ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Unadhani kupata ni rahisi? Kalipie app ya mangeconnection ziko wapi sasa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unadhani kupata ni rahisi? Kalipie app ya mangeconnection ziko wapi sasa?
Zuchu nae mpigaji tuHuyu Mondi amemuweka Zuchu kama mateka wake, hamtunzi sawa sawa na wala hamuachilii aende, huyu binti tusipoangalia ataingia kwenye drugs na kuharibu maisha yake yooooooote, she is acting strong outside but inside she is so depressed,
Nadhani tuliyaona kwa Vanessa na Jux the girl alikuwa analazimisha furaha nje siku yalipomfika shingoni ndio tukagundua kuwa anasumbuliwa na depression kali,
Wasanii wa kiume hawa deserve good girls, wao wanatakiwa wawe na mikurubembe iloshindikana na mitume ndio wanapanda nayo na kushuka nayo kwa hawa church girls ni mateso na huzuni kwao, soon tutampoteza Zuchu kwenye kiwanda cha muziki na hata kimaisha.
Hakuna binaadamu anayeweza kuvumilia usaliti wa wazi wazi kutoka kwa mwenza wake na akawa sawa, this is too much it's time for him to let her go, leave the girl alone hata kama anakung'ang'ania na kukuganda mtoe kwa nguvu time alone will heal her,
Kwako Zuchu you deserve better, it's clear the man is destroying you, najua unataka kuwaonesha watesi wako kua umeishinda vita lakini jiangalie unapoteza muda wako, at your 30s unapaswa kua umesettle down na mtu mnatengeneza familia, unajikosesha kuzaa kwa kusubiri ndoa kwa muhuni, huyo muhuni hawezi kukupa furaha kamwee tena shukuru huna mtoto, imagine muhuni anakukosesha furaha na upo na kiumbe chake unalea, girl stop it, focus kwenye ajira yako, Allah atakujaalia mume mwenye kheir na wewe,
InnaAllah Maasabirin (Mola yu pamoja na wenye kusubiri)
#FreeZuchu
Ila huyu bibie hajui kuficha siri, yeye ndiye kavujishaMali mpya inaitwa ms_ryta
Ni Kagame na shisekedi 😜Ndio akina nani hao mkuu...??
Maana huko daslam kilasiku watu wanazidi kuwa maarufu
Ukisema watoto wa kike, waliopo kwenye mateso,Zuchu sio mmoja wao, huyu ana ukwasi mkubwa kuliko mbunge wa viti ma alum, kama ameshikwa, amejishikisha kwenye we kwa tamaa zake, wacha aliwe mpaka makalio,Huyu Mondi amemuweka Zuchu kama mateka wake, hamtunzi sawa sawa na wala hamuachilii aende, huyu binti tusipoangalia ataingia kwenye drugs na kuharibu maisha yake yooooooote, she is acting strong outside but inside she is so depressed,
Nadhani tuliyaona kwa Vanessa na Jux the girl alikuwa analazimisha furaha nje siku yalipomfika shingoni ndio tukagundua kuwa anasumbuliwa na depression kali,
Wasanii wa kiume hawa deserve good girls, wao wanatakiwa wawe na mikurubembe iloshindikana na mitume ndio wanapanda nayo na kushuka nayo kwa hawa church girls ni mateso na huzuni kwao, soon tutampoteza Zuchu kwenye kiwanda cha muziki na hata kimaisha.
Hakuna binaadamu anayeweza kuvumilia usaliti wa wazi wazi kutoka kwa mwenza wake na akawa sawa, this is too much it's time for him to let her go, leave the girl alone hata kama anakung'ang'ania na kukuganda mtoe kwa nguvu time alone will heal her,
Kwako Zuchu you deserve better, it's clear the man is destroying you, najua unataka kuwaonesha watesi wako kua umeishinda vita lakini jiangalie unapoteza muda wako, at your 30s unapaswa kua umesettle down na mtu mnatengeneza familia, unajikosesha kuzaa kwa kusubiri ndoa kwa muhuni, huyo muhuni hawezi kukupa furaha kamwee tena shukuru huna mtoto, imagine muhuni anakukosesha furaha na upo na kiumbe chake unalea, girl stop it, focus kwenye ajira yako, Allah atakujaalia mume mwenye kheir na wewe,
InnaAllah Maasabirin (Mola yu pamoja na wenye kusubiri)
#FreeZuchu
Sio zuchu! Ukiangalia hiyo video au video ya hakuna matata ndio utamjuaWewe sema ni nani? Ndio zuchu huyo?
Ana act tu kua hajali ila hayupo sawa hata kidogoZuchu anavyokuaga sasa, baadae utashangaa anatuchamba wambea😅
Tatizo hizo MB za kuanza kuwaangalia hao watu sinaga. Yani hata niwe na GB laki za data siangaliagi ujinga.Sio zuchu! Ukiangalia hiyo video au video ya hakuna matata ndio utamjua
Mfwiiiiii...! Sasa maswali ya nini? Sina mb's za kukuelewesha huo unaouita ujinga.Tatizo hizo MB za kuanza kuwaangalia hao watu sinaga. Yani hata niwe na GB laki za data siangaliagi ujinga.
Shida ipo kwa ndugu wa mondiKabisaa maana kuna mmoja ndie anayeumia zaidi
🙌🙌Mfwiiiiii...! Sasa maswali ya nini? Sina mb's za kukuelewesha huo unaouita ujinga.
Kwa hiyo alikalawiti!!Ukisema watoto wa kike, waliopo kwenye mateso,Zuchu sio mmoja wao, huyu ana ukwasi mkubwa kuliko mbunge wa viti ma alum, kama ameshikwa, amejishikisha kwenye we kwa tamaa zake, wacha aliwe mpaka makalio,
Kwa Mimi kama mzazi, na baba wa binti kadhaa, inaleta ukakasi, ukiona mwanamwali wako, analiwa weeeee, na, jamaa, hazai,nae, mimba zinatolewa, anafsnywa kama sex machine tu, hapo zuchu, bikira iliishabanduliwa, na sikia Dangote, aliwahi, kumzamishia kwa mpalange, kidogo akaue katoto ka watu, kesi ilimalizwa kifamilia,
Kwa wahuni hampinduagi wengine mpaka wawe single mother kidogo akili zinawarudi ila ndio hivyo wanajikuta washachelewa.Upo sahihi ndio maana nikamtaka Mondi amuache yeye, amkatae, amsukume, amkemee yaani kiufupi atumie njia zozote ila mradi huyo binti abaki huru, majeraha yatapona na atarudi kua imara
Shida pia kwa ndugu wa mondi wale ni shetaniKipenzi unajua Diamond alishasema, akiwa hamtaki mwanamke anamfanyia matukio, anaondoka mwenyewe. Sasa kishamaliza matukio yote bidada yupo, yaani Mond safari hii kakamatika.
Zuchu kishasema juzi haendi kokote, kujibu ujumbe wa Valentine's day. Hakujua Mond yale maneno ni kumchoma Misa, kuwa tangu kaanza kupenda, hajawahi penda kama anavyompenda Zuchu.
Sasa nimeelewa, mondi ana pesa ni ngumu sana kulala na mwanamke mmoja tu.Post #48 na #60
Unanifokea baby? Nitakutafutia mwenzako wewe endelea!Mfwiiiiii...! Sasa maswali ya nini? Sina mb's za kukuelewesha huo unaouita ujinga.
Ukiwa mbea lazima uutafute umbea, Chaliifrancisco anataka kutafuniwa kila kitu🤣
Na mimi ndio ninachosema Zuu anaishi kwa ajili ya kushindana na watesi wake wakati muda wake unazidi kusonga mbele, Mondi hata akiwa ana miaka 60 bado ataitwa babe na vitoto vidogo vipi kuhusu yeye?Kipenzi unajua Diamond alishasema, akiwa hamtaki mwanamke anamfanyia matukio, anaondoka mwenyewe. Sasa kishamaliza matukio yote bidada yupo, yaani Mond safari hii kakamatika.
Zuchu kishasema juzi haendi kokote, kujibu ujumbe wa Valentine's day. Hakujua Mond yale maneno ni kumchoma Misa, kuwa tangu kaanza kupenda, hajawahi penda kama anavyompenda Zuchu.
Ndio anajifunza we msaidieUkiwa mbea lazima uutafute umbea, Chaliifrancisco anataka kutafuniwa kila kitu🤣