Diamond tafadhali muache Zuchu huru mbakie kwenye biashara pekee

Diamond tafadhali muache Zuchu huru mbakie kwenye biashara pekee

Atakuja kustuka too late, huyu nae hivi haoni km hapendwi toka kwa Domokaya hadi ndugu zake? Lol
Afu we kamama why siku hizi hauniheshimu?🙁 tatizo lenu mkipata danga mnatusahau wahuni tulokua tunawanunulia mihogo na maji ya kandoro 😭😀🤣😄
 
ndio maana nikamtaka Mondi amuache yeye, amkatae, amsukume, amkemee yaani kiufupi atumie njia zozote
Walai nimecheka sana kama namuona mondi na virasta vyake akimsukuma Zuhura huku anamkemea will be like "achana na mimi sikutakiiiii mbona unalazimisha penziiiii, ishia zako siwezi kua na demu mshamba anabana na uzi skin tight ya buku tatu....." nyie🤣🤣🤣🤣
 
Nje ya mada, Somo la saikolojilia lianze kufundishwa form two na liwe compulsory . Teenagers wakue wakiwa wanajua aina za personality za watu wanaokutana nao kwenye jamii iwe kazini au kwenye mahusiano na namna ya kudeal nao.

Mond is purely a Narcissist, Kisa cha kuanza kumtomb* Zuchu ni kile alichosema mwenyewe “Siwezi kuwekeza hela yangu nyingi halafu mwingine ale kirahisi, Nonsense! isn’t it a business, Natoa kipaji unatoa pesa, unapata pesa, nami napata pesa? Wale wa kiume je anawafanyaje? Zuhura bila kujua analiwa sababu tu a man can’t stand seeing another man with her. Zuhura unajimaliza bure kumfurahisha Mond, He is not into you, hata akikuoa sio ushindi sababu hajawahi kukupenda, utaishi maisha magumu, utacompromise vingi ili kumfurahisha yeye, utasacrifice furaha yako ili afurahi yeye, and he will never get satisfied.

Zuhura ukipendwa vizuri, love is very easy kwa sisi wanawake, utakachofanya ni kuexist tu na kuenjoy.

Ndani ya mada, bado naunga mkono hoja amuache au amuoe.
 
Huyu Mondi amemuweka Zuchu kama mateka wake, hamtunzi sawa sawa na wala hamuachilii aende, huyu binti tusipoangalia ataingia kwenye drugs na kuharibu maisha yake yooooooote, she is acting strong outside but inside she is so depressed,

Nadhani tuliyaona kwa Vanessa na Jux the girl alikuwa analazimisha furaha nje siku yalipomfika shingoni ndio tukagundua kuwa anasumbuliwa na depression kali,

Wasanii wa kiume hawa deserve good girls, wao wanatakiwa wawe na mikurubembe iloshindikana na mitume ndio wanapanda nayo na kushuka nayo kwa hawa church girls ni mateso na huzuni kwao, soon tutampoteza Zuchu kwenye kiwanda cha muziki na hata kimaisha.

Hakuna binaadamu anayeweza kuvumilia usaliti wa wazi wazi kutoka kwa mwenza wake na akawa sawa, this is too much it's time for him to let her go, leave the girl alone hata kama anakung'ang'ania na kukuganda mtoe kwa nguvu time alone will heal her,

Kwako Zuchu you deserve better, it's clear the man is destroying you, najua unataka kuwaonesha watesi wako kua umeishinda vita lakini jiangalie unapoteza muda wako, at your 30s unapaswa kua umesettle down na mtu mnatengeneza familia, unajikosesha kuzaa kwa kusubiri ndoa kwa muhuni, huyo muhuni hawezi kukupa furaha kamwee tena shukuru huna mtoto, imagine muhuni anakukosesha furaha na upo na kiumbe chake unalea, girl stop it, focus kwenye ajira yako, Allah atakujaalia mume mwenye kheir na wewe,
InnaAllah Maasabirin (Mola yu pamoja na wenye kusubiri)

Update:
Haya mengine mapya kumbe Mondi alimdanganya binti wa watu anamtolea posa tarehe 31 January this year, familia imekusanyika siku ya mahari jamaa hafiki na simu hapokei, saa nne usiku ndio anampigia simu mama Zuchu kumwambia hawezi kwenda mama ake hamtaki Zuu kamwambia akimuoa atafute mama mwengine, huu kama sio uuaji ni nini jamani, mama ake alionesha kitambo kua hamtaki Zuu kwann ghafla iwe sababu ya yeye kutokumposa kisa mama, kama haitoshi after 3 days akamrubuni binti akaenda kwake na kumfungia ndani after few weeks wanajitokeza public kwenye harusi ya Jux, huyu jamaa ni manipulator,

Jamani mie mabinti wa Kizanzibar nawajua wakipenda wanapenda haswaa wana mapenzi ya kwenye movies za kihindi, hawajanjaruka kama waTanga na waMombasa huyu binti tutakuja kumkosa, narudia tena Zuchu tutakuja kumkosa, na hapo tuombe huyo muhuni asiwe kaanza kumlambisha sembe ndo tunamkosa kabisaaaaaaaaaa,
NASEEB MUACHE ZUHURA ACHA KUMTESA BINTI WA WATU.

#FREEZUCHU,PRAY4ZUCHU#
Kama binti amekosa malezi mazuri kutoka kwa mamake mwache mhuni afaidi. Mama anakubali kabisa binti anaishi kwa mwanaume bila posa,mahari wala ndoa.Unaanzaje kumlaumu Dayamondi ?
 
Sema haya mambo kwa nje yanaonekana rahisi, vifungo vya mapenzi sio kama vya kisiasa nyapapala kulinda mfungwa na bunduki asitoroke. Mapenzi ni kifungo huru ambacho mfungwa wake ndio mwenye maamuzi awe huru au kubaki mateka. Zuchu atatoka siku akisema na moyo wake ya kuwa enough is enough hivi hivi hawezi. Monde lugha ya mapenzi anaijua na udhaifu wa bi zuu ashaujua so kutoka huko ni kazi ngumu.
 
Ni kwamba Zuchu haoni kuwa hatakiwi au karogwa? Kwa umri wake ni mtu mzima yule anatambua kila linaloendelea sasa kama kaamua mwenyewe kukaa mahala na anajua fika hatakiwi shauri zake.
Habari za mapenzi hata wa 60 yrs wanadanganywa vitu watu wa nje wanavoviona tena vya hovyo mlengwa havioni kifupi mapenzi ni ujinga na unafik wa hali ya juu.
 
Kwani zuchu kalalamika wapi au amekutuma? Muda utaongea tuvute subira wazee wa Kasusu tuendelee kuagiza hesabu kwangu
 
Zari mwenyewe yalimshinda kabisa sasa hivi anaenjoy na shakib,shakib anazidiwa umaarufu na pesa na diamond lakin lizuri mnoooo
Unajua Domokaya anahitaji kupata mwanamke at least awe na cha zaidi kwake.

Zari Ali win hilo, ila na yeye akachoka akaamua atimke ndukiiii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Afu we kamama why siku hizi hauniheshimu?[emoji853] tatizo lenu mkipata danga mnatusahau wahuni tulokua tunawanunulia mihogo na maji ya kandoro [emoji24][emoji3][emoji1787][emoji1]
Oooh babeee ulipotelea wapiii? Ndo ukanitekeleza mazima?
Nimekumic mno Ba mtu. [emoji8][emoji8][emoji8], [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Walai nimecheka sana kama namuona mondi na virasta vyake akimsukuma Zuhura huku anamkemea will be like "achana na mimi sikutakiiiii mbona unalazimisha penziiiii, ishia zako siwezi kua na demu mshamba anabana na uzi skin tight ya buku tatu....." nyie[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unajua Domokaya anahitaji kupata mwanamke at least awe na cha zaidi kwake.

Zari Ali win hilo, ila na yeye akachoka akaamua atimke ndukiiii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Angemuwin Diamond angemtuliza akatulia tulii na akamuoa
 
Tatizo lenu kiasili mnapendaga bad boys/playboys unaweza ukakuta hata huyu unaye mshauri hakuelewi,so tatizo sio Diamond bali tatizo ni nyie jinsia yenu ya kike.
👏 👏 👏 tabia za dai zinajulikana, kuna asiyejua? Punda milia hawezi kubadili mistari yake. Ghafla bin vuu.. Zuhura anategemea atabadili rangi awe punda kwaajili yake. Ladies should choose better
 
Back
Top Bottom