwa anasumbuliwa na depression kali,

Wasanii wa kiume hawa deserve good girls, wao wanatakiwa wawe na mikurubembe iloshindikana na mitume ndio wanapanda nayo na kushuka nayo kwa hawa church girls ni mateso na huzuni kwao, soon tutampoteza Zuchu kwenye kiwanda cha muziki na hata kimaisha.

Hakuna binaadamu anayeweza kuvumilia usaliti wa wazi wazi kutoka kwa mwenza wake na akawa sawa, this is too much it's time for him to let her go, leave the girl alone hata kama anakung'ang'ania na kukuganda mtoe kwa nguvu time alone will heal her,

Kwako Zuchu you deserve better, it's clear the man is destroying you, najua unataka kuwaonesha watesi wako kua umeishinda vita lakini jiangalie unapoteza muda wako, at your 30s unapaswa kua umesettle down na mtu mnatengeneza familia, unajikosesha kuzaa kwa kusubiri ndoa kwa muhuni, huyo muhuni hawezi kukupa furaha kamwee tena shukuru huna mtoto, imagine muhuni anakukosesha furaha na upo na kiumbe chake unalea, girl stop it, focus kwenye ajira yako, Allah atakujaalia mume mwenye kheir na wewe,
InnaAllah Maasabirin (Mola yu pamoja na wenye kusubiri)

#FreeZuchu
Zuchu nae mpigaji tu
 
Huyu Mondi amemuweka Zuchu kama mateka wake, hamtunzi sawa sawa na wala hamuachilii aende, huyu binti tusipoangalia ataingia kwenye drugs na kuharibu maisha yake yooooooote, she is acting strong outside but inside she is so depressed,

Nadhani tuliyaona kwa Vanessa na Jux the girl alikuwa analazimisha furaha nje siku yalipomfika shingoni ndio tukagundua kuwa anasumbuliwa na depression kali,

Wasanii wa kiume hawa deserve good girls, wao wanatakiwa wawe na mikurubembe iloshindikana na mitume ndio wanapanda nayo na kushuka nayo kwa hawa church girls ni mateso na huzuni kwao, soon tutampoteza Zuchu kwenye kiwanda cha muziki na hata kimaisha.

Hakuna binaadamu anayeweza kuvumilia usaliti wa wazi wazi kutoka kwa mwenza wake na akawa sawa, this is too much it's time for him to let her go, leave the girl alone hata kama anakung'ang'ania na kukuganda mtoe kwa nguvu time alone will heal her,

Kwako Zuchu you deserve better, it's clear the man is destroying you, najua unataka kuwaonesha watesi wako kua umeishinda vita lakini jiangalie unapoteza muda wako, at your 30s unapaswa kua umesettle down na mtu mnatengeneza familia, unajikosesha kuzaa kwa kusubiri ndoa kwa muhuni, huyo muhuni hawezi kukupa furaha kamwee tena shukuru huna mtoto, imagine muhuni anakukosesha furaha na upo na kiumbe chake unalea, girl stop it, focus kwenye ajira yako, Allah atakujaalia mume mwenye kheir na wewe,
InnaAllah Maasabirin (Mola yu pamoja na wenye kusubiri)

#FreeZuchu
Ukisema watoto wa kike, waliopo kwenye mateso,Zuchu sio mmoja wao, huyu ana ukwasi mkubwa kuliko mbunge wa viti ma alum, kama ameshikwa, amejishikisha kwenye we kwa tamaa zake, wacha aliwe mpaka makalio,
Kwa Mimi kama mzazi, na baba wa binti kadhaa, inaleta ukakasi, ukiona mwanamwali wako, analiwa weeeee, na, jamaa, hazai,nae, mimba zinatolewa, anafsnywa kama sex machine tu, hapo zuchu, bikira iliishabanduliwa, na sikia Dangote, aliwahi, kumzamishia kwa mpalange, kidogo akaue katoto ka watu, kesi ilimalizwa kifamilia,
 
Ukisema watoto wa kike, waliopo kwenye mateso,Zuchu sio mmoja wao, huyu ana ukwasi mkubwa kuliko mbunge wa viti ma alum, kama ameshikwa, amejishikisha kwenye we kwa tamaa zake, wacha aliwe mpaka makalio,
Kwa Mimi kama mzazi, na baba wa binti kadhaa, inaleta ukakasi, ukiona mwanamwali wako, analiwa weeeee, na, jamaa, hazai,nae, mimba zinatolewa, anafsnywa kama sex machine tu, hapo zuchu, bikira iliishabanduliwa, na sikia Dangote, aliwahi, kumzamishia kwa mpalange, kidogo akaue katoto ka watu, kesi ilimalizwa kifamilia,
Kwa hiyo alikalawiti!!
Nazidi kupata huruma juu yake, mapenzi yamempofusha hasikii wala haoni ila ipo siku atashtuka
 
Kipenzi unajua Diamond alishasema, akiwa hamtaki mwanamke anamfanyia matukio, anaondoka mwenyewe. Sasa kishamaliza matukio yote bidada yupo, yaani Mond safari hii kakamatika.

Zuchu kishasema juzi haendi kokote, kujibu ujumbe wa Valentine's day. Hakujua Mond yale maneno ni kumchoma Misa, kuwa tangu kaanza kupenda, hajawahi penda kama anavyompenda Zuchu.
Shida pia kwa ndugu wa mondi wale ni shetani
 
Kipenzi unajua Diamond alishasema, akiwa hamtaki mwanamke anamfanyia matukio, anaondoka mwenyewe. Sasa kishamaliza matukio yote bidada yupo, yaani Mond safari hii kakamatika.

Zuchu kishasema juzi haendi kokote, kujibu ujumbe wa Valentine's day. Hakujua Mond yale maneno ni kumchoma Misa, kuwa tangu kaanza kupenda, hajawahi penda kama anavyompenda Zuchu.
Na mimi ndio ninachosema Zuu anaishi kwa ajili ya kushindana na watesi wake wakati muda wake unazidi kusonga mbele, Mondi hata akiwa ana miaka 60 bado ataitwa babe na vitoto vidogo vipi kuhusu yeye?
Anapaswa ajitafakari afanye maamuzi magumu na hata Mondi kama anachembe ya huruma kwa yule binti basi amuache huru wabaki kwenye kazi tu
 
Back
Top Bottom