Dr. Mariposa
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,264
- 10,535
- Thread starter
-
- #21
Upo sahihi ndio maana nikamtaka Mondi amuache yeye, amkatae, amsukume, amkemee yaani kiufupi atumie njia zozote ila mradi huyo binti abaki huru, majeraha yatapona na atarudi kua imaraTatizo lenu kiasili mnapendaga bad boys/playboys unaweza ukakuta hata huyu unaye mshauri hakuelewi,so tatizo sio Diamond bali tatizo ni nyie jinsia yenu ya kike.
Kwani kafanywaje sio kwa huu ushauri wa nguvu na makasiriko juu ya mpenzi wa mwenzio??Huyu Mondi amemuweka Zuchu kama mateka wake, hamtunzi sawa sawa na wala hamuachilii aende, huyu binti tusipoangalia ataingia kwenye drugs na kuharibu maisha yake yooooooote, she is acting strong outside but inside she is so depressed,
Nadhani tuliyaona kwa Vanessa na Jux the girl alikua analazimisha furaha nje siku yalipomfika shingoni ndio tukagundua kua anasumbuliwa na depression kali,
Wasanii wa kiume hawa deserve good girls, wao wanatakiwa wawe na mikurubembe iloshindikana na mitume ndio wanapanda nayo na kushuka nayo kwa hawa church girls ni mateso na huzuni kwao, soon tutampoteza Zuchu kwenye kiwanda cha muziki na hata kimaisha,
hakuna binaadam anayeweza kuvumilia usaliti wa wazi wazi kutoka kwa mwenza wake na akawa sawa, this is too much it's time for him to let her go, leave the girl alone hata kama anakung'ang'ania na kukuganda mtoe kwa nguvu time alone will heal her,
Kwako Zuchu you deserve better, it's clear the man is destroying you, najua unataka kuwaonesha watesi wako kua umeishinda vita lakini jiangalie unapoteza muda wako, at your 30s unapaswa kua umesettle down na mtu mnatengeneza familia, unajikosesha kuzaa kwa kusubiri ndoa kwa muhuni, huyo muhuni hawezi kukupa furaha kamwee tena shukuru huna mtoto, imagine muhuni anakukosesha furaha na upo na kiumbe chake unalea, girl stop it, focus kwenye ajira yako, Allah atakujaalia mume mwenye kheir na wewe,
InnaAllah Maasabirin (Mola yu pamoja na wenye kusubiri)
#FreeZuchu
Hehehe#FreeZuchu
Nimekuja mkuu ulikua unasema?let her go
Mambo vipi?Nimekuja mkuu ulikua unasema?
HeheheWw ndio unamtaka mondi akutaki ww.
KAZI ni kipimo cha utu
Safi tu mkuu vipi za wewe?Mambo vipi?
😃
Sio kuhusu hili, naulizia kuhusu lile lingine...😋Hahaha watu wanajipa umuhimu sana kwenye maisha ya watu 🤣
Yeah ni kweli kwani ulikuwa hujui mkongwe 😁Sio kuhusu hili, naulizia kuhusu lile lingine...😋
Ina maana yalotokea jana hujayaona!?Pameanza kuchangamka... Adui wa mwanamke ni mwanamke
Utakuta huyu ni shogaake na zuchu kwa mbalii, sasa ameamua kujipa cheo cha kumshauri 😁
Kumbe mleta mada ni Ke...😳Pameanza kuchangamka... Adui wa mwanamke ni mwanamke
Utakuta huyu ni shogaake na zuchu kwa mbalii, sasa ameamua kujipa cheo cha kumshauri 😁
Diamond alishasema kama hakutaki atakupiga matukio uondoke mwenyewe 😫Sasa Zuchu anataka kukomesha watesi huku anaumia mwenyewe. Zuchu ndo akate shauri asepeUpo sahihi ndio maana nikamtaka Mondi amuache yeye, amkatae, amsukume, amkemee yaani kiufupi atumie njia zozote ila mradi huyo binti abaki huru, majeraha yatapona na atarudi kua imara
Ndio kwanza nazipata kwako hapa mkuu....😂Yeah ni kweli kwani ulikuwa hujui mkongwe 😁
Pitia Pitia MMU utaona kila kitu 🤣Ndio kwanza nazipata kwako hapa mkuu....😂
Kweli, na ukute zile videos kamwambia yule binti avujishe makusudi ili suala la ndoa life, Zuchu anapaswa kujua thamani yake dahDiamond alishasema kama hakutaki atakupiga matukio uondoke mwenyewe 😫Sasa Zuchu anataka kukomesha watesi huku anaumia mwenyewe. Zuchu ndo akate shauri asepe
Mambo yao waachie wwnyewe... Kuna mwenzako huko kanda ya ziwa kauawa akiwaamua wapenzi.Ina maana yalotokea jana hujayaona!?
Namshauri sababu namuhurumia, hii sio sawa, alishavunja hadi vitu vya mpenzi wake kwa kuona kiss tu, je ya jana mtu analazwa kwenye kitanda chako, anabeba hadi mimba duh hapana
Zangu zimepoa sijui zakoSafi tu mkuu vipi za wewe?
Kwani kafungiwa na kamba hapo gheto kwa Mondi? Yeye mwenyewe amepapenda unataka aondoke ili wewe uchukue nafasi yake kwa Mondi? Bata wahed!Huyu Mondi amemuweka Zuchu kama mateka wake, hamtunzi sawa sawa na wala hamuachilii aende, huyu binti tusipoangalia ataingia kwenye drugs na kuharibu maisha yake yooooooote, she is acting strong outside but inside she is so depressed,
Nadhani tuliyaona kwa Vanessa na Jux the girl alikuwa analazimisha furaha nje siku yalipomfika shingoni ndio tukagundua kuwa anasumbuliwa na depression kali,
Wasanii wa kiume hawa deserve good girls, wao wanatakiwa wawe na mikurubembe iloshindikana na mitume ndio wanapanda nayo na kushuka nayo kwa hawa church girls ni mateso na huzuni kwao, soon tutampoteza Zuchu kwenye kiwanda cha muziki na hata kimaisha.
Hakuna binaadamu anayeweza kuvumilia usaliti wa wazi wazi kutoka kwa mwenza wake na akawa sawa, this is too much it's time for him to let her go, leave the girl alone hata kama anakung'ang'ania na kukuganda mtoe kwa nguvu time alone will heal her,
Kwako Zuchu you deserve better, it's clear the man is destroying you, najua unataka kuwaonesha watesi wako kua umeishinda vita lakini jiangalie unapoteza muda wako, at your 30s unapaswa kua umesettle down na mtu mnatengeneza familia, unajikosesha kuzaa kwa kusubiri ndoa kwa muhuni, huyo muhuni hawezi kukupa furaha kamwee tena shukuru huna mtoto, imagine muhuni anakukosesha furaha na upo na kiumbe chake unalea, girl stop it, focus kwenye ajira yako, Allah atakujaalia mume mwenye kheir na wewe,
InnaAllah Maasabirin (Mola yu pamoja na wenye kusubiri)
#FreeZuchu