Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
Ebu naomba link hapa ama nitag huko isije ikawa wanamsingizia...🤨Pitia Pitia MMU utaona kila kitu 🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ebu naomba link hapa ama nitag huko isije ikawa wanamsingizia...🤨Pitia Pitia MMU utaona kila kitu 🤣
Huyo ni ke.... Akibisha ujue ni papai bovuKumbe mleta mada ni Ke...😳
Ebu naomba huo mzigo PM tafadhaliKweli, na ukute zile videos kamwambia yule binti avujishe makusudi ili suala la ndoa life, Zuchu anapaswa kujua thamani yake dah
Duhhhh....Huyo ni ke.... Akibisha ujue ni papai bovu
Hii ni ya mwaka huu recently soma page 3 tu utaelewa kila kituEbu naomba link hapa ama nitag huko isije ikawa wanamsingizia...🤨
Siwezi, mwenye app yake mkali nakula bloku fastanitumie nakala dr
we unaona kuna mapenzi hapo?? Diamond hampendi Zuchu bali anamtumiaSio aondoke Wasafi, aachane na mapenzi yao, wabaki kufanya kazi
Siweziii, zipo kwenye app ya Da MangeEbu naomba huo mzigo PM tafadhali
Subhanallah...🙊Hii ni ya mwaka huu recently soma page 3 tu utaelewa kila kitu
Usaliti ulivyogharimu maisha ya watu niliowapenda
Wakuu kwanza leo ndio nimejua kua nimetimiza miaka 10 jamii forum, mnipigie makofi tafadhaliiii🥳🥳🤣 Okay, nashare na ninyi hadithi hii ya kweli iliyonitokea mimi mwenyewe, hua naumia sana kila nikiwaza kwa ujinga wangu nilivyohatarisha mahusiano yangu na kuharibu maisha ya huyu binti, Mwaka...www.jamiiforums.com
Inasikitisha sana, yule binti maskiniwe unaona kuna mapenzi hapo?? Diamond hampendi Zuchu bali anamtumia
Kama ni hivyo kweli basi binti yupo wasafi lakini anapitia maumivu makubwa sanaSiweziii, zipo kwenye app ya Da Mange
Kabisaa maana kuna mmoja ndie anayeumia zaidiWangeachana tu hizi drama zinachosha
Anajua na anakubloku hadi device yako, mitambo yake mikalisi unarecord na device nyingine badala ya ku-screenrecord?
si unarecord na device nyingine badala ya ku-screenrecord?
Hayupo sawa huyu binti mbaya zaidi anapitia na cyber bullying piaKama ni hivyo kweli basi binti yupo wasafi lakini anapitia maumivu makubwa sana
Binti anahitaji msaada. Ataangamia. Sijui kwa nini Mama yake au ndugu wa karibu hawalioni hili. Mapenzi upofu... unapenda dude lisilokupenda, unapoteza muda na nguvu zako. Linakutumiaaaa koteeee then linakufundisha vihatarishiInasikitisha sana, yule binti maskini