blogger
JF-Expert Member
- Mar 13, 2012
- 12,112
- 15,060
Ita fireee...au huna namba zao...Huyu jamaa anaimba nini sikuhizi?
Wimbo dhaifu kabisa.
ππππππππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ita fireee...au huna namba zao...Huyu jamaa anaimba nini sikuhizi?
Wimbo dhaifu kabisa.
Mungu aendelee kumbariki huyu zum aisee..nakubaliana na wewe.. ukiangalia video zake lazima ujue huu mkono wa ZOOM
YeahHuyu editor wa zoom productions hana ubunifu video zote zinafanana
Nilipoona tu anaandika neno "ayupo" badala ya "hayupo" nikajua mnajadiliana watu wa ngazi tofauti za kufikiri.Wazeee au watu kama nyie ndio munaowapoteza wasanii na maushauri yenu yakizwazwa | utasikia msanii aimbe maisha nyimbo ielimishe msanii asikuwa na upeo nae anafatisha mwisho anaimbia ndugu zake.
Ifikie wakati tuongee mantiki zinazoonekana practical sio unafikili kwa vidole na ku-type, Angalia Darasa kuna mtu aliimba ayo mafunzo na maisha kama yeye akipata nini kaja kuimba βSafari na mziki" βToo much" nk watu ndio wamemuelewa, 20 pacent kaimba maisha weeh ayupo, Bestnaso kaimba maisha maishaaa ayupo, kwahiyo ifike mahari tuongee vitu practicable sio kuleta ukoloni ukoloni kwenye sanaa.
We kolo nini kufikiri na uandishi vinahusiana vipi, ndio maana munakufa maskini nyie wazee kushikilia mambo yasonamsingi kolo wewe.Nilipoona tu anaandika neno "ayupo" badala ya "hayupo" nikajua mnajadiliana watu wa ngazi tofauti za kufikiri.
Aisee sijasema video mbaya mbona unakurupuka !!Acha chuki hiyo video ina viwango vya kimataifa, imetimia kila idara.
Video zoote za zoom transition ni zile zile, color grading ile ile , alafu wana j cuts nyingi kitu kinachofanya video ionake amateurishIyo Editing ndio iliyoitajika, angalia nyimbo za SIMI ndio utaelewa.
Wimbo kamuibia star wa namibia aibu tupu, diamond kaishiwaDiamond hana mpinzani mpaka anakufa.
Hapana ya computer programming.Hii nayo ni ya huku?
Tatizo unakurupuka u know nothing acha mond aendelee kuwapiga tu, Nyimbo aliyoshirikishwa na King tee audio iko produced na Wasafi records chini ya laizer.Domo MWIZI,kipaji kwishney
#blackroseeffect#
Kauibaje sasa wakati waliimba wote na huo wa kwanza producer alikuwa laizer wa wasafi?Wimbo kamuibia star wa namibia aibu tupu, diamond kaishiwa