Diamond tafadhali muache Zuchu huru mbakie kwenye biashara pekee

Diamond tafadhali muache Zuchu huru mbakie kwenye biashara pekee

Walai nimecheka sana kama namuona mondi na virasta vyake akimsukuma Zuhura huku anamkemea will be like "achana na mimi sikutakiiiii mbona unalazimisha penziiiii, ishia zako siwezi kua na demu mshamba anabana na uzi skin tight ya buku tatu....." nyie🤣🤣🤣🤣
Hiyo ya kubana skin tight nilicheeeeka hapo ndio nilipojua binti amevurugwa🥺
 
Nje ya mada, Somo la saikolojilia lianze kufundishwa form two na liwe compulsory . Teenagers wakue wakiwa wanajua aina za personality za watu wanaokutana nao kwenye jamii iwe kazini au kwenye mahusiano na namna ya kudeal nao.

Mond is purely a Narcissist, Kisa cha kuanza kumtomb* Zuchu ni kile alichosema mwenyewe “Siwezi kuwekeza hela yangu nyingi halafu mwingine ale kirahisi, Nonsense! isn’t it a business, Natoa kipaji unatoa pesa, unapata pesa, nami napata pesa? Wale wa kiume je anawafanyaje? Zuhura bila kujua analiwa sababu tu a man can’t stand seeing another man with her. Zuhura unajimaliza bure kumfurahisha Mond, He is not into you, hata akikuoa sio ushindi sababu hajawahi kukupenda, utaishi maisha magumu, utacompromise vingi ili kumfurahisha yeye, utasacrifice furaha yako ili afurahi yeye, and he will never get satisfied.

Zuhura ukipendwa vizuri, love is very easy kwa sisi wanawake, utakachofanya ni kuexist tu na kuenjoy.

Ndani ya mada, bado naunga mkono hoja amuache au amuoe.
Awww hadi machozi yamenitoka jamani ujumbe mzito sana huu, i wish Zuhura angeusoma na kuchukua maamuzi ya haraka,

Upo sahihi dear kuhusu somo la saikolojia kufundishwa mashuleni na umejua kumdescribe vizuri huyo Naseeb Narcissist
 
Unajua Domokaya anahitaji kupata mwanamke at least awe na cha zaidi kwake.

Zari Ali win hilo, ila na yeye akachoka akaamua atimke ndukiiii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa huyo atatoka wapiii 😒 kama mpaka anawalawiti sio rahisi kuja kukaa na mwanamke hata awe mapembe, zari aliweza vile she's intelligent with exposure than him 😷.
 
Kwani tatizo ni Nasibu au Zuchu mwenyewe kuwa king’ang’a ??!
pamoja na kupigwa matukio lakini yupo tu.
 
Sizani kama itakuwa rahisi kuua mhuni mwenzie asiee.
Mwenyewe alishasema hata binti yake hataki aje kuwa mwana mziki maana anajua uchafu uliopo huko kwenye hiyo industry
 
Awww hadi machozi yamenitoka jamani ujumbe mzito sana huu, i wish Zuhura angeusoma na kuchukua maamuzi ya haraka,

Upo sahihi dear kuhusu somo la saikolojia kufundishwa mashuleni na umejua kumdescribe vizuri huyo Naseeb Narcissist
Nilikuambia dada yangu, mbele za wahuni dada zangu huwaga hampindui kabisa. Jana kwenye event ya Jux kuna clip nimeziona wakiwa wanaliendeleza libeneke lao la mapenzi.
 
Jay Z anamuheshimu Beyonce. Sio diamond anavyomfanyia Zuchu.

Zuchu na Diamond ni sawa na ‘Ike and Tina’ mpaka hiyo nyimbo 👇


View: https://m.youtube.com/watch?v=oGpFcHTxjZs&pp=ygUpdGluYSB0dXJuZXIgd2hhdCdzIGxvdmUgZ290IHRvIGRvIHdpdGggaXQ%3D

Sema Diamond anavuka mipaka anamu-exploit Zuchu kupitiliza. Age ya Zuchu na Bhoke wa Mangę ni sawa.

Zuchu ni katoto kenye talent ya kuimba tu na Diamond kaanza kukabemenda bado teenager. Kwa Zuchu, pengine Diamond ndio first serious love.

Astahili hizi fedhea Diamond anatakiwa aache, mapenzi na Zuchu abaki kama boss wake wa kazi.

Public negative news za Zuchu chanzo chake ni Diamond. Na Zuchu mwenyewe ni mtoto mdogo sana hana tofauti na mtoto wa rafiki yangu anaitwa Natalię anaishi U.K., Mama yake na mama-Dangote ni mashoga sasa sijui mipango yao ila Diamond ana mahusiano nako na kenyewe ni kadogo kama Zuchu (inadaiwa mama Dangote anataka Diamond amuoe Natalię).

Zuchu ni tunu ya taifa, Diamond amuache huyo mtoto tufaidi mziki wake; kuliko kumfanya kila siku aongelewe vibaya kisa yeye.

Bado naamini Zuchu ili kushamiri anahitaji kuwa chini ya wasafi, ila bila ya mahusiano na Diamond.

Diamond ni toxic kwa Zuchu, waachane kimapenzi. Wabaki msanii na boss.

Uwafikie Babu Take na Sallam SK
 
Nilikuambia dada yangu, mbele za wahuni dada zangu huwaga hampindui kabisa. Jana kwenye event ya Jux kuna clip nimeziona wakiwa wanaliendeleza libeneke lao la mapenzi.
Ukimuangalia kwenye zile videos anaforce furaha nakwambia yule kishaanza kulambishwa sembe, save haya maneno uzuri hayo madude utaficha mwanzoni baadae yanazibuka
 
Ukimuangalia kwenye zile videos anaforce furaha nakwambia yule kishaanza kulambishwa sembe, save haya maneno uzuri hayo madude utaficha mwanzoni baadae yanazibuka
Kwa kweli Zuhura kwa sasa kuna vitu anatumia ila mda ni mwalimu mzuri ila nasikitika Mama anashindwa kusimama kama mzazi akumbuke kila mchuma janga hula na wa kwao.
 
Kwa kweli Zuhura kwa sasa kuna vitu anatumia ila mda ni mwalimu mzuri ila nasikitika Mama anashindwa kusimama kama mzazi akumbuke kila mchuma janga hula na wa kwao.
Mama katangaza vita kwa yeyote atakayemsema mwanae atakula nae sahani moja, naona Bi Khadija kapokea kijiti cha Mama Wema🤣😄
 
Mama katangaza vita kwa yeyote atakayemsema mwanae atakula nae sahani moja, naona Bi Khadija kapokea kijiti cha Mama Wema🤣😄
Baadae asije kuomba msaada kwa jamii inayo mpa tahadhari mapema ila ata ukiangalia malezi bi Hadija ni aina ya Mama Diamond wazazi walio kulia kwenye Umalaya na pombe na madanga enzi zao kwa hiyo kwao ni kawaida.
 
huyo binti ana matatizo ya akili, unaanzaje eti kumpenda mwanaume malaya, kwa malengo gani? mategemeo gani? yeye alitakiwa akae pale ki fursa ikifika hatua akaona mambo hayaeleweki apotee.
 
yeye alitakiwa akae pale ki fursa ikifika hatua akaona mambo hayaeleweki apotee.
Na huu ndio ukweli pale yanafanyika maigizo yanayofanana ba ukweli na watu wanapiga pesa kimyakimya hakuna mahusiano pale Zuchu sio mjinga kihivyo
 
Zuchu na Daimond penzi limerudi upya!
Hawa wameshindikana, mama mtu kumbe anamsupport mtoto wake zuchu.
 
Back
Top Bottom